Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
Ni kweli huwezi kufananisha siasa za uingereza na tanzania ila tunachosema ni busara za viongozi wa siasa. Kwa sasa suala la kuaminisha wananchi kuwa kura ziliibiwa bila kutoa evedence ni mapungufu. Hivyo ukitumia umma kushawishi au kuwaaminisha wananchi hasa vijana bila kutoa ushahidi ni dalili tosha kabisa kuwa hizo ni fujo. Kwanza chadema wanajitangazia nguvu ya umma wakati hata wabunge 30 wa kuchaguliwa hawajafika. Hiyo ni kuaandaa vijana hasa wa mjini kuleta fujo kwa mambo ambayo yanaaminishwa na viongozi wanaotaka umaarufu kwa kudanganya kuwa wana nguvu ya umma.
Fujo unaypijua wewe ni ipi, ya wananchi kudai haki yao ama CCM kuiba kura kwa nguvu?
Umetumwa na wachakachuaji siyo? Kama sivyo hujui usemalo!
Kabla hujaleta hekima zako za alinacha; kwanza tafuta knowledge ndiyo uandike; siyo kila kitu unachofikiri wewe ni sahihi; constitution ya Uingereza kuhusu uchaguzi na matokeo ya kura na kuunda serikali lazima uwe na majority; ili kufikisha majority Conservatives simulteneously na Labour ilibidi waongee na Liberals waungane ili wapate majority inayotakiwa kuunda serikali. This happens as per their constitution; which also applies to Australia, Canada, etc many other countries.
You may be a young educated man; but you need more knowledge and information than engaging in writing crap.
Another issue; please let us be be frank with everything happening in our country; what makes you think Chadema are not able to be proper political party? What I have seen they managed to atract wise learned people and all people of high understanding. Simply CCM acted as thugs to cheat the only people they want to rule!
Mr. Zhu; better go in staying in China; because that is the place which fits you!
Hukumwelewa Mhe. Mbowe na nahisi wewe hujagusa hata elimu ya msingi. Kama uligusa basi wewe ni mfuasi wa chama fulani kilichobobea katika utaalam wa kuchakachua mambo.
Alichosema Mhe. Mbowe ni kwamba NGUVU YA UMMA itatumika KUDAI HAKI tu. Hii ina maana kuwa haki ikitendeka hakutakuwa na nguvu ya umma.
Wewe huna unalolijua! Waswahili husema ukiona punda anarusha mateke basi ujue kuna kitu nyuma yake. Siasa za uengereza huwezi kufananisha za Tanzania. Wanaohatarisha usalama ni nyie CCM pamoja na mipango yenu ya giza!
bila nguvu ya umma CCM hawawezi kukubali kubadili katika kwani inawanya watawale milele
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
Ni kweli huwezi kufananisha siasa za uingereza na tanzania ila tunachosema ni busara za viongozi wa siasa. Kwa sasa suala la kuaminisha wananchi kuwa kura ziliibiwa bila kutoa evedence ni mapungufu. Hivyo ukitumia umma kushawishi au kuwaaminisha wananchi hasa vijana bila kutoa ushahidi ni dalili tosha kabisa kuwa hizo ni fujo. Kwanza chadema wanajitangazia nguvu ya umma wakati hata wabunge 30 wa kuchaguliwa hawajafika. Hiyo ni kuaandaa vijana hasa wa mjini kuleta fujo kwa mambo ambayo yanaaminishwa na viongozi wanaotaka umaarufu kwa kudanganya kuwa wana nguvu ya umma.
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
Zhu(猪mawazo yako yamekaa kifala-**** tu.
ukiwa na mawazo ya kifala-**** kama yako, bora kunyamaza.
kwa sababu wenye akili zao watajua tu kuwa unachosema ni ufala. siyo hoja.
tumekusikia.