Ngozi nyeusi ina laana ya milele

Ngozi nyeusi ina laana ya milele

Kwa kweli kuna ukweli 100%, angalia serikali nzima inashindwa kutoa maelezo ya kueleweka kuhusu mabehewa au unajiuliza kwanini jiji halina maji wakati kuna mito mikubwa inalizunguka, umeme ndio balaa kabisa maana tuna kila kitu cha kuwa na umeme na wa ziada maana gas, maporomoko, upepo, jua etc vyote vipo vya kutosha na ukiangalia trillions zilizoliwa kwenye miradi hewa kuanzia IPTL,Richmond, Symbion etc zingeweza kujenga miundo mbinu ya umeme kuliko mahitaji yetu, tumepata uhuru lakini tunachofanya ni kuibiana kura na kuzuia na kuwafunga wengine wasio vyama vyetu wasifanye siasa, worse kuliko mkoloni, kule South asingekuwa kaburu wangekuwa kama Congo tuu or worse, Zimbabwe kapata Uhuru alichofanikiwa kawafanya nusu ya wananchi wake wakimbizi na walikuwa wanalisha Africa nzima sasa hivi hata unga wa ugali hawana
 
Hii ndio ilikuwa ni nchi mpya dunia...yenye hifadhi ya mafuta na madini...
Lakini baada ya kuwa na uwezo wa kujiendesha wenyewe, kilichofata hapo ni .......ngozi nyeusi yenye laana....
images
 
Kuna mdau amekuuliza nani aliyetulaani, na kwasababu ipi, umemjibu kuwa Bado upo kwenye utafiti. Ilo jibu umetoka kisiasa maana umekwepa maswali magumu ambayo yangefata.

Katika issue nyingi, mwafrika ni easy target. Sikatai kwamba tunamapungufu mengi sana, ila hatujafikia level za hao unao wa praise. Issue iliyopo ni kwamba, kasoro zetu zinamulikwa na taa, hivyo zinaonekana kwa urahisi.

Bahati mbaya hujataja sababu za hoja yako, ila ukweli ni kuwa when it comes to humanity, hakuna watu wabaya kama hao wazungu. Ningekupa mifano, ila ngoja niende dry kama post yako ilivyo

Itoshe kusema, kama kweli siku ya mwisho kuna issue ya kwenda peponi au motoni, waafrika eneo letu ni peponi.
Kwa roho mbaya na ku uwana unafiki wizi uchawi Waafrika kufika peponi ni ngumu
 
This is self hate at its worst. Sheer ignorance.

Mtoa mada ana saikolojia nzito ya kujichukia yeye mwenyewe.

Ni mtu mjinga asiyeelewa "correlation does not equal causation".

Ni mtu mjinga asiyeelewa historia na kujua dunia imefikaje hapa ilipo.
Kaongea ukweli
 
Nadhani jamaa ana point msimshambulie kwa maneno makali na matusi, ni kweli kabisa siasa na viongozi wa siasa wa afrika wameliangusha bara zima wanawaza uungu mtu na sio kuleta mabadiliko katika maisha ya watu, hivi unawezaje kuwa na rais mmoja madarakani miaka 40? inamaana nchi nzima ni mazuzu hakuna mwingine? na kibaya zaidi mitaala na elimu zetu ndio kabisaaaa tunaona kuongea kifaranza ama kiingereza ama kireno ndio tumemaliza na kukariri mavitu yasiyo na msingi, wenzetu Asia wanaupiga mwingi kwasababu walishashtukia mambo ya wazungu ndio maana hata elimu zao ni kwa kikwao wala sio kwa lugha ngeni, wanafanya yao wanajenga kwao wanakula vyao etc etc sisi ambao hata condom tunaletewa misaada ni ngumu sana kutoboa.
 
Wamepewa Katika Maeneo ambayo binadamu wenzao Wameweka mifumo endelevu inayoonyesha wazi kuwa inafanywa na watu wenye Akili Timamu.

Hiví kweli waafrika ukiangalia Tabia za Viongozi wao zinaakisi viumbe wenye Akili Nzuri. ?

Akili Nzuri ni pamoja na kuwakataa watu wenye Akili Mbaya kuongoza au kutawala.

Karne hii watu wanakwenda Ulaya Kununua treni zilizotumika Miaka mia Moja iliyopita na KUWADANGANYA watu kuwa ni treni za kisasa. Na watu Kwa kushabikia tu Jina la Chama basi wanapiga makofi na kusifia. YAANI Kwa Mfano neno ZANU PF lililoanzieshwa na watu wa Karne iliyopita Kwa malengo ya Wakati huo linawatoa watu Wa leo Akili kabisa na kuacha kufikiri sawasawa Karne na Dunia ya Leo yenye Kasi KUBWA ya Maendeleo ya kiuchumi Badala yake wanaweka mahaba Kwa Hilo Neno Kwa sababu tu kuna kundi KUBWA la watu waliolala ..

Wenzetu wanye Akili KUBWA Kwa Sasa wanatengengeza watu kwenye maabara.
Lengo lao ni kutengeneza MTU mwenye Ajili zaidi lakini mwenye Kinga KUBWA zaidi ya kimwili.
Sasa hatujui kuwa watatengeneza mashoga au Mabasha au watu Wenye hisia za kawaidia . Landa tusubiri Baadae kizazi cha maabara kikikua kitatupa majibu.

Lakini pia Wenzetu wamefikia walipofikia Kwa sababu walikataa Viongozi dhaifu .

Haiwezekani Madini yapo Afrika halfu viongozi wetu wanakwenda jubembeleza wezi Kuja kuiba Mali zetu. Halafu tunaleta Mahaba ya kivyama kuwapigia makofi Badala ya kuwapiga makofi.
Liberation is not one night process..,
Fuatilia hata wao imechukua miaka mingapi kufika.
Kile kizazi cha ccm imetukuza kinazidi kuisha sema tatizo lilipo sasa ni uchawa mtu anajua they wrong lakin anasifu.
Papa kule ulaya ndio alikuwa anatoa order watu wanafuata bila kuhoji naona tupo kipindi hicho.
Wanakuambia viongozi wanaletwa na Mungu lakin ikifika uchaguzi wanasema mkapige kura.
 
Kaongea ukweli
Ukweli hauna namba hata moja, hauna research iliyonukuliwa, hauna hata definition ya mtu mweusi ni nani?

Mtu mweusi au Muafrika ni nani?

Unaelewa mtu mmoja huyo huyo akienda South Africa anaweza kuitwa chotara, akienda Marekani ataitwa mweusi, akienda Brazil ataitwa mweupe?

Waafrika weusi tulio Marekani tunaambiwa sisi si watu weusi, sisi ni Waafrika.Watu weusi ni wale waliokuja Marekani na utumwa.

The whole concept of blackness is arbitrary and political.

Na nyie watu mnaokubali majibu mepesi kwa maswali magumu kama kawaida yenu mnaula wa chuya kwa uvivu wa kuchambua!
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.

Zamani nilikuwa nawaona wanawake wanaojichubua wapumbavu, mazwazwa na wajinga kwa kuukana Uafrika wenye ngozi nyeusi nzuri na kukimbilia kuutamani Uzungu, nadhani nilikuwa bado sijafahamu chochote na mimi nakili kabisa nilikuwa miongoni mwa wapumbavu!.

Mniwie radhi sana watu wote niliowaona wapumbavu baada ya kubadili rangi ya ngozi zenu na kuukimbilia weupe!

Waafrika (Ngozi nyeusi) kuna muda unaona mambo wanayoyafanya ni kama kichwani wamebeba makopo. Nenda Marekani ukawaone ngozi nyeusi wanavyoishi na namna walivyo, nadhani utanielewa nini namaanisha.

Njoo hapa Afrika ujionee vituko na maajabu ya mtu mweusi, nakwambia ni nafuu hata nyani kuna muda hutumia akili lakini si hizi ngozi nyeusi.

Naungana na Wazungu kutuita nyani au sokwe, kiukweli tunastahili kuitwa hivyo na hapa sipepesi macho kwakuwa na mimi ni mtu mweusi hivyo kwenye hii laana siiepuki!

Nawashukuru sana Waarabu kwa kuliona hilo, waliwakataza kabisa wanawake wao kuolewa na ngozi nyeusi kwasababu wanaepusha laana kwenye koo na familia zao.

Leo kuna watu weusi wajinga wamekomaa eti Morocco inawakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia, acheni huu ujinga wa kujipendekeza kwa Waarabu ambao hawana time na nyie.

Nyie pambaneni na laana yenu, Morocco walishasema kabisa wao wanawawakilisha Waarabu wenzao.

Rais wa Afrika kusini Pieter Willem Botha aliwahi kunukuliwa akisema;
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."

Hii kauli hadi leo haijawahi kukanushwa hadharani au kivitendo,bali ndiyo inathibitishwa hadharani na kivitendo kutoka kwa Ngozi nyeusi yenye laana.

Tumekalia dhahabu na madini chungu nzima lakini bado viongozi wetu wanaenda kuwapigia magoti wazungu na kuwaomba misaada.

Tuna maeneo na ardhi yenye rutuba ya kuzalisha kila zao na likakubali,kibaya zaidi tunatoka kwenye nchi ilibarikiwa kila kitu tunakwenda Saudi Arabia jangwani kununua ngano kwa mabilioni ya pesa. Tumezungukwa na maziwa,mito na mabwawa makubwa lakini watu hawana maji.

Tuna kila nyenzo za kututoa gizani lakini mpaka sasa wananchi wanaishi gizani.

NGOZI NYEUSI INA LAANA!

Ni hayo tu!
100%100% ....Nachukia sana mifumo yetu ya uongozi kutoka Sub Saharan Continent.Sisi wenyewe hatupendani !(Racial discriminations !!) Tunahujumiana sisi weusi kwa weusi! Ufisadi wa kijinga,Ubabe,Kuikanyaga democracy n.k ni mambo yanayotamalaki Africa kusini ya jangwa LA Sahara.MOROCCO Hawawezi kuwa upande wetu tuna nini cha kuigwa.Tukishupalia Dini tunazama KULIKO hata hao waliotuletea ....yaani nachukia.....!!!
 
Unakosoa watu kushabikia Morroco eti kwa vile hawana time na sisi???

Watu wanapo shabikia nchi kama Brazil, Ureno, Argentina, Ufaransa, Ujerumani,Spain na Timu kama Barcelona, Manchester united,Man city,Arsenal n.k Je hizi nchi na timu zinakuwa na Muda na sisi?????

Kwa nini umejaa chuki na gubu watu kushabikia Morroco??

Kijiografia Morocco ipo barani Afrika na huo ndio ukweli na uhalisia wanaosema Morocco ni ya waarabu pia, Wana endeshwa na kuongozwa na Mihemko na itikadi za kidini...
We uko dunia gani. Captan wao alihojiwa akasema ushindi ni wao, nchi za kiarabu na waislam. Jitahidi kufuatilia habari za kidunia. Mtu kakukataa unalazimishaje undugu? Infropreneur
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.

Zamani nilikuwa nawaona wanawake wanaojichubua wapumbavu, mazwazwa na wajinga kwa kuukana Uafrika wenye ngozi nyeusi nzuri na kukimbilia kuutamani Uzungu, nadhani nilikuwa bado sijafahamu chochote na mimi nakili kabisa nilikuwa miongoni mwa wapumbavu!.

Mniwie radhi sana watu wote niliowaona wapumbavu baada ya kubadili rangi ya ngozi zenu na kuukimbilia weupe!

Waafrika (Ngozi nyeusi) kuna muda unaona mambo wanayoyafanya ni kama kichwani wamebeba makopo. Nenda Marekani ukawaone ngozi nyeusi wanavyoishi na namna walivyo, nadhani utanielewa nini namaanisha.

Njoo hapa Afrika ujionee vituko na maajabu ya mtu mweusi, nakwambia ni nafuu hata nyani kuna muda hutumia akili lakini si hizi ngozi nyeusi.

Naungana na Wazungu kutuita nyani au sokwe, kiukweli tunastahili kuitwa hivyo na hapa sipepesi macho kwakuwa na mimi ni mtu mweusi hivyo kwenye hii laana siiepuki!

Nawashukuru sana Waarabu kwa kuliona hilo, waliwakataza kabisa wanawake wao kuolewa na ngozi nyeusi kwasababu wanaepusha laana kwenye koo na familia zao.

Leo kuna watu weusi wajinga wamekomaa eti Morocco inawakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia, acheni huu ujinga wa kujipendekeza kwa Waarabu ambao hawana time na nyie.

Nyie pambaneni na laana yenu, Morocco walishasema kabisa wao wanawawakilisha Waarabu wenzao.

Rais wa Afrika kusini Pieter Willem Botha aliwahi kunukuliwa akisema;
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."

Hii kauli hadi leo haijawahi kukanushwa hadharani au kivitendo,bali ndiyo inathibitishwa hadharani na kivitendo kutoka kwa Ngozi nyeusi yenye laana.

Tumekalia dhahabu na madini chungu nzima lakini bado viongozi wetu wanaenda kuwapigia magoti wazungu na kuwaomba misaada.

Tuna maeneo na ardhi yenye rutuba ya kuzalisha kila zao na likakubali,kibaya zaidi tunatoka kwenye nchi ilibarikiwa kila kitu tunakwenda Saudi Arabia jangwani kununua ngano kwa mabilioni ya pesa. Tumezungukwa na maziwa,mito na mabwawa makubwa lakini watu hawana maji.

Tuna kila nyenzo za kututoa gizani lakini mpaka sasa wananchi wanaishi gizani.

NGOZI NYEUSI INA LAANA!

Ni hayo tu!
Point
 
We uko dunia gani. Captan wao alihojiwa akasema ushindi ni wao, nchi za kiarabu na waislam. Jitahidi kufuatilia habari za kidunia. Mtu kakukataa unalazimishaje undugu? Infropreneur
Morocco ipo barani Afrika..wanao sema Morroco ni ya waarabu wanaendeshwa na itikadi na Mihemko ya kidini.
 
Uzuri wa laana ya mtu mweusi ni kuwa mwerevu kuliko ngozi nyingine yeyote. Utabisha, lakini ukienda kila kona ya Dunia, kutoka Kuimba, Kucheza mpira, mapenzi, uongozi n.k ndio wanayoongoza. Ukweli ndio huo.

Wazungu, waarabu ni mashetani makubwa kiasi cha kuanzishiwa dini ili kuwaokoa na maovu yao...sasa kama hiyo sio laana mbaya sijui iitwe nini?
Ushahidi wako wa kudai mikorogo haina mshiko.

Umelaaniwa na udhalimu na ulegee huko ulipo. Utalegea tu....manake nguvu ya mtu mwenye ngozi nyeusi pamoja na laana yake itakusumbua mpaka uhare kwa uchungu tu.
Amani.
Aluta Continua.
 
Naunga mkono hoja. Ngozi nyeusi hatuna tofauti na wanyama Pori
 
Mimi nakubaliana na wewe kuwa wapo watu weusi wengi tu wenye uwezo mkubwa sana lakini swali ni kwa nini hkuna lolote la maana linalofanywa ndani ya Afrika na hao tunaosema wana akili sana?
Mfano Professor Ibrahim Lipumba, msomi na mtaaluma wa Uchumi.
 
Back
Top Bottom