Nguvu ya uma inafanyika pale ambapo viongozi au vyombo vya kutoa haki kwa jamii visipofanya kazi basi wananchi huchoka na kuamua kuchukua maamuzi yao. Au unasemaje bwana sixgate. Sipendi walichofanya wananchi ila wangefanyaje maana huyo jamaa anauwezo wa kuwaweka Polisi pamoja na mahakimu mfukoni,