greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 804
- 1,246
Ngoja niwahabarishe mambo kadhaa usiyo yajua katika ujenzi.
1.Jengo/Nyumba siyo lazima liwe na msingi.
Unabisha....?
Nenda Msasani makangira(Namanga),
Kuna nyumba kadhaa hazina msingi.
2.Unyevu ndiyo sababu kubwa ya kuharibika kwa Majengo .
unabisha....?
Chumvi,ukungu na kutu vyote hutokana na unyevu.
3.Madirisha ya wavu ni bora kuliko ya Vioo.(Kwa mikoa ya Pwani)
Unabisha...?
Vizio umeme ukikatika kwenye nyumba za madirisha ya Aluminium, utaona watu wanavyokimbilia nje.
4.Goba,Mbezi,Kimara na Kinyerezi ni maeneo ambayo ujenzi wa Msingi ni gharama zaidi kuliko maeneo yoyote....
Unabisha....?
Waulize wenye nyumba Goba.
5.Pavements ni moja chanzo kikubwa cha joto ndani nyumba
Unabisha....?
Nenda kwenye nyumba ambapo eneo lote la nje ji paved,,kaa nje mda mchana, utaona fukuto lake.
1.Jengo/Nyumba siyo lazima liwe na msingi.
Unabisha....?
Nenda Msasani makangira(Namanga),
Kuna nyumba kadhaa hazina msingi.
2.Unyevu ndiyo sababu kubwa ya kuharibika kwa Majengo .
unabisha....?
Chumvi,ukungu na kutu vyote hutokana na unyevu.
3.Madirisha ya wavu ni bora kuliko ya Vioo.(Kwa mikoa ya Pwani)
Unabisha...?
Vizio umeme ukikatika kwenye nyumba za madirisha ya Aluminium, utaona watu wanavyokimbilia nje.
4.Goba,Mbezi,Kimara na Kinyerezi ni maeneo ambayo ujenzi wa Msingi ni gharama zaidi kuliko maeneo yoyote....
Unabisha....?
Waulize wenye nyumba Goba.
5.Pavements ni moja chanzo kikubwa cha joto ndani nyumba
Unabisha....?
Nenda kwenye nyumba ambapo eneo lote la nje ji paved,,kaa nje mda mchana, utaona fukuto lake.