Ngozi nyeusi ina laana ya milele

Ngozi nyeusi ina laana ya milele

UMUGHAKA ulichokisema Ni kweli hayo yanathibitika katika mfumo mzima wa maisha yetu kwenye jamii yetu. Haijali UTU.
Haya uliyoyasema yanaungwa mkono na Georg wilhelm friedrich hegel mwanafalsafa wa kijerumni
 
UMUGHAKA LEO UMEONGEA PUMBA AMBAYO ATA KUKU WALA BATA HAWEZI KULA SHAME ON YOU NIGGA TO DISRESPECT BLACK COLOR
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.

Zamani nilikuwa nawaona wanawake wanaojichubua wapumbavu, mazwazwa na wajinga kwa kuukana Uafrika wenye ngozi nyeusi nzuri na kukimbilia kuutamani Uzungu, nadhani nilikuwa bado sijafahamu chochote na mimi nakili kabisa nilikuwa miongoni mwa wapumbavu!.

Mniwie radhi sana watu wote niliowaona wapumbavu baada ya kubadili rangi ya ngozi zenu na kuukimbilia weupe!

Waafrika (Ngozi nyeusi) kuna muda unaona mambo wanayoyafanya ni kama kichwani wamebeba makopo. Nenda Marekani ukawaone ngozi nyeusi wanavyoishi na namna walivyo, nadhani utanielewa nini namaanisha.

Njoo hapa Afrika ujionee vituko na maajabu ya mtu mweusi, nakwambia ni nafuu hata nyani kuna muda hutumia akili lakini si hizi ngozi nyeusi.

Naungana na Wazungu kutuita nyani au sokwe, kiukweli tunastahili kuitwa hivyo na hapa sipepesi macho kwakuwa na mimi ni mtu mweusi hivyo kwenye hii laana siiepuki!

Nawashukuru sana Waarabu kwa kuliona hilo, waliwakataza kabisa wanawake wao kuolewa na ngozi nyeusi kwasababu wanaepusha laana kwenye koo na familia zao.

Leo kuna watu weusi wajinga wamekomaa eti Morocco inawakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia, acheni huu ujinga wa kujipendekeza kwa Waarabu ambao hawana time na nyie.

Nyie pambaneni na laana yenu, Morocco walishasema kabisa wao wanawawakilisha Waarabu wenzao.

Rais wa Afrika kusini Pieter Willem Botha aliwahi kunukuliwa akisema;
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."

Hii kauli hadi leo haijawahi kukanushwa hadharani au kivitendo,bali ndiyo inathibitishwa hadharani na kivitendo kutoka kwa Ngozi nyeusi yenye laana.

Tumekalia dhahabu na madini chungu nzima lakini bado viongozi wetu wanaenda kuwapigia magoti wazungu na kuwaomba misaada.

Tuna maeneo na ardhi yenye rutuba ya kuzalisha kila zao na likakubali,kibaya zaidi tunatoka kwenye nchi ilibarikiwa kila kitu tunakwenda Saudi Arabia jangwani kununua ngano kwa mabilioni ya pesa. Tumezungukwa na maziwa,mito na mabwawa makubwa lakini watu hawana maji.

Tuna kila nyenzo za kututoa gizani lakini mpaka sasa wananchi wanaishi gizani.

NGOZI NYEUSI INA LAANA!

Ni hayo tu!
HAKUNA JIPYA HAPA...UMEONGEA GENERAL ISSUES AMBAZO KILA MTU ANAZIJUA. hayo mambo sijui tunanunua ngano huko, sijui tuna mito na maziwa mengi na hatuna maji kila mtu mbona anajua hayo!!! [emoji35][emoji35]
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.

Zamani nilikuwa nawaona wanawake wanaojichubua wapumbavu, mazwazwa na wajinga kwa kuukana Uafrika wenye ngozi nyeusi nzuri na kukimbilia kuutamani Uzungu, nadhani nilikuwa bado sijafahamu chochote na mimi nakili kabisa nilikuwa miongoni mwa wapumbavu!.

Mniwie radhi sana watu wote niliowaona wapumbavu baada ya kubadili rangi ya ngozi zenu na kuukimbilia weupe!

Waafrika (Ngozi nyeusi) kuna muda unaona mambo wanayoyafanya ni kama kichwani wamebeba makopo. Nenda Marekani ukawaone ngozi nyeusi wanavyoishi na namna walivyo, nadhani utanielewa nini namaanisha.

Njoo hapa Afrika ujionee vituko na maajabu ya mtu mweusi, nakwambia ni nafuu hata nyani kuna muda hutumia akili lakini si hizi ngozi nyeusi.

Naungana na Wazungu kutuita nyani au sokwe, kiukweli tunastahili kuitwa hivyo na hapa sipepesi macho kwakuwa na mimi ni mtu mweusi hivyo kwenye hii laana siiepuki!

Nawashukuru sana Waarabu kwa kuliona hilo, waliwakataza kabisa wanawake wao kuolewa na ngozi nyeusi kwasababu wanaepusha laana kwenye koo na familia zao.

Leo kuna watu weusi wajinga wamekomaa eti Morocco inawakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia, acheni huu ujinga wa kujipendekeza kwa Waarabu ambao hawana time na nyie.

Nyie pambaneni na laana yenu, Morocco walishasema kabisa wao wanawawakilisha Waarabu wenzao.

Rais wa Afrika kusini Pieter Willem Botha aliwahi kunukuliwa akisema;
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."

Hii kauli hadi leo haijawahi kukanushwa hadharani au kivitendo,bali ndiyo inathibitishwa hadharani na kivitendo kutoka kwa Ngozi nyeusi yenye laana.

Tumekalia dhahabu na madini chungu nzima lakini bado viongozi wetu wanaenda kuwapigia magoti wazungu na kuwaomba misaada.

Tuna maeneo na ardhi yenye rutuba ya kuzalisha kila zao na likakubali,kibaya zaidi tunatoka kwenye nchi ilibarikiwa kila kitu tunakwenda Saudi Arabia jangwani kununua ngano kwa mabilioni ya pesa. Tumezungukwa na maziwa,mito na mabwawa makubwa lakini watu hawana maji.

Tuna kila nyenzo za kututoa gizani lakini mpaka sasa wananchi wanaishi gizani.

NGOZI NYEUSI INA LAANA!

Ni hayo tu!
Ukiwa CCM ndiyo unakuwa mweusi zaidi kama mkaa
 
Unakosoa watu kushabikia Morroco eti kwa vile hawana time na sisi???

Watu wanapo shabikia nchi kama Brazil, Ureno, Argentina, Ufaransa, Ujerumani,Spain na Timu kama Barcelona, Manchester united,Man city,Arsenal n.k Je hizi nchi na timu zinakuwa na Muda na sisi?????

Kwa nini umejaa chuki na gubu watu kushabikia Morroco??

Kijiografia Morocco ipo barani Afrika na huo ndio ukweli na uhalisia wanaosema Morocco ni ya waarabu pia, Wana endeshwa na kuongozwa na Mihemko na itikadi za kidini...
 
Ameongea ukweli mtupu waafrika mmepunjwa akili
Kwanza hiyo dhana nzima ya "Waafrika", pamoja na jina lenyewe, ni vya watu wa nje tu. Hata jina linaonesha kwamba unawahukumu hao watu kwa mchezo ambao si wao.

Na wewe umepunjwa akili mkuu?
 
Tusiende mbali itazame Tanzania iliyobarikiwa Mali asili kedekede Kisha iangalie Qatar iliyopo Jangwani uangalie at the national level tupo wapi.
Ukweli mchungu,
Sisi watu weusi hatujawahi kuwa sawa.
Nakwambia hivi, una m judge mcheza golf katika mashindano ya ndondi.

Of course utakuja na majibu yasiyoridhisha.

Zaidi,

Qatar imebarikiwa mali asili kwenye mafuta na gas, kwa hivyo mfano wako wa Qatar kama nchi isiyo na maliasili, kwa sababu tu iko jangwani, bila kuangalia chini ya hilo jangwa kuna nini, haufai, tafuta mfano mwingine.

Ila kwa mifano hii na mazungumzo ya uzi huu, naweza kukubali kwamba angalau Waafrika wengi wanaochangia uzi huu hawana akili.

Hawajui historia.


Hawajui tofauti ya correlation na causation.

Hawajui hata kwamba Qatar ina maliasili nyingi sana, wanaangalia nchi na kuona jwangwa tu, wanaishia kufikiri nchi haina maliasili.
 
Kwa mtu ambae ameishi nje ya Africa especially mataifa yalioendelea ndio atakaemwelewa vizuri mtoa mada..
 
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane.

Zamani nilikuwa nawaona wanawake wanaojichubua wapumbavu, mazwazwa na wajinga kwa kuukana Uafrika wenye ngozi nyeusi nzuri na kukimbilia kuutamani Uzungu, nadhani nilikuwa bado sijafahamu chochote na mimi nakili kabisa nilikuwa miongoni mwa wapumbavu!.

Mniwie radhi sana watu wote niliowaona wapumbavu baada ya kubadili rangi ya ngozi zenu na kuukimbilia weupe!

Waafrika (Ngozi nyeusi) kuna muda unaona mambo wanayoyafanya ni kama kichwani wamebeba makopo. Nenda Marekani ukawaone ngozi nyeusi wanavyoishi na namna walivyo, nadhani utanielewa nini namaanisha.

Njoo hapa Afrika ujionee vituko na maajabu ya mtu mweusi, nakwambia ni nafuu hata nyani kuna muda hutumia akili lakini si hizi ngozi nyeusi.

Naungana na Wazungu kutuita nyani au sokwe, kiukweli tunastahili kuitwa hivyo na hapa sipepesi macho kwakuwa na mimi ni mtu mweusi hivyo kwenye hii laana siiepuki!

Nawashukuru sana Waarabu kwa kuliona hilo, waliwakataza kabisa wanawake wao kuolewa na ngozi nyeusi kwasababu wanaepusha laana kwenye koo na familia zao.

Leo kuna watu weusi wajinga wamekomaa eti Morocco inawakilisha Afrika kwenye Kombe la Dunia, acheni huu ujinga wa kujipendekeza kwa Waarabu ambao hawana time na nyie.

Nyie pambaneni na laana yenu, Morocco walishasema kabisa wao wanawawakilisha Waarabu wenzao.

Rais wa Afrika kusini Pieter Willem Botha aliwahi kunukuliwa akisema;
"Black People can not rule themselves because they don't have the brain and mental capacity to govern a society. Give them guns, they would kill themselves, give them power, they will steal all the Government (Public) money, give them Independence and Democracy, they will use it to promote tribalism, ethnicity, bigotry, hatred, killings and wars."

Hii kauli hadi leo haijawahi kukanushwa hadharani au kivitendo,bali ndiyo inathibitishwa hadharani na kivitendo kutoka kwa Ngozi nyeusi yenye laana.

Tumekalia dhahabu na madini chungu nzima lakini bado viongozi wetu wanaenda kuwapigia magoti wazungu na kuwaomba misaada.

Tuna maeneo na ardhi yenye rutuba ya kuzalisha kila zao na likakubali,kibaya zaidi tunatoka kwenye nchi ilibarikiwa kila kitu tunakwenda Saudi Arabia jangwani kununua ngano kwa mabilioni ya pesa. Tumezungukwa na maziwa,mito na mabwawa makubwa lakini watu hawana maji.

Tuna kila nyenzo za kututoa gizani lakini mpaka sasa wananchi wanaishi gizani.

NGOZI NYEUSI INA LAANA!

Ni hayo tu!
Nimefurah kukuona tena umughaika ww n kiboko genius sana
 
Kuna MTU mmoja kama chizi Kidogo lakini anajua mambo Mengi sana ya Ulimwengu Wa KIROHO.
Hua anasimulia mambo yanayohusu Malaika ,Majini, Shetani,YESU ,kuzimu ,Mbinguni n.k.
Nilimuuliza swali Moja:-
Je,Shetani anafananaje. Jibu lake alijibu Hana sura ya kueleweka ,lakini ni MWEUSI Kwa rangi yake.
 
Labda ungenambia kuwa watu weusi wakienda huko Harvad, Yale, Oxford au Hebrew university of Jerusalem wanashindwa kuperform kama wazungu.

Au ungenambia hawawezi kuwa creative mfano wasanii, wacheza mpira au boxing.
Au viongozi wapo wengi wazuri kama Sankara, Martin Luther king, Malcolm x, Garvey.
Huko ulaya na marekani watu wanapewa nyadhifa na nafasi wanaperform vizuri tu.

Wapo waigizaji bora sana weusi artist wazuri weusi.
Wanasansi(wagunduzi) sio sana na sababu zipo.
Useme kuwa naakili kwako wewe unataka wafanyaje!?
Wamepewa Katika Maeneo ambayo binadamu wenzao Wameweka mifumo endelevu inayoonyesha wazi kuwa inafanywa na watu wenye Akili Timamu.

Hiví kweli waafrika ukiangalia Tabia za Viongozi wao zinaakisi viumbe wenye Akili Nzuri. ?

Akili Nzuri ni pamoja na kuwakataa watu wenye Akili Mbaya kuongoza au kutawala.

Karne hii watu wanakwenda Ulaya Kununua treni zilizotumika Miaka mia Moja iliyopita na KUWADANGANYA watu kuwa ni treni za kisasa. Na watu Kwa kushabikia tu Jina la Chama basi wanapiga makofi na kusifia. YAANI Kwa Mfano neno ZANU PF lililoanzieshwa na watu wa Karne iliyopita Kwa malengo ya Wakati huo linawatoa watu Wa leo Akili kabisa na kuacha kufikiri sawasawa Karne na Dunia ya Leo yenye Kasi KUBWA ya Maendeleo ya kiuchumi Badala yake wanaweka mahaba Kwa Hilo Neno Kwa sababu tu kuna kundi KUBWA la watu waliolala ..

Wenzetu wanye Akili KUBWA Kwa Sasa wanatengengeza watu kwenye maabara.
Lengo lao ni kutengeneza MTU mwenye Ajili zaidi lakini mwenye Kinga KUBWA zaidi ya kimwili.
Sasa hatujui kuwa watatengeneza mashoga au Mabasha au watu Wenye hisia za kawaidia . Landa tusubiri Baadae kizazi cha maabara kikikua kitatupa majibu.

Lakini pia Wenzetu wamefikia walipofikia Kwa sababu walikataa Viongozi dhaifu .

Haiwezekani Madini yapo Afrika halfu viongozi wetu wanakwenda jubembeleza wezi Kuja kuiba Mali zetu. Halafu tunaleta Mahaba ya kivyama kuwapigia makofi Badala ya kuwapiga makofi.
 
Uko sahihi kishenzi zaidi ya balaa, naunga hoja tena kwa dhati....
 
Back
Top Bottom