Mkuu miaka ya nyuma kidogo 2001 niliwahi kuwa na rafiki mmoja mkoa flani hivi yule jamaa alikuwaga na dawa yaani kama kuna demu unamtaka anazingua au amekukataa unajipaka hiyo dawa kwenye viganja vya mikono kisha unanuia utakavyo halafu unaenda kumsubiri huyo demu sehemu ambayo una uhakika anapita ila uhakikishe usigusane na mtu yeyote halafu ukishakutana na huyo demu umtakaye unamsalimia kwa kushikana naye mikono yaani baada ya hapo utamwona demu kabadirika huishiwa nguvu na ujasiri hata ukimwambia akufuate nyuma mwende lodge muda huo unaenda kumla.!
Hata ukimwambia aje saa flani geto kwako atakuja mwenyewe.!
Kwa kuwa huyo jamaa alitokea kuwa rafiki yangu nilimwomba anifundishe jinsi ya kutengeneza dawa hiyo aligoma akasema mimi bado mdogo maana ndo nilikuwa secondary hivyo akinifundisha dawa hizo ntajikuta natamani kutafuna kila demu na ntajikuta naharibu masomo,
Hivyo mpaka naondoka huko kurudi kwetu jamaa alinifungashia dawa kidogo ambayo nilipofika kijijini kwetu niliwatafuna mademu kama sina akili nzuri mpaka dawa ilipoisha nikabaki kukataliwa kama zamani!
Ukizingatia kipindi hicho hatuna simu yule rafiki tulipotezana maana hata rikizo iliyofuata nilirudi kule nilikomwacha nikakuta jamaa alishahama!
Ila ukweli jamaa alikuwa na dawa na aliwala sana wake za wakubwa na alikuwa na dawa flani hivi akitaka demu asimwache huingiza dawa kidogo kwenye kitundu cha mboo bila demu kuona kisha akishapiga bao moja tu asirudie hata kama demu anahitaji(ndo masharti ya dawa hiyo) yaani baada ya siku tatu demu ataanza kumganda jamaa na kumlilia mpaka inakuwa kero na dawa hiyo hakuwahi kunipa alisema sio nzuri maana demu atakuganda sana mpaka utamchukia na kama siku ukimtosa anajiua!
Nimekumbuka mbali sana aisee maisha ni safari ndefu ujue zamani mademu walikuwa wagumu sana sio kama siku hizi ukiwa na pesa tu unawala, zamani hata uwe na pesa unaweza kufukuzia demu mwaka mzima ndo unamla!
Ila jamaa angenifundisha hiyo dawa sijui kama ningekuwa bado naishi.!
Sent using
Jamii Forums mobile app