Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,446
- 829,805
- Thread starter
- #61
Ninayo ngozi ya chatu naimiliki kihahali kule kilingeni Msata... Karibu tufanye jaribio la pamoja
NAOMBA NIWE KINYUME NA MSHANA JR,KWANI NGOZI YA CHATU HAIWEZI AU HAINA UWEZO WA KUSABABISHA MBWA ATULIE KAMWE.
Mara nyingi chatu anapohisi mnyama wa aina fulani yu karibu nae,huitoa harufu kulingana na hitaji la windo husika.
-ikiwa ni binadamu hapo patanukia chakula maridadi sana.
-ikiwa ni mbwa basi hapo hutoa super clasic meat smell ambayo huwa haivumiliki.
##############
Matters of its nature when he is alives...!





