ni kweli nyimbo ni kali japo mapungufu yake niliyoyaona yapo kwenye sauti kumbwa ya vombo (instrumental balance)nyimbo haijakamilika imekatwa katwa sana subirin OG nyiee kitu kimesimama ileile
Wanigeria wamechukua copy isi halisi.. tusubiri original. Africa itasimama.Huu wimbo mkali sana, sema aliouweka hapo juu ameurikodi na simu kutoka kwenye radio, ndo mana umekuwa na sauti kwa mbali
Acheni iwaingie pole poleLabda mniambie kwa hii nyimbo siyo yenyewe. Kama ndiyo hii dah! Kiukweli hii nyimbo ni mbaya..unapata nafasi ya kuimba na neyo halafu unatoa kitu kama hiki lazima kutakuwa na shida mahali. Halafu kuna watu walisema eti hii ngoma ikitoka USA itasimama kwa muda... Haaaa haaaa....jamani acheni masihara.
imeshawaingia mkuu sema wanazuga tu hapaAcheni iwaingie pole pole
Hahaaaa hamna kitu mkuu, hivi ile aliyoimba na p square imeishia wapi?imeshawaingia mkuu sema wanazuga tu hapa
Je kajiandae imeishia wapi mbn siisikiiiHahaaaa hamna kitu mkuu, hivi ile aliyoimba na p square imeishia wapi?
Sent from my HTC Desire 816 using JamiiForums mobile app
Napenda pale mnapojicompare na king kiba. Hahha nimesoma comments nyingi team domo mkipewa comments za kukosolewa mnataka kujustify kitu kwa kumtaja king kiba hahhaha. Werevu tunaelewa why.Je kajiandae imeishia wapi mbn siisikiii
Naona haujanielewa mkuu. Ni hivi mimi sina team kwanza. Halafu kama wimbo sio mzuri lazima niseme sipendi unafiki. Kajiandae, kidogo na huu wa diamond feat neyo zote hakuna kitu. Zinahitaji team zilizojaa unafiki ili zipate KICK ila ukweli unabaki pale pale nyimbo ni mbaya.Je kajiandae imeishia wapi mbn siisikiii