Nguvu ya Umma inamdhibiti Nassari

Nguvu ya Umma inamdhibiti Nassari

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
Pale Arumeru Mashariki na Jimbo lililopo kushoto la Hai na Arusha Mjini kunamilikiwa na wanamageuzi ambao wanaitwa nguvu ya Umma nimemsikiliza Nassari ametumia Hekima ya kulazimishwa na kuogopa hivi kama akitukana kama Selasini wa Rombo atapita wapi na huko kwao, nguvu ya Umma ndio inamiliki.

Selasini ni mbunge wa Hovyo kabisa pamoja na uzee wake na kuwa na kaka ambaye anaeleweka bado amekosa hekima na busara za kuongea na kujitambua

Nassari umeondoka nenda salama umerudi CCM kulinda maslahi na biashara zako na hela waliyokupa watakulinda nayo lakini wewe ni msaliti na sio mwanamageuzi shupavu, umekubali kununuliwa na watu wajinga na CCM unatumika kama condom na kutupwa huko, kizazi hiki bado tunakazi kubwa ya kuacha kazi kwenye kizazi kijacho.
 
Ndio demokrasia yenyewe huwezi mlazimisha mtu abaki chama ambacho hataki.....
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Ndio demokrasia yenyewe huwezi mlazimisha mtu abaki chama ambacho hataki.....
Demokrasia haiendi hivyo, alijua lengo lake lakini akajifanya anaonewa na watu wskajitokeza kumsaidia asionewe kumbe hola anawasanifu huku akiwatia hasara ya muda wao na pesa, mwanademokrasia wa kweli ni muungwana naye alitakiwa aseme ukweli wake.
 
IMG-20200708-WA0308.jpg
 
Hivi watu wote wanaohama vyama vyao ni wasaliti eeh?? Ngoja basi niwataje kwa uchache. Lazaro Nyalandu, Bernard Membe, Edward Lowassa, Fredrick Sumaye, Makongoro Mahanga (R.I.P)
 
Mwanasiasa kula matapishi ni sawa na kula chips
 

Attachments

  • Screenshot_20200708_190332.jpg
    Screenshot_20200708_190332.jpg
    105.1 KB · Views: 3
Me nataka nifungue kanisa
Tena kanisa lenyewe ili urudishe mtaji wako faster, muumini akija na coins anachapwa viboko na wazee wa usharika mlangoni ndiyo anaingia, amini usiamini utapata waumini wa kutosha tu watakuja na noti za kumwaga.
 
Sio kwamba hailipi huenda wanataka kote kote maana tayari jina limekua
 
Back
Top Bottom