Nguvu ya mwanamke

Nguvu ya mwanamke

Ukileta mdomo nakupa nyama lakini sio mambo ya pesa Kama unataka Na wewe tafuta. Ukizidi kuleta mdomo nakupa kofi.
 
Wewe Atoto toka lini ukawa na ushauri mwema kwa jamii?,wewe ni muharibifu na tena mgonga nyoka mzuri sana weye au unakataa?,na ukibisha mimi nitatoa ushahidi wa yote uliotendea wanaume plus picha kama ushahidi au unabisha?,acha zako bhana,wewe ni miongoni mwa wachuna ngozi na wanyonya damu bila huruma weye au unabisha?,usiache nikakuanika jukwaani na kufanya ukonde bureee,please kaa kimya kabisa,usinikumbushe machungu ulonifanyia weye ajuza,.,.,..,.nitaendelea wanajamii wakinitaka kufanya hivyo,na tena nitatoa ile siri siku ile liliposanuka na bwana wako mpaka ukachezea makofi kefule weye,au unabisha nitoe au nisitoe? eti Atoto kumbe jina lake ni kama jinamizi eboo?
Mbona unakuaga mchokozi wewe?
 
Wanawake ni rahisi kuua hata kwa maneno...

Tuchunge midomo na matendo yetu haswa tunapopata wenza wapole. Tusiwafanye wakajuta kua nasi tuwe faraja yao kama ulivosema...

Mke ni utulivu wa mume,tusijitoe ufahamu
 
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Wanawake huwa tunajisahau sana jamani, sijui ni kwa nini ila hakuna kitu kizuri kama kuwa kimya na kunyenyekea pale mwenzako anapokuwa na hasira, neno samahani ni ndogo ila lina maana kubwa saana kwenye maisha yetu haya
 
Kama huyu dada mtoa mada hajaolewa mi niko tayari junior, ctajali umri, kabila wala rangi bali [emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
 
inasikitisha sana.....!
Pale unapoweka imani yeye anavunja kabisa...!
 
Inasikitisha sana na hii inatokana na mwanamke kuolewa kwasababu ya pesa au uwezo na vitu anavyomiliki mwanaume na sio mapenzi. Hii kitu ni mbaya sana inakuwaje mtu uliyempenda sana kateleza kdg tu unabadilika na wkt inatakiwa ushikamane nae kwa kumshauri kumuonyesha upendo na kumfariji pia. Ni kweli midomo chuchunge ni hatari inafanya wababa wanashinda bar kwasbb nyumbani hakuna amani mtu anajuta hata kwann alioa wapeni raha watoto wa wenzenu jmn mtu anakua km yuko kifungoni.. Na kwann uichukie familia iliyomlea mmeo mpk akafika hapo alipo bila wao ungemjua wanawake tuwe na upendo wa kweli nasi wakitu fulani ukipenda kitu siku hana lazima utamchukia mpende yeye km yeye nasi gari lake wala nyumba yake...
Maisha yanapanda na kushuka tuwe wavumilivu km mama zetu... Huwezi kula piza kila siku kuna siku utakula tembele shukuru Mungu.. Na baadhi ya wanawake tunawarudisha nyuma wanaume badala ufikilie mjinyime muwekeze ilibadae mfurahie matunda yenu pmj na watoto wenu busy kufanya maonyesho ambayo hayana hata msingi Baadhi wenye tabia izo mjitambue.
 
Huyo atoto hayuko hivyo....hapa ni stori tu, anapenda pesa kuliko huyo mwanamke aliemzungumzia hapa.

Kwahio wewe atoto ni kondoo kwenye ngozi ya chui?

Sasa wewe unanifahamu alafu unaniuliza tena swali!!! Si ushatoa maelezo hapo kuwa siko hivyo na una uhakika, basi haina haja ya swali zaidi.
 
Wanawake ni rahisi kuua hata kwa maneno...

Tuchunge midomo na matendo yetu haswa tunapopata wenza wapole. Tusiwafanye wakajuta kua nasi tuwe faraja yao kama ulivosema...

Mke ni utulivu wa mume,tusijitoe ufahamu
Huwa nakupenda sana dada una busara sana nafatiliaga sana comment zako.. Mungu akubariki sana.
 
Wanawake ni rahisi kuua hata kwa maneno...

Tuchunge midomo na matendo yetu haswa tunapopata wenza wapole. Tusiwafanye wakajuta kua nasi tuwe faraja yao kama ulivosema...

Mke ni utulivu wa mume,tusijitoe ufahamu
Usijitoe ufahamu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Dah!

Wewe Atoto toka lini ukawa na ushauri mwema kwa jamii?,wewe ni muharibifu na tena mgonga nyoka mzuri sana weye au unakataa?,na ukibisha mimi nitatoa ushahidi wa yote uliotendea wanaume plus picha kama ushahidi au unabisha?,acha zako bhana,wewe ni miongoni mwa wachuna ngozi na wanyonya damu bila huruma weye au unabisha?,usiache nikakuanika jukwaani na kufanya ukonde bureee,please kaa kimya kabisa,usinikumbushe machungu ulonifanyia weye ajuza,.,.,..,.nitaendelea wanajamii wakinitaka kufanya hivyo,na tena nitatoa ile siri siku ile liliposanuka na bwana wako mpaka ukachezea makofi kefule weye,au unabisha nitoe au nisitoe? eti Atoto kumbe jina lake ni kama jinamizi eboo?
 
Inasikitisha sana na hii inatokana na mwanamke kuolewa kwasababu ya pesa au uwezo na vitu anavyomiliki mwanaume na sio mapenzi. Hii kitu ni mbaya sana inakuwaje mtu uliyempenda sana kateleza kdg tu unabadilika na wkt inatakiwa ushikamane nae kwa kumshauri kumuonyesha upendo na kumfariji pia. Ni kweli midomo chuchunge ni hatari inafanya wababa wanashinda bar kwasbb nyumbani hakuna amani mtu anajuta hata kwann alioa wapeni raha watoto wa wenzenu jmn mtu anakua km yuko kifungoni.. Na kwann uichukie familia iliyomlea mmeo mpk akafika hapo alipo bila wao ungemjua wanawake tuwe na upendo wa kweli nasi wakitu fulani ukipenda kitu siku hana lazima utamchukia mpende yeye km yeye nasi gari lake wala nyumba yake...
Maisha yanapanda na kushuka tuwe wavumilivu km mama zetu... Huwezi kula piza kila siku kuna siku utakula tembele shukuru Mungu.. Na baadhi ya wanawake tunawarudisha nyuma wanaume badala ufikilie mjinyime muwekeze ilibadae mfurahie matunda yenu pmj na watoto wenu busy kufanya maonyesho ambayo hayana hata msingi Baadhi wenye tabia izo mjitambue.
Ukiangalia trend sasa hivi wanaume kulalamika kuhusu wanawake imezidi sana, tunaweza sema ni legelege au hawajui nafasi zao, ila pia nafikiri wanawake kuna mahali tumelega sana.
Hatukatai hakuna alokamilika ila basi kila mmoja na ajitathmini ili haya maisha ya ndoa yasiwe jehanamu ndogo, kwanini tulalamike tuu wakati maisha tunayoishi sisi ndio tunayatengeneza na kuamua tuishi vipi!!

Kuwa mbali na Mungu nalo ni tatizo.
 
Japo maisha ni ya thamani kwa kuyakatisha kwa staili hio japo inauma lakin alikosea angevumilia tu waachane tu mwanamke wa hvyo hafai...
ANA ROHO YA KINYAMA SANA HUYO MWANAMKE. NAMWEKA KUNDI MOJA NA WAUAJI. AKAISHI PORINI HUYO MWANAMKE
 
Back
Top Bottom