Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,958
- 55,051
@lWEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma
Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia
mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA
umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba
huko, unambinua kama mcheza KUNGFU..mara
umuinamishe kama mbwa... SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu
wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo
maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi....
WEWE unaenda kwa msichana ambaye hana hata
mazoezi unamtanua halafu unajifanya we unajuaaaa
mapenzi, UJINGA mkubwa.... haiwezekani umfanye msichana kama MDOLI aisee.
ANAWEZA asikwambie kuwa anaumia lakini amini
kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure..
NA NYIE wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo
kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache hiyo tabia mara moja,
yaani ukiguswa kidogo tu'aaaaaah oooosh!!"shenzi kabisa hisia gani hizo mtu umevaa wigi halafu unaguswa nywele unasisimuka,
unaguswa kucha za kubandika unapiga makelele.... Pambavu kabisa.
Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia
mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA
umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba
huko, unambinua kama mcheza KUNGFU..mara
umuinamishe kama mbwa... SIKIA wale wasichana ulioona kwenye hizo filamu
wapo kazini aisee na wamefanya mazoezi kabla ndo
maana unawaona wanajitanua bila wasiwasi....
WEWE unaenda kwa msichana ambaye hana hata
mazoezi unamtanua halafu unajifanya we unajuaaaa
mapenzi, UJINGA mkubwa.... haiwezekani umfanye msichana kama MDOLI aisee.
ANAWEZA asikwambie kuwa anaumia lakini amini
kuwa hapati raha yoyote unamtesa tu bure..
NA NYIE wasichana mambo ya kujiliza liza hovyo
kama yale masichana ya kwenye filamu za X muache hiyo tabia mara moja,
yaani ukiguswa kidogo tu'aaaaaah oooosh!!"shenzi kabisa hisia gani hizo mtu umevaa wigi halafu unaguswa nywele unasisimuka,
unaguswa kucha za kubandika unapiga makelele.... Pambavu kabisa.