Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Nyimbo mbovu kishenzi,kaangukia pua vibaya sana nilichojifunza ni kuwa domo sasa hv anatoa nyimbo mbovu anaweka pesa ndefu kwenye promo nyimbo inakuwa kubwa but the work is below performance
wabongo bhana ngoma ndio imetoka umeshajaji vibaya! hata salome mlisema hivo!
Leo yako wapi?
 
BEAT ZA MATARUMBETA KILA NYIMBO NA UIMBAJI WA DIAMOND HAUBADIRIKI KWAKWELI AMEMUHARIBIA CV NEYO WA WATU
 
Nyimbo mbovu kishenzi,kaangukia pua vibaya sana nilichojifunza ni kuwa domo sasa hv anatoa nyimbo mbovu anaweka pesa ndefu kwenye promo nyimbo inakuwa kubwa but the work is below performance
Tushawazoea ila imooooooooooooo inapeny polepole
 
kama namuona neyo na zile shaking zake! can't wait to see the video
 
HUYU NEYO ANGEFANYA NA MTU WA HIP HOP ANGEBAMBA SANA AU ANGEPIGA MZIGO NA RNB WENZIE KAMA BEN POL TRUCK INGEBAMBA SANA
 
Vipi kuhusu lupela na aje hazikuvuja????
Sijui labda nisachi uzi wa kuvuja humu jamii forums,kama hakuna uzi unaonyesha lupela na aje zilivuja basi hakuna namna kwamba nitajua maana kama hawajaweka habari zake humu sina namna nyingine ya kujua.
 
Sijui labda nisachi uzi wa kuvuja humu jamii forums,kama hakuna uzi unaonyesha lupela na aje zilivuja basi hakuna namna kwamba nitajua maana kama hawajaweka habari zake humu sina namna nyingine ya kujua.
Usiwe unakurupuka kama umetoka usingizin
 
Promo za kijinga hizi.
wavujishe wao afu watangaze kwe kuweka link eti imevuja.
 
Tatizo Nyie Mitimu Mavi mnaolipwa kuwapamba wanaumme wenzenu mnataka kusikia vitu mnavyopenda nyinyi tu,Hamtaki kusikia mawazo mbadala.
Ww ndo umeanzisha mm nikamaliza so kama vipi get off me
 
Back
Top Bottom