Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,838
- 37,450
Nimekusoma mamito umetishaje?shem anafaidi sana aisee manake we kwa hii makitu ya kustukiza haunaga utani.lol
Nimeona hapo mtaa wa saba unaandaliwa ngoma. Vipi nitapata kadi ya mwaliko au ni mambo ya kustukizana kama ilivyo ada?
wewe tena nisikupe kadit ya mwaliko nichekwe!
Itakufata hukohuko Mwita Maranya.
Last edited by a moderator: