Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,501
- 86,044
Dokt slaa alisema "hii nchi haitatawalika tena" sasahivi anapita mikoani kuhubiri nguvu ya umma na kusema police ni wa ccm na wananchi wanamsikia sumu zake haya ndio matokeo yake.
umeharibu mantiki nzima ya thread yako, ningekuona WA maana kama usingeandika huu upuuzi Wako. Una uhakika wakati anauwawa ni Chadema walihusika? Ungeelezea event as event ingekuwa ya maana sana....