jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,782
mwambie bana, kuna ile kitu inaitwa niangusage, yaani uko umeenda kutafuta kuni na kama bahati unakutana na mrembo na yeye yuko kwenye mishe mishe hizo hizo, wala hupigi saundi ni mwendo wa niangusage uchukue sambi sako mwenyewe........................
Hahahahaha ila hii kitu bado ipo baadhi ya sehemu, basi tu hawa mabinti wa hapa mjini tu ndio wamekuwa na mashida mengi utafikiri na wao hawapati raha......