JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,529
- 7,618
Huu upuuzi wanajifanya wameusahau.Hivi operesheni ya Jesh ya kuendesha biashara ya korosho iliishia wapi ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ viwanda vya kijeshi vya kubangua korosho!
Inashangaza Sana Mambo yanaharibika Wazee wameufyata. Hata Taasisi ya Mwalimu Nyerere siku hizi ni inazidiwa hata na Mke wa Godbless Lema, hakika hizi Zama Ni Zama!