Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,047
- 3,775
Kuna mdada mmoja alikutwa mtaani kavaa kipedo chenye rangi za kombati za jeshi wakamvua kibabe. Askari magereza nao waliwahi kuleta za kuleta kwa makonda wa daladala wakidai wamewaiga sare zao. Polisi nao waliwahi kuliamsha dude wakipiga mkwara sare zao zisivaliwe na raia hata kwenye sanaa
Ndio tofauti kubwa ya nchi za dunia ya tatu na zilizoendelea! Mambo ya msingi hatuna muda ila vitu kama hivyo ndio unashangaa mtu anapigwa!

