Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Ngoma ya Diamond na Ne-yo imevuja

Iyo ni demo cyo official afu tokea juzi unausikiliza basi kama ingekuwa mbovu ungesikiliza Mara moja ukatupa kule
Nani kasema tokea juzi anausikiliza? Elewa kwanza wack wewe..."tokea juzi nimeusikiliza".
Afu una maana gani kusema ni demo? Kwamba bado unatengenezwa, bado wanatunga mashairi au bado wanabadilisha melody? Maana melody, mashairi na beat vyote vibovu..nawashauri waandike upya kabisa, yaani watoe nyimbo tofauti kabisa na hii
 
Nyimbo chafu mmenisababisha nimpigie producer Daz Knowledge anitengenezee beat moja matata Campos atanifanyia video.
 
Nani kasema tokea juzi anausikiliza? Elewa kwanza wack wewe..."tokea juzi nimeusikiliza".
Afu una maana gani kusema ni demo? Kwamba bado unatengenezwa, bado wanatunga mashairi au bado wanabadilisha melody? Maana melody, mashairi na beat vyote vibovu..nawashauri waandike upya kabisa, yaani watoe nyimbo tofauti kabisa na hii
Ww endelea kula ugali wa nyumbani huna jingne maana uropokwa utafikiri umekunywa Maji ya chooni
 
Diamond kwa kwel umenisikitisha sana..alipokuja Neyo na ikasemekana kwamba mtatoa ngoma pamoja nilijua sasa kijana anaanza kuchomoza na kupasua anga kwa kasi..nikawa na hamu sana ya kuisikia ngoma yenyewe itakavyokua nzuri na kali...

Nilipoanza kusikia kua nyimbo imeshakua released kwakwel nilikimbilia kudownload kwa haraka ili nisikie ngoma kali ambayo nilikua natarajia itateka akil yangu kwa mapenzi niliyonayo kwa muziki.

Nimeanza kusikiliza ...daaah...sikuamini...nkajua labda nimekosea kuchagua track kwenye simu yangu...nikaangalia vizuri..ndo yenyewe bwana..nimesikiliza hadi mwisho nikaishia kusikitika tu nkawa najiuliza diamond ndio ameanza kufanya vitu gani sasa...wadau wapenda mziki na mnaojua mziki na kusikiliza mziki..sio washabiki hivi huu wimbo mmeuelewa kweli? ndivyo ilivyokua inatarajiwa kweli??

Ukweli baada ya kusikiliza nyimbo hio haikukaa zaidi ya dakika 15 katika simu yangu nkawa nshaiondoa. Nkabaki na zile zile ambazo diamond alizifanya kwa umakini mfano "Kidogo" na "salome".

Bora hata "my heart" aliyoimba na casper nyovest unaweza kuisikiliza au hata hii mpya alioimba na mavoko. Diamond ajitafakari upya. Unawanyima haki wapenz wako kusikiliza mziki mzuri.

1479882693892.jpg
 
Sie wapenz wa ngoma zake mbona tumeipokea uzuri tu wala hatunyimi haki ya kusikiliza mziki...ukitizama watu fln hivi wanatumia sana hilo neno mziki mzuri all the tym...umefanya study gani kujua wapenz wa diamond hawajaupokea wimbo huo vzr hali ya kua wimbo umetoka jana jioni ?
 
Upuuzi wa akili za walalia vipolo fanya yako! Kwani lazima ufuatilie muziki wake si wapo wasanii wengine wengi tu, kuwa shabiki wa lina kama vip.
 
Wanaafiki wangekuwa wanapaa kama ndege hii Celebrity Forum ingekuwa busy kama Airport.
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Diamond kwa kwel umenisikitisha sana..alipokuja Neyo na ikasemekana kwamba mtatoa ngoma pamoja nilijua sasa kijana anaanza kuchomoza na kupasua anga kwa kasi..nikawa na hamu sana ya kuisikia ngoma yenyewe itakavyokua nzuri na kali...

Nilipoanza kusikia kua nyimbo imeshakua released kwakwel nilikimbilia kudownload kwa haraka ili nisikie ngoma kali ambayo nilikua natarajia itateka akil yangu kwa mapenzi niliyonayo kwa muziki.

Nimeanza kusikiliza ...daaah...sikuamini...nkajua labda nimekosea kuchagua track kwenye simu yangu...nikaangalia vizuri..ndo yenyewe bwana..nimesikiliza hadi mwisho nikaishia kusikitika tu nkawa najiuliza diamond ndio ameanza kufanya vitu gani sasa...wadau wapenda mziki na mnaojua mziki na kusikiliza mziki..sio washabiki hivi huu wimbo mmeuelewa kweli? ndivyo ilivyokua inatarajiwa kweli??

Ukweli baada ya kusikiliza nyimbo hio haikukaa zaidi ya dakika 15 katika simu yangu nkawa nshaiondoa. Nkabaki na zile zile ambazo diamond alizifanya kwa umakini mfano "Kidogo" na "salome".

Bora hata "my heart" aliyoimba na casper nyovest unaweza kuisikiliza au hata hii mpya alioimba na mavoko. Diamond ajitafakari upya. Unawanyima haki wapenz wako kusikiliza mziki mzuri.

View attachment 438237
Weka akiba ya maneno..hizo unazozisikia ni Demo tu ya kuwaweka watu wakae tayari,.wimbo wenyewe hauna melody hiyo.

Utakuja kutamani kuufuta huu Uzi siku nyimbo itakapoachiwa mkuu
 
kumbe kuna watu baada ya kudownload vile vipande vipande vilivyounganishwa na wahuni wanafikiri ndio nyimbo halisi

nyimbo ingekua ndio ile basi mixing ingekua haina kazi
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Kwa kawaida msanii anayetokea sehemu ambazo ladha zake haziko kimataifa hua inambidi abadilishe mtindo wa kuimba/ kurap na hata beat hubadilishwa ili kumpa nafasi yule mwenye ladha ya kimataifa atambe.

Mfano AY alivyoimba na Lil Romeo ilibidi asirap kabisa ili kumpa nafasi Romeo, 2 Face alivyoimba na T pain ikabidi beat iwe ya reggae ili T pain apate pa kuhemea. Drake alijikaza kwenye Ojuelegba ya Wizkid lakini kama unajua rap utajua tu pale hakua Drake wa siku zote.

Kwa vyovyote Diamond ilibidi awe na beat ambayo Neyo angekaa na yeye angekaa, matokeo yake imewekwa beat ambayo haiwezi kukubalika Afrika wala huko Marekani na hata mashairi hayako poa, hii beat ni ya klabu tena uwe umelewa, wimbo hauko poa kwa kifupi katika nyanja zote (labda video ikitoka).
 
Back
Top Bottom