Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

Sio kweli kwamba hujipeleka its achance tu mbwa katika kupambana na chatu hukuta kaliwa
Kwa mtu aliyezaliwa na kukulia city center, na kwa namna yoyote hajawahi kuingia porini kuwinda hiyo encounter ya mbwa vs chatu kwake itakuwa a game of chance.

Lakini kwangu mimi niliyekulia Bush star niliyeishi porini kama mpiganaji wa Mai mai, anachokisema Mshana Jr ni 100%. Nilishashuhudia mbwa kadhaa wakijipeleka kumezwa kwa unyenyekevu usiomithirika. Utadhani muumini wa Kanisa Katoliki anaenda kupokea sakramenti kwa Padri.

Mwaka 1996 ilikuwa last time kwangu kushuhudia encounter hizo. Na siku hiyo mimi na wenzangu tulimuua chatu aliyekuwa ameanza kummeza mbwa wa jirani zetu.
 
Watoto wa kukariri wasamehe bure.... Ila tunapaswa tuwaelimishe kwa upole
Kwa mtu aliyezaliwa na kukulia city center, na kwa namna yoyote hajawahi kuingia porini kuwinda hiyo encounter ya mbwa vs chatu kwake itakuwa a game of chance.

Lakini kwangu mimi niliyekulia Bush star niliyeishi porini kama mpiganaji wa Mai mai, anachokisema Mshana Jr ni 100%. Nilishashuhudia mbwa kadhaa wakijipeleka kumezwa kwa unyenyekevu usiomithirika. Utadhani muumini wa Kanisa Katoliki anaenda kupokea sakramenti kwa Padri.

Mwaka 1996 ilikuwa last time kwangu kushuhudia encounter hizo. Na siku hiyo mimi na wenzangu tulimuua chatu aliyekuwa ameanza kummeza mbwa wa jirani zetu.
 
.
Rock-python-crushed-pet-Husky-to-death.jpeg
 
Kwakweli bado natafiti hili... Mbwa hata awe hodari vipi akishaliona lile dubwana huchanganyikiwa kabisa na kukosa ujasiri huku akijipeleka kuliwa bila utashi wake
Mbwa ni mnyama aliyekosa weledi ktk masuala ya jadi kama ilivyo kwa paka,njiwa na wengine that's why huwezi kuona viungo vya mbwa vinatumika sana ktk utengenezaji wa dawa za asili mahiri ni mara chache mno.
Mbwa ndiyo mnyama wa kwanza kuanza kuishi na binadamu ili atumike kuwinda wanyama wengine hivyo automatically ni adui wa wengi.
Kama ilivyo duniani kila mtu na mbabe wake basi chatu ndiyo mbabe wa mbwa.
Ngozi ya chatu ni malighafi nzuri mno ya kutengeneza kizuizi kwa watu wanaoibia wengine pesa kimazingara hivyo siyo mbwa pekee anayetekwa na ngozi ya chatu bali hata majini/misukule panya,misukule paka nk.
 
Asante sana nimejifunza kitu hapa
Mbwa ni mnyama aliyekosa weledi ktk masuala ya jadi kama ilivyo kwa paka,njiwa na wengine that's why huwezi kuona viungo vya mbwa vinatumika sana ktk utengenezaji wa dawa za asili mahiri ni mara chache mno.
Mbwa ndiyo mnyama wa kwanza kuanza kuishi na binadamu ili atumike kuwinda wanyama wengine hivyo automatically ni adui wa wengi.
Kama ilivyo duniani kila mtu na mbabe wake basi chatu ndiyo mbabe wa mbwa.
 
Kuna sayansi ya nguvu ya uvutano kati ya mbwa na chatu. Mbwa akishakutana na chatu huishiwa na nguvu na kujikuta anajipeleka mwenyewe bila kupenda mpaka analiwa. Umegundua nini hapo? Kiboko ya mbwa ni chatu.


Hizi nguvu za asili hazijasikika kufanyiwa tafiti na wasomi, kwa mfano, nilishuhudia watu kadhaa kwa nyakati tofauti;
  1. Mama mmoja alishika maziwa yake kwa nguvu alipomwona nyoka, kilichotokea ni kwamba yule nyoka hakuweza kuendelea kujongea mpaka walipojitokeza watu kumuua
  2. Mtu mwingine naye alimwona nyoka akipita njiani, akajishika kwa nguvu mkono kwenye wrist, nyoka hakuweza kusogea hata inchi moja mpaka alipouliwa.
 
Ukisikia kunukia wali ujue ni nyoka anajitoa magamba
NAOMBA NIWE KINYUME NA MSHANA JR,KWANI NGOZI YA CHATU HAIWEZI AU HAINA UWEZO WA KUSABABISHA MBWA ATULIE KAMWE.

Mara nyingi chatu anapohisi mnyama wa aina fulani yu karibu nae,huitoa harufu kulingana na hitaji la windo husika.
-ikiwa ni binadamu hapo patanukia chakula maridadi sana.
-ikiwa ni mbwa basi hapo hutoa super clasic meat smell ambayo huwa haivumiliki.
##############
Matters of its nature when he is alives...!
 
Chatu hutoa harufu ya WALI unaotamanisha kutafunwa..hivyo mbwa anadhani msosi wa maana kumbe tegoo
hi.jpg


Nimepita nchi moja ya mabeberu nkakuta KIATU kilichotengenezwa kwa ngozi ya CHATuu.... sawa na bei ya gari IST !
 
. Mtu mwingine naye alimwona nyoka akipita njiani, akajishika kwa nguvu mkono kwenye wrist, nyoka hakuweza kusogea hata inchi moja mpaka alipouliwa.
hilo nimelishuhudia pia
Hizi nguvu za asili hazijasikika kufanyiwa tafiti na wasomi, kwa mfano, nilishuhudia watu kadhaa kwa nyakati tofauti;
  1. Mama mmoja alishika maziwa yake kwa nguvu alipomwona nyoka, kilichotokea ni kwamba yule nyoka hakuweza kuendelea kujongea mpaka walipojitokeza watu kumuua
  2. Mtu mwingine naye alimwona nyoka akipita njiani, akajishika kwa nguvu mkono kwenye wrist, nyoka hakuweza kusogea hata inchi moja mpaka alipouliwa.
 
Back
Top Bottom