Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,959
Nyimbo za kisukuma zimekuwa zikipigwa sana maeneo mbalimbali na kona zote za nchi, na kwenye maharusi, kumbi za starehe na kwenye ndoa za watu wote nchini.
Huu uzi utakuletea majina ya wasanii na ngoma zote nzuri zinazopedwa mda Wote. wasanii kama GUDEGUDE, LIMBU LUCHANGULA, BHUNDAGALA, BAHATI BHUGALAMA, KISIMA, MAMA USHAURI, MWANAKANG'WA, NGELELA. nakuja
Huu uzi utakuletea majina ya wasanii na ngoma zote nzuri zinazopedwa mda Wote. wasanii kama GUDEGUDE, LIMBU LUCHANGULA, BHUNDAGALA, BAHATI BHUGALAMA, KISIMA, MAMA USHAURI, MWANAKANG'WA, NGELELA. nakuja