Nguvu ya kukemea

Nguvu ya kukemea

Katika maisha yangu nimeshuhudia watu wane wenye sauti zilizobeba mamlaka... Akisema neno hapa mirindimo yake huenda mbali sana halafu wala hatumii nguvu na wala mishipa ya shingo haimsimami wala hakunji sura... Lakini utahisi uzito na mamlaka.... Watu hao ni Mzee Mshana snr.. RIP ⚰, Mzee Mchonga meno RIP ⚰, Mzee wa kirachacha na Mkuu EL..!
Roho ni kitu kisichoonekana kwa macho wala kwa darubini wala kwa hadubini.. Lakini nguvu yake ni kubwa na isiyomithilika... Ni katika nguvu hiyo ya roho kuna nguvu chanya na kuna nguvu hasi... Chanya hukuletea matokeo mazuri, hasi hukuletea matokeo yenye uharibifu
Tunapolala usiku vitandani mwetu... Kinacholala ni huu mwili wa nyama lakini kamwe roho ndani ya mwili hailali hukesha ikikulinda... Ukiona kuna jambo baya limekupata usingizini jua tu roho yako ilipitiwa ama iliruhusu jambo husika likupate kwakuwa ilishaona hakuna madhara makubwa.. Lakini pia kuna roho ziko dhaifu kiimani
Nguvu ya kukemea huambatana na imani katika nguvu kuu nguvu kuu inayotawala ulimwengu wote... Imani juu ya nguvu husika hubeba uhai na mamlaka....!!!! Linapokujia jambo baya usiku la vinyamkera majinamizi, roho wachafu wanga nk... Ukikemea kwa dhati ya moyo na kwa jina kuu lilipatalo majina yote... Roho hizo hutii mamlaka hayo na kutoweka....
Nguvu ya kukemea kwa jina kuu lipitalo majina yote hubeba silaha za MAANGAMIZI na ndio maana hata shetani na mawakala wake huiogopa na kutimua mbio akikuacha salama salimini
Unapojiandaa usiku huu kupanda kitandani mwako usisahau kufanya maombi. Kwakuwa kuna nguvu katika maombi hasa UKIAMINI....
Kuna kipindi niliota ndoto ya ajab saana zimeishapita kama miezi kadhaa lakini ndoto ile naikumbuka mubashara...nilichukuliwa sijui na nani nikapelekwa sehemu kuna majitu ya ajabu saaana yanatisha saana lakini aliekua amenipeleka alikuwa ananipa uwezo wa kupaa na kujificha huku nikishuhudia binadam zam kwa zamu wakitendwa mambo ya kutisha [emoji22] [emoji22] [emoji29] ...lakini ndoto haikufika mwisho, nikastuka natetemeka balaa, niliamka nikasali nikaishiwa woga huwezi amini na nikalala kwa amani bila ndoto tata!
Nachotaka kusema, sala/dua/maombi huwa ni faraja toshaa kipindi mwanadamu au mashetani yanapoipa nyoyo wasiwasi wa nafsi.
 
Hizo ni imani mila na desturi tuu, kuna mataifa huwakalisha ama kuwasimamisha.. Wengine huwapa wanyama wale na wengine huchoma moto
[emoji15][emoji15][emoji15]Mmhh marehem anaweza kukaa au kusimama kwenye kabur?
 
Katika maisha yangu nimeshuhudia watu wane wenye sauti zilizobeba mamlaka... Akisema neno hapa mirindimo yake huenda mbali sana halafu wala hatumii nguvu na wala mishipa ya shingo haimsimami wala hakunji sura... Lakini utahisi uzito na mamlaka.... Watu hao ni Mzee Mshana snr.. RIP ⚰, Mzee Mchonga meno RIP ⚰, Mzee wa kirachacha na Mkuu EL..!
Roho ni kitu kisichoonekana kwa macho wala kwa darubini wala kwa hadubini.. Lakini nguvu yake ni kubwa na isiyomithilika... Ni katika nguvu hiyo ya roho kuna nguvu chanya na kuna nguvu hasi... Chanya hukuletea matokeo mazuri, hasi hukuletea matokeo yenye uharibifu
Tunapolala usiku vitandani mwetu... Kinacholala ni huu mwili wa nyama lakini kamwe roho ndani ya mwili hailali hukesha ikikulinda... Ukiona kuna jambo baya limekupata usingizini jua tu roho yako ilipitiwa ama iliruhusu jambo husika likupate kwakuwa ilishaona hakuna madhara makubwa.. Lakini pia kuna roho ziko dhaifu kiimani
Nguvu ya kukemea huambatana na imani katika nguvu kuu nguvu kuu inayotawala ulimwengu wote... Imani juu ya nguvu husika hubeba uhai na mamlaka....!!!! Linapokujia jambo baya usiku la vinyamkera majinamizi, roho wachafu wanga nk... Ukikemea kwa dhati ya moyo na kwa jina kuu lilipatalo majina yote... Roho hizo hutii mamlaka hayo na kutoweka....
Nguvu ya kukemea kwa jina kuu lipitalo majina yote hubeba silaha za MAANGAMIZI na ndio maana hata shetani na mawakala wake huiogopa na kutimua mbio akikuacha salama salimini
Unapojiandaa usiku huu kupanda kitandani mwako usisahau kufanya maombi. Kwakuwa kuna nguvu katika maombi hasa UKIAMINI....
Kuna siku utaokoka wewe na utaanza kucharaza injili vibaya sana
Bwana yesu asifiwee
 
[emoji15][emoji15][emoji15]Mmhh marehem anaweza kukaa au kusimama kwenye kabur?
Hapana hana uwezo huo bali hukalishwa ama kusimamishwa, zamani wafalme wengi walizikwa hivyo
19944-Syrian-bishop-s-remains--funeral---Corpse-seated-in-church.jpg
 
Katika maisha yangu nimeshuhudia watu wane wenye sauti zilizobeba mamlaka... Akisema neno hapa mirindimo yake huenda mbali sana halafu wala hatumii nguvu na wala mishipa ya shingo haimsimami wala hakunji sura... Lakini utahisi uzito na mamlaka.... Watu hao ni Mzee Mshana snr.. RIP ⚰, Mzee Mchonga meno RIP ⚰, Mzee wa kirachacha na Mkuu EL..!
Roho ni kitu kisichoonekana kwa macho wala kwa darubini wala kwa hadubini.. Lakini nguvu yake ni kubwa na isiyomithilika... Ni katika nguvu hiyo ya roho kuna nguvu chanya na kuna nguvu hasi... Chanya hukuletea matokeo mazuri, hasi hukuletea matokeo yenye uharibifu
Tunapolala usiku vitandani mwetu... Kinacholala ni huu mwili wa nyama lakini kamwe roho ndani ya mwili hailali hukesha ikikulinda... Ukiona kuna jambo baya limekupata usingizini jua tu roho yako ilipitiwa ama iliruhusu jambo husika likupate kwakuwa ilishaona hakuna madhara makubwa.. Lakini pia kuna roho ziko dhaifu kiimani
Nguvu ya kukemea huambatana na imani katika nguvu kuu nguvu kuu inayotawala ulimwengu wote... Imani juu ya nguvu husika hubeba uhai na mamlaka....!!!! Linapokujia jambo baya usiku la vinyamkera majinamizi, roho wachafu wanga nk... Ukikemea kwa dhati ya moyo na kwa jina kuu lilipatalo majina yote... Roho hizo hutii mamlaka hayo na kutoweka....
Nguvu ya kukemea kwa jina kuu lipitalo majina yote hubeba silaha za MAANGAMIZI na ndio maana hata shetani na mawakala wake huiogopa na kutimua mbio akikuacha salama salimini
Unapojiandaa usiku huu kupanda kitandani mwako usisahau kufanya maombi. Kwakuwa kuna nguvu katika maombi hasa UKIAMINI....
Mkuu umenena kweli
Unajua unakuwaga na nyuz matata sana ndo maana ciachag kusoma post zako asee

Sent from my itel it1409 using JamiiForums mobile app
 
Umesahau kusema, jina kuu lipitalo majina yote. Jina LA YESU KRISTO ambalo mapepo na vinyamkela wanaliogopa. Amen
Tumefundishwa kuwa werevu kama nyoka... Ningeandika hivyo mada ingetupwa jukwaa la dini.... Kuna mada moja niliandika heading ULIMWENGU UNAENDESHWA NA ROHO MTAKATIFU... na mwanzo tu mwa mada nikaelezea ROHO MTAKATIFU kwa muktadha gani... Mada haikuwa ya kidini lakini imetupwa huko ambako wengi hawana access
 
Katika maisha yangu nimeshuhudia watu wane wenye sauti zilizobeba mamlaka... Akisema neno hapa mirindimo yake huenda mbali sana halafu wala hatumii nguvu na wala mishipa ya shingo haimsimami wala hakunji sura... Lakini utahisi uzito na mamlaka.... Watu hao ni Mzee Mshana snr.. RIP ⚰, Mzee Mchonga meno RIP ⚰, Mzee wa kirachacha na Mkuu EL..!
Roho ni kitu kisichoonekana kwa macho wala kwa darubini wala kwa hadubini.. Lakini nguvu yake ni kubwa na isiyomithilika... Ni katika nguvu hiyo ya roho kuna nguvu chanya na kuna nguvu hasi... Chanya hukuletea matokeo mazuri, hasi hukuletea matokeo yenye uharibifu
Tunapolala usiku vitandani mwetu... Kinacholala ni huu mwili wa nyama lakini kamwe roho ndani ya mwili hailali hukesha ikikulinda... Ukiona kuna jambo baya limekupata usingizini jua tu roho yako ilipitiwa ama iliruhusu jambo husika likupate kwakuwa ilishaona hakuna madhara makubwa.. Lakini pia kuna roho ziko dhaifu kiimani
Nguvu ya kukemea huambatana na imani katika nguvu kuu nguvu kuu inayotawala ulimwengu wote... Imani juu ya nguvu husika hubeba uhai na mamlaka....!!!! Linapokujia jambo baya usiku la vinyamkera majinamizi, roho wachafu wanga nk... Ukikemea kwa dhati ya moyo na kwa jina kuu lilipatalo majina yote... Roho hizo hutii mamlaka hayo na kutoweka....
Nguvu ya kukemea kwa jina kuu lipitalo majina yote hubeba silaha za MAANGAMIZI na ndio maana hata shetani na mawakala wake huiogopa na kutimua mbio akikuacha salama salimini
Unapojiandaa usiku huu kupanda kitandani mwako usisahau kufanya maombi. Kwakuwa kuna nguvu katika maombi hasa UKIAMINI....
Najindaa kusali hapa
 
Amen

Umesahau Waziri Mkuu kipenzi ya Watanzania mbuge wa Monduli aliyeheshimika kuliko mawaziri wakuu wote waliopata kutokea nchini ndugu Edward Moringe Sokoine RIP my beloved PM
 
Katika maisha yangu nimeshuhudia watu wane wenye sauti zilizobeba mamlaka... Akisema neno hapa mirindimo yake huenda mbali sana halafu wala hatumii nguvu na wala mishipa ya shingo haimsimami wala hakunji sura... Lakini utahisi uzito na mamlaka.... Watu hao ni Mzee Mshana snr.. RIP ⚰, Mzee Mchonga meno RIP ⚰, Mzee wa kirachacha na Mkuu EL..!
Roho ni kitu kisichoonekana kwa macho wala kwa darubini wala kwa hadubini.. Lakini nguvu yake ni kubwa na isiyomithilika... Ni katika nguvu hiyo ya roho kuna nguvu chanya na kuna nguvu hasi... Chanya hukuletea matokeo mazuri, hasi hukuletea matokeo yenye uharibifu
Tunapolala usiku vitandani mwetu... Kinacholala ni huu mwili wa nyama lakini kamwe roho ndani ya mwili hailali hukesha ikikulinda... Ukiona kuna jambo baya limekupata usingizini jua tu roho yako ilipitiwa ama iliruhusu jambo husika likupate kwakuwa ilishaona hakuna madhara makubwa.. Lakini pia kuna roho ziko dhaifu kiimani
Nguvu ya kukemea huambatana na imani katika nguvu kuu nguvu kuu inayotawala ulimwengu wote... Imani juu ya nguvu husika hubeba uhai na mamlaka....!!!! Linapokujia jambo baya usiku la vinyamkera majinamizi, roho wachafu wanga nk... Ukikemea kwa dhati ya moyo na kwa jina kuu lilipatalo majina yote... Roho hizo hutii mamlaka hayo na kutoweka....
Nguvu ya kukemea kwa jina kuu lipitalo majina yote hubeba silaha za MAANGAMIZI na ndio maana hata shetani na mawakala wake huiogopa na kutimua mbio akikuacha salama salimini
Unapojiandaa usiku huu kupanda kitandani mwako usisahau kufanya maombi. Kwakuwa kuna nguvu katika maombi hasa UKIAMINI....
Amen
 
Amen

Umesahau Waziri Mkuu kipenzi ya Watanzania mbuge wa Monduli aliyeheshimika kuliko mawaziri wakuu wote waliopata kutokea nchini ndugu Edward Moringe Sokoine RIP my beloved PM
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom