Mimi nimeinjoi sana CHADEMA na CUF wanavylote vuguvugu la kujadili mustakabali wa nchi yetu, ni jambo muhimu ili kuleta na kuamsha ~UZALENDO kwa sie watu wa kawaida.
Asanteni sana kwa kujitosa.
Mambo yatavurugika zaidi kabla hatujaweza kuchagua mbivu na mbichi
Asanteni sana kwa kujitosa.
Mambo yatavurugika zaidi kabla hatujaweza kuchagua mbivu na mbichi