nguvu ya umma ya chadema ni kuleta machafuko

umetumwa na wachakachuaji siyo? Kama sivyo hujui usemalo!
hivi chadema ilikuwa wapi time kura zinahisabiwa?? Wananchi wamefanya badaliko kuchagua wabunge si rais jk bado ni chaguo la watz, ingikuwa ccm imechakachua bac hata udiwani chadema isingepata. Acheni lawama.
 
kabla hujaleta hekima zako za alinacha; kwanza tafuta knowledge ndiyo uandike; siyo kila kitu unachofikiri wewe ni sahihi; constitution ya uingereza kuhusu uchaguzi na matokeo ya kura na kuunda serikali lazima uwe na majority; ili kufikisha majority conservatives simulteneously na labour ilibidi waongee na liberals waungane ili wapate majority inayotakiwa kuunda serikali. This happens as per their constitution; which also applies to australia, canada, etc many other countries.
You may be a young educated man; but you need more knowledge and information than engaging in writing crap.

Another issue; please let us be be frank with everything happening in our country; what makes you think chadema are not able to be proper political party? What i have seen they managed to atract wise learned people and all people of high understanding. Simply ccm acted as thugs to cheat the only people they want to rule!

Mr. Zhu; better go in staying in china; because that is the place which fits you!


fujo/vita hutokea pale watawaliwa wanapogundua kuwa mfumo wa sheria unaosimamiwa na watawala ni dhaifu. Mfumo wa sheria ya tanzania ni dhaifu na watanzania wengi hawajagundua hilo. Kinachfanywa na chadema kuihamasisha serikali ubadili mfumo wa sheria [katiba] ni chema sana kwani kabla hata ya chadema kuanza hizi harakati jamii ilishaanza kung'amua hilo! Kwa lugha rahisi kama vurugu zitatokea si chadema wala chama kingine chochote cha siasa kitakacholaumiwa bali watawala/ccm
 
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.

Mbona mbu yuko jukwaa la michezo si umuulize tu?
 
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.

Zhu
(猪) (Bw. Nguruwe) Kuna mbinu mbalimbali za mapambano, kwavile uko kwenye kundi la maamuma hata historia hukusoma, ngoja tukujulishe kidogo! Historia inaonyesha hakuna nguvu kubwa inayo weza kushinda mafedhuli duniani kama nguvu ya umma, refermapinduzi ya Russia, mapambano ya RSA. Sisiem wanatumia nguvu ya dola na tume ya uchakachuaji kuingia madarakani lakini sehemu ambapo nguvu ya umma ilikua imara, ilishindwa kwa aibu-refer Arusha, Nyamagana, Mpanda, Iringa nk utaona ni jinsi gani umma ulivyo simamia maamuzi yao.

Usifikiri umma huwa una sisimka wenyewe bila kuwa na jambo au viongozi wa kuwaongoza. Sisiemu walipata kura millioni 5 ambazo sawa na wanachama wake wote! Ina maana hakuna mwanachama wake aliyepigia upinzani au ambaye hakupiga kura ama kura yake haikuharibika! refer kura za kumpata spika zipo zilizo haribika-iweje za wananchi? Nalenga kusema silazima umma iwe ni watanzania wote milioni 42. Nguvu ya umma inayosemwa na CHADEMA ni idadi inayowakilisha wengi. Refer bungeni, watu wasiozidi 400 wakipitisha sheria watanzania wote milioni 42 tunafuata.

Anyway Bw. "Nguruwe" una lako jambo kwani mifano ni mingi ila CHADEMA inatumia mbinu za kistaarabu kwa kushitaki mambo yenye utata kwa UMMA, Umma ndo utaamua nini cha kufanya. Angalia operation Sangara ilivyo uamsha UMMA kuhusu kuibiwa na kikundi cha watu wachache-Mafisadi. matokeo ya operation ile yameonekana.

CHADEMA endeleeni kutumia NGUVU YA UMMA kwenye maamuzi magumu ili jamaa wakose wa kumtupia lawama. UMMA UKIAMUA DOLA HAISIMAMI!
 
'I call it non-violence when it is for self defence,I call it intelligence'.........by Malcom X
Fatilia kilichotokea Mwanza,Arusha,Dar na kwingineko it reveals Malcom X said
bado anasema kuwa 'Non-violence is a philosophy of the fool' :painkiller:
 
Kabla hujaleta hekima zako za alinacha; kwanza tafuta knowledge ndiyo uandike; siyo kila kitu unachofikiri wewe ni sahihi; constitution ya Uingereza kuhusu uchaguzi na matokeo ya kura na kuunda serikali lazima uwe na majority; ili kufikisha majority Conservatives simulteneously na Labour ilibidi waongee na Liberals waungane ili wapate majority inayotakiwa kuunda serikali. This happens as per their constitution; which also applies to Australia, Canada, etc many other countries.
You may be a young educated man; but you need more knowledge and information than engaging in writing crap.

Another issue; please let us be be frank with everything happening in our country; what makes you think Chadema are not able to be proper political party? What I have seen they managed to atract wise learned people and all people of high understanding. Simply CCM acted as thugs to cheat the only people they want to rule!

Mr. Zhu; better go in staying in China; because that is the place which fits you!

Dah!

Umemchana poa sana.

Siku nyingine atatafakari kabla ya kuleta ujuha wake humu jamvini.
 
Nimependa sana wale wanaojua kujibu hoja hapa Jf kuliko wanaoishia na matusi. Pengine hawa ni wengi sana wasio weza kujibu hoja hapa jf. Naamini kwa maelezo ya walioelewa hoja yangu wamejaribu kuelezea umuhimu wa nguvu ya umma. Kwa nchi kama kwetu mtu akisema tutatumia nguvu ya umma means wanaruhusu jamii imfanye iwezavyo ili haki itendeke. What I learned is that education is needed to people in on what the party is demanding and what they need from majority. But not convincing the youth to react corrosively as they did during election.
 
Katiba sio msahafu ambao hauwezi kubadilishwa. Katiba ya JMT imeshafanyiwa marekebisho mara nyingi tu, na hatujasikia kuwa nguvu ya Umma ilitumika.

Nadhani kubadilisha Katiba kama ni kwa maslahi ya wananchi mbona hata CCM hamna anaepinga hilo! Mbona Zanzibar chini ya Serikali ya CCM katiba imebadilishwa na mambo ni swafi kabisa.

Hawa kina Mbowe hawana sababu ya kutisha watu kuwa watatumia nguvu ya Umma. Jee, nguvu ya hoja na nguvu ya kutumia Bunge imeshawashinda hata kabla hawajaanza? Kwani, ndio kwanza wamepata viti vingi Bungeni, sasa si wangeanzia huko? Na walifikiri kuwa kwa miaka yao michache waliyokuwa kwenye siasa basi watachukuwa viti majority vya Ubunge na kuchukuwa uRais kwa ulaini kiasi hicho? Inabidi wasote, wajijenge, waanze kuondoa kasoro zao, wajipange kwa miaka ijayo, namely 2015, waone, watafanikiwa zaidi ya mafanikio waliyoyapata mwaka huu au la.

Wakijidai kuingia mitaani kuanzisha fujo, ndio watapoijuwa nguvu ya dola. Halafu this is Tanzania, kisiwa cha amani, sisi sote tunapenda amani na hatutokubali amani ivunjwe na watu wasiokuwa hata na maadili, wapora wake za watu na wanaosubiri machangudoa ndio biashara zao zishamiri. Hatukubali, watapoonyesha kuvunja amani tu, tutaanza kuwashughulikia sisi raia kabla ya Serikali.
 
Wakijidai kuingia mitaani kuanzisha fujo, ndio watapoijuwa nguvu ya dola. Halafu this is Tanzania, kisiwa cha amani, sisi sote tunapenda amani na hatutokubali amani ivunjwe na watu wasiokuwa hata na maadili, wapora wake za watu na wanaosubiri machangudoa ndio biashara zao zishamiri. Hatukubali, watapoonyesha kuvunja amani tu, tutaanza kuwashughulikia sisi raia kabla ya Serikali.

Na wewe hiyo kozi ya "Martyrdom" unayosomea haijaisha
 
Nimefuatilia maelezo ya chadema kuhusu madai mbalimbali na kupata wasiwasi kuwa chama hakina nguvu ya maamuzi bali kinategemea nguvu ya umma. Watanzani wengi si wanasiasa bali ni washabiki wa siasa. Kwa mtazamo wa haraka nguvu ya umma ya chadema kudai matokeo yatangazwe haraka uliona kilitokea. Chama kuwatumia wananchi kabla ya kuwaelimisha ni kuleta maafa makubwa nchini. Uingereza waliunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa kutumia tu busara za viongozi wa vyama si wananchi. Vyama ni wawakilishi wa wananchi hivyo unaposhindwa kutetea hoja na kurudi kushawishi umma ni hatari kwa taifa hili. Nasikitika kusema kuwa nguvu kubwa ya chadema ni vijana wa mjini. Wote tunajua maamuzi ya vijana wengi pale unapowashawishi jambo la kufanya. Nguvu ya umma kwa chadema ni kuleta fujo tu. Katiba yenyewa iliopo umma hauijui vizuri. Tusijetukampa mbu kutibu malaria.
#

Kima mwingine huyu!
 
Truth| nimesoma sehemu ya maoni yako nasikitika kuwa uelewa wako ni mdogo sana.

Naomba ujielimishe kwanza kuelewa maana na matumizi ya maneno nguvu ya umma.
 
Ni kweli huwezi kufananisha siasa za uingereza na tanzania ila tunachosema ni busara za viongozi wa siasa. Kwa sasa suala la kuaminisha wananchi kuwa kura ziliibiwa bila kutoa evedence ni mapungufu. Hivyo ukitumia umma kushawishi au kuwaaminisha wananchi hasa vijana bila kutoa ushahidi ni dalili tosha kabisa kuwa hizo ni fujo. Kwanza chadema wanajitangazia nguvu ya umma wakati hata wabunge 30 wa kuchaguliwa hawajafika. Hiyo ni kuaandaa vijana hasa wa mjini kuleta fujo kwa mambo ambayo yanaaminishwa na viongozi wanaotaka umaarufu kwa kudanganya kuwa wana nguvu ya umma.

Mawazo yako mkuu yanaleta utata mno .Hebu kaa tafakri tena na rudia kusikia maneno ya Mbowwe utajua alisema nini .Hizi lawama kwenye mitandao helps nothing mkuu wangu na kama hukuelewa useme ueleweshwe hakuna wa kutumiwa watanzania wamechoka nawe wajua kwamba wamechoka na kila kitu nguvu ya umma itaanza na wachache na wengine watakuja .CCM Nchi nzima ina wanachama 2.5mn ama 5mn lakini kura wanapata zaidi ya hao wananchama wao means what ? Tia akili kijana then njoo kwenye mjadala
 
Nguvu ya uma ni lazima katika kila jambo,u cant walk alone.Mwanza,Arusha,Dar na kwingineko waliolinda kura just ni watu wenye uelewa usiohitaji BAs,MAs,Phd...ambao ni watu wa hali ya chini sana katika Tz.Hawa ni wengi na mtaji mkubwa sana katka siasa ya nchi yetu.
Nachoona kitaleta bright future ya tz politics ni vyombo vya usalama vinaelekea kujiunga na
nguvu hii.


I call it non violence when it is for self defense,I call it intelligence!...Malcom x

:grouphug:
 
Ni kweli huwezi kufananisha siasa za uingereza na tanzania ila tunachosema ni busara za viongozi wa siasa. Kwa sasa suala la kuaminisha wananchi kuwa kura ziliibiwa bila kutoa evedence ni mapungufu. Hivyo ukitumia umma kushawishi au kuwaaminisha wananchi hasa vijana bila kutoa ushahidi ni dalili tosha kabisa kuwa hizo ni fujo. Kwanza chadema wanajitangazia nguvu ya umma wakati hata wabunge 30 wa kuchaguliwa hawajafika. Hiyo ni kuaandaa vijana hasa wa mjini kuleta fujo kwa mambo ambayo yanaaminishwa na viongozi wanaotaka umaarufu kwa kudanganya kuwa wana nguvu ya umma.

Nguvu ya umma inakutisha kwa nini? Umeukosea nini umma au uanohofia hukumu ya umma? Una kitu gani unachohofia kupoteza?

Kama unacho basi ni kwa sababu unafaidika na upuuzi unaoendelea.
 
Wanasiasa wasituchanganye, wanapoelezea suala la CHADEMA wanasema WANANCHI/UMMA lakini je wangapi ni wanachama na supporter wa Chama hicho, wangapi walikipigia kura has a ukizingatia idadi ya wananchi waliopiga kura?, hao waliokipigia kura Chama hicho au CCM ni sehemu gain ya UMMA wa watanzania?. Je ni sahihi kwa chadema kudai wananguvu ya UMMA?. The TRUTH is statement za namna hiyo hutumiwa na wanasiasa ku-justify mambo binafsi wanayofanya. Wananchi tusidanganyike na political slogans za wanasiasa.
Wewe unatoa wazo gani? Nani wa kuwawakilisha hao wananchi ambao sio sehemu ya vyama vya siasa?
 
Katiba sio msahafu ambao hauwezi kubadilishwa. Katiba ya JMT imeshafanyiwa marekebisho mara nyingi tu, na hatujasikia kuwa nguvu ya Umma ilitumika.

Nadhani kubadilisha Katiba kama ni kwa maslahi ya wananchi mbona hata CCM hamna anaepinga hilo! Mbona Zanzibar chini ya Serikali ya CCM katiba imebadilishwa na mambo ni swafi kabisa.

Hawa kina Mbowe hawana sababu ya kutisha watu kuwa watatumia nguvu ya Umma. Jee, nguvu ya hoja na nguvu ya kutumia Bunge imeshawashinda hata kabla hawajaanza? Kwani, ndio kwanza wamepata viti vingi Bungeni, sasa si wangeanzia huko? Na walifikiri kuwa kwa miaka yao michache waliyokuwa kwenye siasa basi watachukuwa viti majority vya Ubunge na kuchukuwa uRais kwa ulaini kiasi hicho? Inabidi wasote, wajijenge, waanze kuondoa kasoro zao, wajipange kwa miaka ijayo, namely 2015, waone, watafanikiwa zaidi ya mafanikio waliyoyapata mwaka huu au la.

Wakijidai kuingia mitaani kuanzisha fujo, ndio watapoijuwa nguvu ya dola. Halafu this is Tanzania, kisiwa cha amani, sisi sote tunapenda amani na hatutokubali amani ivunjwe na watu wasiokuwa hata na maadili, wapora wake za watu na wanaosubiri machangudoa ndio biashara zao zishamiri. Hatukubali, watapoonyesha kuvunja amani tu, tutaanza kuwashughulikia sisi raia kabla ya Serikali.
Kwa nini kila saa mnafikiria kuhusu fujo? Nani aliyekuambieni kuwa nguvu ya umma ni fujo? Naona kuna haja ya kuanzisha darasa hapa la ufahamu (comprehension), maana naona gaadhi yetu wengi labda somo hilo halikufundishwa walipokuwa mashuleni.
 
Ni kweli huwezi kufananisha siasa za uingereza na tanzania ila tunachosema ni busara za viongozi wa siasa. Kwa sasa suala la kuaminisha wananchi kuwa kura ziliibiwa bila kutoa evedence ni mapungufu. Hivyo ukitumia umma kushawishi au kuwaaminisha wananchi hasa vijana bila kutoa ushahidi ni dalili tosha kabisa kuwa hizo ni fujo. Kwanza chadema wanajitangazia nguvu ya umma wakati hata wabunge 30 wa kuchaguliwa hawajafika. Hiyo ni kuaandaa vijana hasa wa mjini kuleta fujo kwa mambo ambayo yanaaminishwa na viongozi wanaotaka umaarufu kwa kudanganya kuwa wana nguvu ya umma.

mwanangu kuna njia tatu tu za kudai haki 1 Diplomacy 2 violance 3 combat siku ya nguvu ya uma si kama unavyo itafsiri wewe bali ni roho ya kudai haki kati ya tabaka na tabaka kati ya wasio nacho na wenye nacho maadam walalahoi wapo hiyo nguvu ipo kati yao na haina utaratibu mmoja ni sawa na unapo fukuzwa na simba unaparamia mti wenye miba bila kuona machungu hadi wakati wa kushuka wala hakuna atakayekuhimiza ujiunge nayo bali kumbukumbu za jinsi umpendaye alivyokufa kwa kukosa dawa ya kumtibu malaria na ukamzika sanda kiroba wakati wengine wanatibiwa nje ya nchi kwa gharama kubwa na sanda iliyotolewa na wafadhili imefisadiwa utasukumwa pale hujala nyama muda mrefu unaota unakula nyama kumbe unatafuna godoro huku unaona jirani nyama imemkifu na anaitupa shimoni baada ya kukuringishia ulipomuomba ni pale umesoma huna ajira wakati jirani yako hana sifa kama zako amekumbatia ajira nne kwa ulafi dawa ya kupambana na spirit hiyo ni kutenda haki ktk kugawa mkate wa taifa angalao angalao
 
Ni kweli huwezi kufananisha siasa za uingereza na tanzania ila tunachosema ni busara za viongozi wa siasa. Kwa sasa suala la kuaminisha wananchi kuwa kura ziliibiwa bila kutoa evedence ni mapungufu. Hivyo ukitumia umma kushawishi au kuwaaminisha wananchi hasa vijana bila kutoa ushahidi ni dalili tosha kabisa kuwa hizo ni fujo. Kwanza chadema wanajitangazia nguvu ya umma wakati hata wabunge 30 wa kuchaguliwa hawajafika. Hiyo ni kuaandaa vijana hasa wa mjini kuleta fujo kwa mambo ambayo yanaaminishwa na viongozi wanaotaka umaarufu kwa kudanganya kuwa wana nguvu ya umma.

mwanangu kuna njia tatu tu za kudai haki 1 Diplomacy 2 violance 3 combat siku ya nguvu ya uma si kama unavyo itafsiri wewe bali ni roho ya kudai haki kati ya tabaka na tabaka kati ya wasio nacho na wenye nacho maadam walalahoi wapo hiyo nguvu ipo kati yao na haina utaratibu mmoja ni sawa na unapo fukuzwa na simba unaparamia mti wenye miba bila kuona machungu hadi wakati wa kushuka wala hakuna atakayekuhimiza ujiunge nayo bali kumbukumbu za jinsi umpendaye alivyokufa kwa kukosa dawa ya kumtibu malaria na ukamzika sanda kiroba wakati wengine wanatibiwa nje ya nchi kwa gharama kubwa na sanda iliyotolewa na wafadhili imefisadiwa utasukumwa pale hujala nyama muda mrefu unaota unakula nyama kumbe unatafuna godoro huku unaona jirani nyama imemkifu na anaitupa shimoni baada ya kukuringishia ulipomuomba ni pale umesoma huna ajira wakati jirani yako hana sifa kama zako amekumbatia ajira nne kwa ulafi dawa ya kupambana na spirit hiyo ni kutenda haki ktk kugawa mkate wa taifa angalao angalao
 
Back
Top Bottom