Ngorongoro ilishachukuliwa kitambo...

Ngorongoro ilishachukuliwa kitambo...

"TANZANIA INALINDA MAENEO YA KITALII YANAYOZIDI KUELEMEWA NA IDADI KUBWA YA WANANCHI NA KUKALIWA HIVYO KUTISHIA EXISTENCE YA HIFADHI ZETU"
Wakati mwingine kutumia nguvu kidogo ni muhimu serekali imewapenda mpaka inawajengea nyumba na handeni inamandhari nzuri sana hasa kwa mifugo yao serikali imeapenda sana lakini wamekuwa wakaidi huku chadomo wakijipatia #kiki katika suala hili.
#MASAI_MUST_MOVEOUT_PEACEFUL
#Mshana_jr Tujuze zaidi kwa mnunuaji umjuaye.....
Naomba nisizungumzie mnunuzi kwakuwa hilo neno halipo kwenye mada yangu hii bali unaweza kunisaidia kuyajibu haya

*Ni nani alifadhili mchakato wa Environment Impact Survey ya Wamasai kuharibu mbuga ya Ngorongoro?

*Ni nani alifadhili utafutaji na ununuaji wa eneo la Handeni Tanga ili Wamasai wa Ngorongoro wahamishiwe huko?

*Ni nani alifadhili ujenzi wa nyumba na miundombinu ya Handeni?

*Ni nani alifadhili fidia malipo na bakshish ya waliokubali kuhama?

Serikali huwa na bajeti yake ya mwaka na kila pesa hupitia bungeni je hili lilifanyika? Kama LA je ni nani yuko nyuma ya haya yote?
 
Naomba nisizungumzie mnunuzi kwakuwa hilo neno halipo kwenye mada yangu hii bali unaweza kunisaidia kuyajibu haya

*Ni nani alifadhili mchakato wa Environment Impact Survey ya Wamasai kuharibu mbuga ya Ngorongoro?

*Ni nani alifadhili utafutaji na ununuaji wa eneo la Handeni Tanga ili Wamasai wa Ngorongoro wahamishiwe huko?

*Ni nani alifadhili ujenzi wa nyumba na miundombinu ya Handeni?

*Ni nani alifadhili fidia malipo na bakshish ya waliokubali kuhama?

Serikali huwa na bajeti yake ya mwaka na kila pesa hupitia bungeni je hili lilifanyika? Kama LA je ni nani yuko nyuma ya haya yote?
Ndiyo sasa mfahamu mna serekali makini na inayojali inaona tatizo na inajitahdi kulitatua kwa faida ya wanyama wetu na vizazi vijavyo...
kiongozi mwingine anakufukuza anakubomolea na hana habari na wewe tena! #MASAI_MUST_MOVEOUT_PEACEFUL
 
Nyoko zako ww fala! Alikwambia utamkumbukaa shwain..na sasa imeanza kwa wamasai yenu kule upareni inakuja subir tu?! C ulishangalia kifo cha JPM..bora ufe kuliko kuteseka ndani ya nchi yako..sasa inaanza kula taratibu..yalianza mafuta...ikaja nauli...subir yanakuja mengine!
Women are always weak...weak..weak indeed! 10 years will be counted as 100years! The worst is yet to come!
Upareni WAP tena mbona tunatishana
 
Ukiwa mtu mzima afu unaanzi nyuzi za kipumbuvu inakera.
 
Kuna siku ambayo wananchi tutaamua kufanya yetu na hiyo ndio siku ambayo kila aliyewahi fanya maasi dhidi ya wananchi atakatwa kichwa la sivyo akimbie hii nchi. Mmetushika vichwa tumewaacha naona wanataka kutushika na nyeti.
Hawa watanzania ninao wajua ?
 
Deal done..!
Mark my words!
Hizi za sasa ni purukushani za muda tu na kelele za chura zisizo mzuia tembo kunywa maji..!
Ngorongoro is no longer ours..and maybe be it will never be ours again ..! Nani anakumbuka ya Loliondo? Pamoja na kelele zote zile haikuwahi kurudi kwetu...!

Siku ile pm alipoenda Arusha na ile list ndefu ya Wamasai waliokubali kuhamia ugenini huko Handeni Tanga... Ndio ilikuwa hitimisho la kuiaga Ngorongoro..

Ule mkutano
Zile picha
Yale majina
Zile video
Vyote vimechukuliwa na kuhifadhiwa vizuri kwamba kila kitu kilifanyika kwa kuzingatia haki za binadamu, matakwa ya kisheria nknk..

Hawa waliopelekewa moto leo wanahesabika kama wavamizi na ndio maana jeshi la polisi lilienda kule.. Na trust me kile kilichifanyika asubuhi ya leo ni salam tuu.. Ile ni kifungua kinywa tuu.. Full menu ya bufee itawaendea usiku kukiwa kuna kiza kinene. Hapo ndio shetani atasimamia ukucha...

Kesho yaweza kuwa siku ya kuokota mizoga, majeruhi vituo vya afya, watuhumiwa kwenye selo za polisi, na matukio ya watu kupotea huko Ngorongoro national park.

Kwa wiki chache zijazo safisha safisha itaendelea kuondoa masalia yote ya kitu kinachoitwa Wamasai wa Ngorongoro wavamizi.. Tutawekwa busy na unit za umeme kupaa, kesi za sabaya na drama zingine zote..!

Itakapofika 30/6 ndio itakuwa mwisho wa kuiona Ngorongoro uliyozoea kuiona japo kwa picha tangu ukiwa mdogo.. Kama una picha zake ama ulibahatika kufika kule na kupata kumbukumbu kadhaa..ZIHIFADHI VEMA..Hiyo bahati haipo tena!

Hakuna picha zake zitapatikana tena huko kwa uhuru na kujiachia, hakuna selfies tena za mbuga yetu ile urithi wetu...picha zitapigwa na watu maalum..! Na kwa sababu maalum...!

Na wazawa watakaoruhusiwa kuingia kule ama ni mamluki ama ni wafanyakazi wasio huru,.. Itakuwa ni kama watumwa katika nchi yao wenyewe!

Tusitaharuki zaidi, tusilie, bali tuanue tanga.. Msiba ulishaisha kwasasa tusubiri kusomwa historia ya marehemu.. Tukipata wasaa tutawasimulia wana wetu picnic, na study tour za kishule wakati pale pakiwa kwetu..
Na wakimaliza hapo wanahamia bagamoyo , twende taratibu , si ndo uongozi mliokuwa mnaulilia , baada ya hapo wanahamia Mlima mlima kilimanjaro...mpak barabara atapewa mwekezaji , ni swala la mda tuu
 
Toa hoja amechemka kitu gani siyo unalalamika bila hoja ya kueleweka. Jibu maswali yake hapo juu kuhusu fedha ilipitia bunge gani kuhamisha wamasai!!
Akiweza kukujibu walau moja najitoa JF
 
Na wakimaliza hapo wanahamia bagamoyo , twende taratibu , si ndo uongozi mliokuwa mnaulilia , baada ya hapo wanahamia Mlima mlima kilimanjaro...mpak barabara atapewa mwekezaji , ni swala la mda tuu
Wote ni wale wale kwani ya Chato huyajui ama unataka kuyapotezea?
 
Deal done..!
Mark my words!
Hizi za sasa ni purukushani za muda tu na kelele za chura zisizo mzuia tembo kunywa maji..!
Ngorongoro is no longer ours..and maybe be it will never be ours again ..! Nani anakumbuka ya Loliondo? Pamoja na kelele zote zile haikuwahi kurudi kwetu...!

Siku ile pm alipoenda Arusha na ile list ndefu ya Wamasai waliokubali kuhamia ugenini huko Handeni Tanga... Ndio ilikuwa hitimisho la kuiaga Ngorongoro..

Ule mkutano
Zile picha
Yale majina
Zile video
Vyote vimechukuliwa na kuhifadhiwa vizuri kwamba kila kitu kilifanyika kwa kuzingatia haki za binadamu, matakwa ya kisheria nknk..

Hawa waliopelekewa moto leo wanahesabika kama wavamizi na ndio maana jeshi la polisi lilienda kule.. Na trust me kile kilichifanyika asubuhi ya leo ni salam tuu.. Ile ni kifungua kinywa tuu.. Full menu ya bufee itawaendea usiku kukiwa kuna kiza kinene. Hapo ndio shetani atasimamia ukucha...

Kesho yaweza kuwa siku ya kuokota mizoga, majeruhi vituo vya afya, watuhumiwa kwenye selo za polisi, na matukio ya watu kupotea huko Ngorongoro national park.

Kwa wiki chache zijazo safisha safisha itaendelea kuondoa masalia yote ya kitu kinachoitwa Wamasai wa Ngorongoro wavamizi.. Tutawekwa busy na unit za umeme kupaa, kesi za sabaya na drama zingine zote..!

Itakapofika 30/6 ndio itakuwa mwisho wa kuiona Ngorongoro uliyozoea kuiona japo kwa picha tangu ukiwa mdogo.. Kama una picha zake ama ulibahatika kufika kule na kupata kumbukumbu kadhaa..ZIHIFADHI VEMA..Hiyo bahati haipo tena!

Hakuna picha zake zitapatikana tena huko kwa uhuru na kujiachia, hakuna selfies tena za mbuga yetu ile urithi wetu...picha zitapigwa na watu maalum..! Na kwa sababu maalum...!

Na wazawa watakaoruhusiwa kuingia kule ama ni mamluki ama ni wafanyakazi wasio huru,.. Itakuwa ni kama watumwa katika nchi yao wenyewe!

Tusitaharuki zaidi, tusilie, bali tuanue tanga.. Msiba ulishaisha kwasasa tusubiri kusomwa historia ya marehemu.. Tukipata wasaa tutawasimulia wana wetu picnic, na study tour za kishule wakati pale pakiwa kwetu..
Nimetokwa machozi mimi
 
Hivi yule mtetezi wao bungeni alirestishwa in peace alipoanza kutetea wamasai ee?
 
Naona umekwepa kujibu maswali yangu na kuchomekea kitu kingine, Rejea kwenye hoja husika tafadhali ili kuonesha weledi na ukomavu
Yapo mambo kwa akili ndogo tu ya kiuanadamu unaona kabisa hili silo, unaona kabisa watu wanachota mchanga kwenye kingo za daraja unangoja utafiti kwanza ufanyike badala ya kuwaondoa haraka"
 
Je, unaweza kuleta uthibitisho dhidi ya hizo tuhumu kuwa Ngorongoro ilishachukuliwa au umeota usingizini ukaja kuandika hapa?
 
Huu ni mchanganyiko sirahisi kujua nani ni nani na upi ni upi, sasa kilichobaki CHANGANYA MALUNDI PEPEA KIVYAKO
 
Back
Top Bottom