Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,138
- 159,049
- Thread starter
- #21
Marehemu kichwa cha juu kilikua kibovu
Alale pema. Inaelekea jamaa alikuwa mdhaifu sana, hata aina ya kifo alichochagua (kunywa sumu) inaonyesha hivyo.
Mnaweza mkawa mko sahihi ila biadamu wanatofautiana sana namna wanavyoyachukulia mambo, hili tukio limenifanya nikumbuke thread moja iliwekwa humu kuhusu mwanamke alomtukana mumewe mwisho akaenda kujiua.hey paul
mtu unakunywaje sumu kwa mambo madogo hivo eti?
Kuna series za matukio hadi hilo linatokea, romous has it that mwanamke kamchezea, ila likishatokea la kutokea kila mtu anaongea lake.
Ukweli anao marehemu.
Maybe alifikia a point of no return, ila solution yake ndio imekuwa ya ajabu.