Ngono nzuri na tamu ni ipi..?

my self sipendi kama najua leo naenda kuhave sex...najiskia vibaya sana ila ndo ivyo sasa

Maneno haya!

lakini siku hizi ukitaka kwanza mpaka ufanye vi date visivyopungua vitatu, tena kwa gharama yako, na siku ukiahidiwa kupewa, unaweza kuchomeshwa mahindi mara kadhaa, ukiambulia hola, na siku ukipewa gharama za entertainment kabla ya kuingia kwenye mechi inaweza kwenda 50, na ukija kwenye kulipia guest inaweza kukutoka 30, na mkitoka hapo inabidi umchukulie taxi, hawezi mkupanda daladala tena... kuja aje na daladala lakini baada ya mechi kwa raha zake ndani ya taxi... kwa mishindo miwili au mitatu unajikuta umetumia 100,000 au zaidi achilia mbali gharama za mitoko...............

Vijana wa siku hizi mna kazi mie huko nishapita, ujana wangu niliumalizia maporini na vibinti na baada ya hapo nimewowa, nawasanifu tu mnavyohangaika siku hizi..............LOL

Yaani sijui tukimbilie wapi, sasa hapo na gharama zote hizo halafu mtoto anakuja na setting ya namna hiyo hapo, we unadhani hiyo utaita mapenzi?

Naomba nitoe siri ya moyo watoto wa Arusha nawakubali sana Bro, hawana mbwembwe nyingi asee....

Unakutana na mtoto sehemu, unaomba namba ya simu anakupa habani mawasiliano hana uoga na mwanaume kama hakutaki anakwambia tu kiroho saaaafi....

So ndio maana nkasema kuna baadhi ya maeneo hivyo vitu vipo sana mpaka sasa, sio lazima iwe porini kama enzi zenu, hivi vitu vinatakiwa viwepo akilini kuwa ngono sio uovu kama tunaoamishwa kwenye propaganda za kidini na wanaharakati uchwara!
 
Vyote vinahusika.
Kuna wanawake wengine hawapati nyegge mpaka wapigwe ngwara na mitama.
Hapo ndipo huwa tayari kupanua mapaja.
Ila ngono nzuri ni ile "cha chapchap"
bafuni na mpangaji mwenzako,au ofsini na mfanyakazi mwenzako,au club chooni.
Hyo ndo ngono nzuri,hakuna kujiandaa,chapchap kitamu,asikwambie mtu.

Ni kweli kaka hizo zipo sana Usukumani inaitwa Chagulaga,na zamani huko Ujaluoni nasikia ilikuwa ni lazima kukimbizana ngawala halafu ndio ngoma inachezwa sijui siku hizi!!!!
 
Duu! Sina utaalamu sana lakini hata zile ngona za kujiibaiba kama vile wake za watu, demu wa jamaa, ofisini, vichakani n.k zinakuwaga na utamu kake! Kale kawasiwasi na shasha kuna burudani jamani! We acha tu
 
Hahahahahah shosti cyo ngono zembe bana, ictoshe hata huko kwenye ndoa mbona ndo wanaongoza kwa STD's esp. HIV? Acha vijana wajivinjari bana......

Ciello nikwambie kitu?!sikuwahi kufanya kitu kama hicho lakini imenitokea tarehe 10 mwaka huu,nilikuwa sehemu siku hiyo na maongezi na rafiki zangu tukawa tunakula kuku kidogo na kujaribu kubadilishana mawazo kidogo namna ambavyo tunaweza kuanzisha machimbo yetu mapya huko Nyarugusu na hasa wakati huu wa Mvua ka sababu maji yamekuwa yakijaa kwenye mashimo na hivyo uzalishaji wa dhahabu unakuwa mdogo sana.

Wakati tunazungumza akaja mdogo wangu akiwa na rafiki yake mmoja ambaye alikuwa amekuja nyumbani kumtembelea wamesoma naye alikuwa amekuja kuchukua fedha kwa ajili ya kuwapelekea vijana wa kazi kwa sababu kuna dharura ilikuwa imetokea.

Cha ajabu alivyofika na yule rafiki yake nikawanunulia soda wakati bado namhesabia pesa alipoaga na kunitambulisha kwa rafiki yake huyo nikamwambia amuache aende kwanza kwa vijana apelekea pesa na kwa sababu kule alikokuwa ankwenda ni porini umbali wa mwendo wa masaa mmanne kwenda na kurudi akarudi saa moja usiku akafikia nyumbani nikamwambia nitakwenda nyumbani na rafiki yake atusubirui hukohuko.

Kwa sababu sasa tulikuwa tumebaki wawili tu hapo rafiki zangu tayari walikuwa wametoweka nikajikuta namuomba kitu,na yeye bila kujihoji akakubali na hpo hapo nikalipia chumba na kwenda kumtwanga humo ndani,kweli ni mtu wa ukweli na nilifidi na sasa nimeamua kwamba ndiye nitakayekuwa nakula,na sasa nimeamua kumuajiri kwenye kampuni yangu anafanya kzi na mdogo wangu ktika ofisi moja huwa nanimegea tu taratiiibu na kwao Arusha ndio hivyo tena sijui hta kama anapakumbuka.lakini ni kitu cha ukeli kwa hiyo mimi nakubaliana na Mtambuzi kwamba hizi za kutokupanga wala kuombana na kubembelezana hdi kupeana midi ni nzuri iipokuwa ni za kubahtish saana.
 
Naomba nitoe siri ya moyo watoto wa Arusha nawakubali sana Bro, hawana mbwembwe nyingi asee....

Unakutana na mtoto sehemu, unaomba namba ya simu anakupa habani mawasiliano hana uoga na mwanaume kama hakutaki anakwambia tu kiroho saaaafi....

!

na kwao Arusha ndio hivyo tena sijui hta kama anapakumbuka.lakini ni kitu cha ukeli kwa hiyo mimi nakubaliana na Mtambuzi kwamba hizi za kutokupanga wala kuombana na kubembelezana hdi kupeana midi ni nzuri iipokuwa ni za kubahtish saana.

Mnaona, mi nilishasema lol
 
Ni kweli kaka hizo zipo sana Usukumani inaitwa Chagulaga,na zamani huko Ujaluoni nasikia ilikuwa ni lazima kukimbizana ngawala halafu ndio ngoma inachezwa sijui siku hizi!!!!

Hapo kwenye Bold n'take radhi msukuma wewe.
Mimi ni mwanamke rijali tena mwenye uwezo wa kuhudumia watu 10 kama wewe kwa usiku mmoja.
 
Mkuu Mtambuzi hii kitu ina faida na hasara zake!
Faida: ni kuwa utafurahia hii ngono yako ya ghafla kwa mtu ambae hamkupanga kufanya hiyo kitu, Ikiwa tu mtu huyo atakuwa msafi na atakuvutia na kukufurahisha nafsi yako mwanzo mpaka mwisho wa zoezi lenu. Iwe mwanamke au mwanaume.

Hasara: Utajutia nafsi yako ikiwa mtu unaefanya nae ngono mchana kutwa mijasho imemtoka mpaka kende zimenyea,kama mwanamke k imelowana mpaka imechacha ajaitia maji toka alfajili mchana kutwa anajisaidia bila kujisafisha, mivuzi imeota mpaka imekua kero kwa mwenyenayo.

Upande wangu mkuu kama mtu always anakuwa safi, sio usafi wa nje yaani ikitokea ghafla lakini yuko poa haina shida,
Tatizo mtu mwingine bila kumuandaa, akanyoa mwenyewe vizuri, akatafuta nguo zake za ndani zenye mvuto n.k n.k
Maana mwingine kajivalia chupi lake limetoboka anajua atamuona nani!? na ukiona inapunguza hali flani flani katika mapenzi hapo bahadae.
kuna vitu nimevisoma hapa hata sijui uhalisia wake........
wadada kama ni mvivu kabisa wa kunyoa basi angalau atanyoa mara moja kwa mwezi....sababu ya yale mambo yetu, sidhani kama mtu atataka akutane nayo akiwa na msitu, otherwise anaweza kufanya hivyo mara nyingi awezavyo.....sasa sijui huo msitu unaokutana nao unakuwa umehifadhiwa kwa muda gani? kama ni mwezi unaweza kuwa wa kuudhi kama ulivyoiweka? sijui.
nakumbuka mamangu alikuwa anatusisitizia sana kuvaa chupi nzuri na safi kila unapotoka maana huwezi kujua, barabarani ukasukumwa hata na mkokoteni then ukatakiwa kukimbizwa hospitali inakuwaje! kama una hiyo tabia ya kuvaa nguo safi basi hata ukikutana na mtu ghafla unakuwa upo vizuri.
 
Changu anawapanga mpaka 20

dah 20? basi wanapiga hela ya ukweli kila mmoja ukikupa buku ten mwanadada ana kilo mbili mwisho wa siku....ila hawa inakiwa za fasta...mwanaume nimelipa buku 40 yangu hapo sio chini ya magoli matatu
 
ngono tamu ni one nyt stand...spontenious fun and no pressure ya kuperform for fear ya kutopewa next time.
 
dah 20? basi wanapiga hela ya ukweli kila mmoja ukikupa buku ten mwanadada ana kilo mbili mwisho wa siku....ila hawa inakiwa za fasta...mwanaume nimelipa buku 40 yangu hapo sio chini ya magoli matatu

Huko ni kukomoana.
 
Back
Top Bottom