Nguvu ya mwanamke

Marehemu kichwa cha juu kilikua kibovu

Alale pema. Inaelekea jamaa alikuwa mdhaifu sana, hata aina ya kifo alichochagua (kunywa sumu) inaonyesha hivyo.

hey paul
mtu unakunywaje sumu kwa mambo madogo hivo eti?
Mnaweza mkawa mko sahihi ila biadamu wanatofautiana sana namna wanavyoyachukulia mambo, hili tukio limenifanya nikumbuke thread moja iliwekwa humu kuhusu mwanamke alomtukana mumewe mwisho akaenda kujiua.

Kuna series za matukio hadi hilo linatokea, romous has it that mwanamke kamchezea, ila likishatokea la kutokea kila mtu anaongea lake.
Ukweli anao marehemu.

Maybe alifikia a point of no return, ila solution yake ndio imekuwa ya ajabu.
 
kuna watu wana roho za paka hivi wanawake tuko VIP? hiyo yote kisa mwanaume kataka pesa kwenda kwao??

wanawake Tuwapende wazazi upande Wa Pili ndo wanatuletea duniani wanaume. .wenye vitabia hivi acheni roho mbaya
Ni mengi yanaelezwa maana halikuwa hilo tu, kuna matukio mengi mno ambayo mume aliyavumilia, mwisho inaonekana akachoka.
 
jamaa kama hakuwa boya basi mwanamke alimchezea akiri, yaan kajiua harafu kamwacha mal.aya wake anakula maisha na njemba zingine!
Kila binadamu ana uboya wake mahali fulani, jamaa maybe hapo ndipo palikuwa na udhaifu wake, na hilo la kuchezewa linasemwa japo haliwezi kuthibitishwa.
 
Tuwe basi watu wa kuwapa moyo na kuthamini wanachofanya hawa wenzetu, wanakazi kubwa sana na mzigo mkubwa sana walioubeba katika kuhakikisha tunapata mahitaji na mambo yote yanakuwa sawa. Tuwe faraja yao, tuishi katika misingi ya upendo,kujaliana na kuchukuliana kadiri ya mapungufu yetu.

Mapungufu hata ya mfukoni na kwenye waleti yavumiliwe pia.
 
R.I.P marehemu, baada ya mazishi huyo mama aombe ampate mume atakae kuwa anamuuliza maswali ya maana na si ya kiuuzi.
 
Habari zenu wapendwa.

Leo kuna jambo limenigusa nikatamani sana kushare nanyi, haswa wanawake wenzangu(haswa wale midomo chuchunge)

Kuna baba ni jirani yangu amejiua baada ya kuhitilafiana na mkewe ( ilani tatizo la kipindi kirefu sana), kwakweli mwanamke ana kelele yule, akianza kumtusi mumewe majirani wooote mtasikia.

Sasa ikatokea mumewe akayumba kidogo kiuchumi, lakini mkewe hakutaka kuelewa na kumtuhumu kuwa ana michepuko(sina hakika kama kweli alikuwa nayo au la), hapo ndipo balaa lilipoanzia.

Mume akaamua kumshirikisha mkewe katika mapato yake, na wakafungua account ya pamoja, mke ndio mara nyingi alikwenda kudeposit pesa, ikatokea mume akapatwa na dharura ya kifamilia(kwao) akahitaji pesa, akamueleza mkewe kuwa anahitaji kiasi fulani cha pesa ili aende kwao, mke akaanza kelele.

Mume akaamua kwenda bank,cha ajabu akakuta account alotegemea ina zaidi ya milioni6 ina laki tu, akarudi kwa hasira na kumuuliza mkewe, akamjibu simple 'usinulize maswali ya kipuuzi',( haya ni maelezo ya rafiki wa mwanamke) ugomvi ulikuwa mkubwa hadi mume akaamua kuondoka nyumbani, na hakurudi mpaka kesho yake ilipofahamika kuwa mwili wake umekutwa nyumba ya wageni akiwa amejiua kwa kunywa sumu.

Jamani wanawake hii midomo yetu ina nini? Ni kwanini hatujifunzi kila siku!!!
Twapaswa kutambua kuwa tuna nguvu kubwa sana dhidi ya hawa wenzetu, mwanamke unauwezo wa kumfanya mwanaume masikini ajisikie na kujiona tajiri, lakini nguvu hiyo hiyo tukiitumia vibaya inaweza haribu kila kitu.

Tuwe basi watu wa kuwapa moyo na kuthamini wanachofanya hawa wenzetu, wanakazi kubwa sana na mzigo mkubwa sana walioubeba katika kuhakikisha tunapata mahitaji na mambo yote yanakuwa sawa. Tuwe faraja yao, tuishi katika misingi ya upendo,kujaliana na kuchukuliana kadiri ya mapungufu yetu.

Tujenge familia bora zenye misingi imara,maana watoto wetu sisi ndio role model wao wa kwanza(hii ni kwa wote wanaume na wanawake). Tusije shangaa watoto baadae wanakuwa watu wa ajabu ajabu kumbe wamerithi kutoka kwetu.

Muwe na usiku mwema.
Wewe Atoto toka lini ukawa na ushauri mwema kwa jamii?,wewe ni muharibifu na tena mgonga nyoka mzuri sana weye au unakataa?,na ukibisha mimi nitatoa ushahidi wa yote uliotendea wanaume plus picha kama ushahidi au unabisha?,acha zako bhana,wewe ni miongoni mwa wachuna ngozi na wanyonya damu bila huruma weye au unabisha?,usiache nikakuanika jukwaani na kufanya ukonde bureee,please kaa kimya kabisa,usinikumbushe machungu ulonifanyia weye ajuza,.,.,..,.nitaendelea wanajamii wakinitaka kufanya hivyo,na tena nitatoa ile siri siku ile liliposanuka na bwana wako mpaka ukachezea makofi kefule weye,au unabisha nitoe au nisitoe? eti Atoto kumbe jina lake ni kama jinamizi eboo?
 
Nyie sio wa kufanyiwa kila kitu! Sio wanaume wote wanaweza kuvumila mambo yenu....
 
Habari zenu wapendwa.

Leo kuna jambo limenigusa nikatamani sana kushare nanyi, haswa wanawake wenzangu(haswa wale midomo chuchunge)

Kuna baba ni jirani yangu amejiua baada ya kuhitilafiana na mkewe ( ilani tatizo la kipindi kirefu sana), kwakweli mwanamke ana kelele yule, akianza kumtusi mumewe majirani wooote mtasikia.

Sasa ikatokea mumewe akayumba kidogo kiuchumi, lakini mkewe hakutaka kuelewa na kumtuhumu kuwa ana michepuko(sina hakika kama kweli alikuwa nayo au la), hapo ndipo balaa lilipoanzia.

Mume akaamua kumshirikisha mkewe katika mapato yake, na wakafungua account ya pamoja, mke ndio mara nyingi alikwenda kudeposit pesa, ikatokea mume akapatwa na dharura ya kifamilia(kwao) akahitaji pesa, akamueleza mkewe kuwa anahitaji kiasi fulani cha pesa ili aende kwao, mke akaanza kelele.

Mume akaamua kwenda bank,cha ajabu akakuta account alotegemea ina zaidi ya milioni6 ina laki tu, akarudi kwa hasira na kumuuliza mkewe, akamjibu simple 'usinulize maswali ya kipuuzi',( haya ni maelezo ya rafiki wa mwanamke) ugomvi ulikuwa mkubwa hadi mume akaamua kuondoka nyumbani, na hakurudi mpaka kesho yake ilipofahamika kuwa mwili wake umekutwa nyumba ya wageni akiwa amejiua kwa kunywa sumu.

Jamani wanawake hii midomo yetu ina nini? Ni kwanini hatujifunzi kila siku!!!
Twapaswa kutambua kuwa tuna nguvu kubwa sana dhidi ya hawa wenzetu, mwanamke unauwezo wa kumfanya mwanaume masikini ajisikie na kujiona tajiri, lakini nguvu hiyo hiyo tukiitumia vibaya inaweza haribu kila kitu.

Tuwe basi watu wa kuwapa moyo na kuthamini wanachofanya hawa wenzetu, wanakazi kubwa sana na mzigo mkubwa sana walioubeba katika kuhakikisha tunapata mahitaji na mambo yote yanakuwa sawa. Tuwe faraja yao, tuishi katika misingi ya upendo,kujaliana na kuchukuliana kadiri ya mapungufu yetu.

Tujenge familia bora zenye misingi imara,maana watoto wetu sisi ndio role model wao wa kwanza(hii ni kwa wote wanaume na wanawake). Tusije shangaa watoto baadae wanakuwa watu wa ajabu ajabu kumbe wamerithi kutoka kwetu.

Muwe na usiku mwema.
Inaonekana Dada ww ni mke mwema kabisa, wanawake wote wangekuwa kama ww maisha yangekuwa mwororo sana aisee
 
Huyo mume kwa maneno alikuwa kishazowea, lakini hio account ya bank kutoka 6 million mpaka laki, halafu unauliza hela ipo wapi unajibiwa kijinga. Kama mimi ningempa yeye wife sumu nikamuuwa kama panya.

Ndukiiiii
 
Marehemu kichwa cha juu kilikua kibovu

Hata cha chin sidhani kama kilikua kina function vizuri ndio maana alikua hasikilizwi, haiwezekan mwanaume timamu kjiua tena kwa sumu wat a weak man
 
hey paul
mtu unakunywaje sumu kwa mambo madogo hivo eti?
Unaweza ona ni madogo. Lakini huwezi jua alijinyima kiasi gani. Pengine aliweka mpaka pembeni wazazi wake. Imagine wazazi wake walikuwa wagonjwa na wanahitaji msaada na pengine kawambia anawatumia pesa afu mwisho wa siku unaambulia laki moja. Kujinyonga amekose ila angeamua kumwacha tu huyo mwanamke na kutafuta wa size yake basi
 
Back
Top Bottom