Ngoja mtoto wako afike adolescent age (foolish age) ndio utaukumbuka umuhimu wa shule za Kayumba

MISERY LOVES COMPANY

Ndugu Likud naona una hali ngumu kifedha kwahiyo unataka watu wa kampani ya watu wenye majanga kama yako ili ufarijike. Nadhani ushauri wako ungejikita kwenye kuwasihi wasio na hela wasijilazimishe kufanya mambo yaliyo juu ya uwezo wao. Kusema kwamba Kayumba ni bora ni kujipa tu moyo kijinga. Mimi kama mdau wa elimu naweza kukuthibitishia kuwa Kayumba zenye ubora kwa Tanzania ni za kuhesabika. Kwa shule za msingi ni chache mno. Na kwa sekondari ni upate zile shule zinazoitwa za kitaifa. Hakuna namna unayoweza kumshawishi hata kichaa kwamba shule ya Sekondari Oljoro ambayo wanafunzi hupanda malori ya mchanga kwenda shule ni bora kuliko St Patrick au Arusha Modern. Hakuna bingwa wa malezi ila kwa asilimia kubwa tabia ya mtoto huanzia nyumbani na kwa kuiga wazazi wake. Ukiwa laissez faire lazima watoto watakuwa hovyo. Mkuu Likud kufulia ni sehemu ya maisha. Jitahidi kubeba msalaba wako bila kutaka kampani ya watu wengine.
Sawa
 
Umeana vzuri sana kuhusu watoto wa Isaachar...napenda sana kusoma masuala ya ujasusi
 
Hakuna atakayepingwa hapa. Kila mzazi anataka watoto wake WAPANCHI.
Iwe kayumba au private...ila kwenye dunia yangu nimewashuhudia WAKAYUMBA MJINI DAR WAKIPASUA MAISHA ZAIDI KULIKO PRIVATE..
Sielewe kwanini ila WANAWA DISSAPOINT wazazi wao mpaka unawasikitia
 
Hakuna atakayepingwa hapa. Kila mzazi anataka watoto wake WAPANCHI.
Iwe kayumba au private...ila kwenye dunia yangu nimewashuhudia WAKAYUMBA MJINI DAR WAKIPASUA MAISHA ZAIDI KULIKO PRIVATE..
Sielewe kwanini ila WANAWA DISSAPOINT wazazi wao mpaka unawasikitia
This is what am talking about here bro lakini wengi hawawezi kuelewa.
 
Sasa mkuu kama wewe ulipata mtoto wa kwanza ukiwa na miaka 15 na ulisoma kayumba. Huoni kuwa points zako zote huko mbele zinakua invalid
Ur very slow bro . Am so sorry to tell you this.
 
Biblia inasema Mungu aliwapenda sana wana Isachar ( sio Isaka ni ISACHAR: Huyu Isachar alikuwa ni kati ya watoto 12 wa Yakobo. Sasa huyu Isachar alikuwa na watoto wa kiume 200 ndio hao ambao ninawazungumzia.

Biblia inasema Mungu alipendezwa sana na wana wa Isachar.

Sababu kuu iliyo mfanya Mungu apendezwe na wana Isachar utaikuta kwenye kitabu cha 1 Chronicles 12:32.

They knew what Israel had to do and at what time and how to do it.

Kwa ufupi hawa wana wa Isachar walikuwa ni majasusi.

JASUSI ni mtu anae jua kitu gani kinatakiwa kufanywa na wakati gani na kwa namna gani.

JASUSI anajua yote hayo sio kwa kupitia uchawi bali ni kupitia sanaa ya kutafuta na kuku sanya taarifa ( intelligence gathering) kuchakata taarifa ( intelligence processing) kuandika ripoti ya kitaalamu kupitia taarifa zilizo kusanywa na kuchakatwa ( intelligence report) na kuifanyia kazi ripoti hiyo ( intelligence execution) .

Kikubwa zaidi ni kujua wakati gani muafaka wa my execute hizo taarifa.

Wana wa Isachar walikuwa ndio the brain behind King David's victory in all wars and battles which he fought.


Kwa wasio jua, His Majesty King David, the King of the United Kingdoms of Israel and Judah, ndio mfalme ambae hajawahi kushindwa vita yoyote ile katika utawala wake. Huduma ya ujasusi kutoka kwa wana wa Isachar ilikuwa ni sababu kuu mfalme Daud alishinda vita zake zote.

Mfalme Daudi alikuwa na intelligence madhubuti sana. (Nenda kasome kitabu " Rise and Kill First: The secret history of Israel's Targetted Assasinations " kilicho andikwa na Investigative Journalist na JASUSI wa kiyahudi aitwae Ronen Bergman ili uweze kujua wana wa Isachar ni watu wa namna gani katika dunia ya sasa)


The reason why King David acted strangely during Absalom Rebellion was because of the advice he was given by the children of Isachar. At the end of the day King David secured the victory without even putting a fight. All this ni kwa sababu ya kuzungukwa na wabobezi wa ujasusi.

Binafsi tangu nifahamu kuhusu siri hii ya wana wa Isachar nimekuwa nikiitumia hadi kwenye vitu vya kawaida kabisa kwenye maisha yangu.

Hata michepuko wangu huwa nawafanyia ujasusi kabla ya kuwapa " zawadi" ya kuwa nao kimapenzi. Kila mwanamke ana file na dawati lake. Mfano " Fatuma's desk" ( Dawati la Fatuma: dawati maalumu la ku dili na masuala yote yanayo muhusu Fatuma. Humo kuna mafaili yenye taarifa zote kuhusu Fatuma plus what when and how to act when dealing with Fatuma). The same to my children. Kila mtoto ana dawati lake.


BACK to my topic . Wazazi wengi wa miaka hii ya elfu 2 ambao ndio kina sisi tulio zaliwa miaka ya themanini katikati na mwishoni ( themanini mwanzoni na 70 mwishoni) plus miaka ya tisini mwanzoni, kwenye mindset zetu hatunaga image ya mtoto ambae yupo kwenye adolescent age ( teen age / foolish age) When it comes to children, wengi wetu huwaga tuna picha ya yule mtoto wa mwaka 0 mpaka 9 au 12 n.a. 13 hapo. Mtoto ambae bado ni mtiifu kwa almost kila kitu. Mtoto anaeweza kudhibitiwa hata kwa fimbo etc.

Wengi wetu huwaga hatujiandai kisaikojia kiwili na changamoto za mtoto alie balehe. Huwaga tunadhani mtoto ataendelea kuwa " Mtoto " hivyo hivyo maisha yake yote..

Utamsikia mtu anasema " namlipia mamilioni mtoto wangu shule hii ya English Medium kwa sababu hapa wanafaulisha vizuri. So nataka afaulu vizuri hapa then aende O level then A level then Chuo the apate kazi yake nzuri"

Mawazo kama hayo 👆 anasema Robert Kiyosaki kwenye kitabu " Poor Dad Rich Dad " yalikuwa valid kuanzia mwaka 1985 kushuka chini and not after that. Sasa hivi dunia imebadilika ( kumbuka hiyo ilikuwa mwaka 97 mzee ) Sasa hivi ni 2023 dunia imebadilika zaidi. Mfumo wa maisha ya dunia ya sasa umebadilika juu chini kama ulivyo badilika pale Eden baada ya Adam na Hawa Kula tunda la mti ule ulio katazwa...

Wakati wewe mzazi unahangaika kulipa mamilioni ili mtoto wako awe injinia, mwanasheria au daktari kumbe mwenzako anawaza kufanya kitu tofauti kabisa na wewe. Anataka kuwa kama Mzize, Zuchu au Gigy Money

Ndo maana nasema no matter how much money u put on ur children when they are young, when they grow up they will branch out.

Kwa wewe mzazi ambae una watoto wadogo ambao ni watiifu kwako at this moment fanya yote unayo fanya lakini jua kwamba wakifika adolescent age wata branch out. Watakuwa tofauti kabisa na unavyo tarajia..


Mimi namshukuru Mungu nimeujua huu ukweli tangu nikiwa mdogo kwa sababu Nimepata watoto nikiwa mtoto.

Nimesex ( kikubwa kubwa achilia zile za utotoni za kufanya kinguo nguo au kichupi chupi) kwa mara ya kwanza tareje 18 November 2000 nikiwa kidato cha pili najiandaa kuingia form three. I was 15 years old and she was 15 years old too. Tuliendelea na kamchezo Ketu mpaka demu akapata ujauzito nikapata mtoto wa kwanza wa kike nikiwa nna miaka.16 ( 2001) ( kumbuka jambo hili ni kinyume kabisa na maadili ya familia yetu Nimetoka kwenye familia inayo swali)

Mwaka 2003 nikiwa nna miaka 18 nikapata mtoto mwingine wa kike kwa mwanamke mwingine.

Hawa wote walisoma Kayumba.

Mwaka 2007 nikapata mtoto mwingine wa kike kwa mwanamke mwingine. Huyu alinikuta tayari nna vihela hela nikampeleka English Medium kuanzia la kwanza hadi la saba. N.a. private school kuanzia form one hadi form four.

2015 n.a. 17 nikapata watoto wawili wa kiume kwa mwanamke mmoja.


Huyu wa 2001 now yupo chuo mwaka wa mwisho ( she is very smart and very disciplined. )

Huyu wa 2003 yupo Chuo mwaka wa kwanza. She is very smart and very disciplined ( wote hawa wamesoma kayumba kuanzia la kwanza hadi form six )

Huyu wa 2007 yupo form four. Amesoma private kuanzia chekechea hadi form four. She is very smart darasani but kuhusu discipline nisiseme uongo. Ana leta uzungu mwingi. ( anajionaga kama.yupo na kina Ticha Thomas muda wote ) Kwake yeye uzungu ndio ujanja. I was so much dis appointed with her nilipomuuliza anataka kuja kuwa nani akaniambia she want to be a soldier. Duh yani Mimi nahangaika kulipa mamilioni ya hela halafu unakuja kuniambia unataka kuwa mwanajeshi? Hiyo hela si bora ningeenda kutoa single kwa .master Jay nikakusomesha Kayumba? ( ningejua ange kuja kuwa na wazo kama.hili aisee Kayumba ingemfaa sana kuanzia std 1 . Ila nashukuru Mungu huyu dogo amenisanua)

Hawa wawili niliwarudisha Kayumba mmoja akiwa la tatu na mwenzake akiwa la kwanza now mmoja yupo la nne na mwenzake la pili ( I am so much pleased na namna walivyo na discipline )

Namshukuru Mungu nimestuka mapema.

Mimi Nina afadhali, kuna jamaa zangu ambao wamekuwa dis appointed big time.

1. Kuna huyu brother ( was born in early 80s) a very smart dude . Darasani alikuwa anafanya vizuri sana. Mtoto wake wa kwanza wa kiume kamlipia private kuanzia chekechea hadi form four. He was paying almost 4 million per year ( hiyo ada 2 ukijumlisha na makorokoro mengine inafika almost 7 million)( hiyo chekechea na Primary)
Secondary kampeleka Alpha. Dogo kamaliza form four kapata one Kali. Ila kagoma kwenda form six. Anataka kwenda chuo. Now anasoma CBE. Kozi anayo isoma sasa? Procurement ina nafuu.

Baba mtu amechanganyikiwa amekuwa dis appointed watoto wake wengine wote kawarudisha Kayumba ( mmoja class 5, mwingine glass 2) na.mwingine form 3. Hataki tena kusikia habari za kulipa mamilioni kusomesha mtoto.


Huyu ana ahueni kuna dada mmoja mlokole best yangu, ni single mother , kamsomesha mtoto wake wa kiume shule za private kuanzia chekechea hadi form four . Dogo kapata one form form four ila anataka kusoma chuo. Kozi anayoitaka sasa!!! Anataka driving.

Mama kamshauri Mwanae hadi kachoka kaita wachungaji na walimu wamshauri ila dogo msimamo wake uko palepale.

Mwisho wa siku kanitafuta nimpe ushauri Mwanae asome chuo gani nikashauri asome Veta akisha pata leseni ya udereva aende pale NIT asome Defensive Driving plus other driving courses. ( nilishauri hivi ili at least mama mtu apate faraja aone mwanae anasoma kitu cha kueleweka) Now dogo yupo Veta, mama.mtu anasema mtoto wake amerogwa...

Kama.uwezo wako ni mdogo usijibane kumsomesha mtoto wako English Medium kwa matarajio kwamba eti atakuja kuwa vile unavyo tarajia wewe nope. English Medium waachie wenye uwezo mkubwa wa kifedha ambao kwao hiyo milioni 7 kwa mwaka sio pesa ya mawazo.

Wewe mwenye pesa ya mawazo bora umsomeshe Kayumba mwanao halafu pesa itumike kufanya mambo mengine ya maana.

Zile zama za eti kulala chini ili mtoto asome hazipo tena.Gone are those days!!
Usije kuishia kumpa mwanao radhi bure. Wewe unataka awe injinia kama Hersi kumbe mwenzako anataka kuwa kama Konde Boy.


Ni Mimi Likud wa JF..

Rais wa,
BACK TO KAYUMBA SCHOOLS CAMPAIGN

motto : MAKING KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN CAMPAIGN

Unapoongelea familia basi mawazo yangu Moja Kwa Moja huangalia jamii kama za wahamiaji au conservatives .

WaAsia wakiwa nnje ya Asia au mataifa mengine,Kuna spirit wanakuwanayo ,Kwani unapokuwa ugenini so jamii zao ndio nguvu yao na watoto wao tokea wadogo wanalelewa kuandaliwa kuendeleza wazazi walicho anzisha.,wahindi waarabu tunaona ,elimu kwao sio madarasa ,shule au academia Bali generational wealth kwani wako ktk kisiwa na jamii iliyowazunguka ni tofauti na Yao.
Waarabu wao wengi katika biashara na usafirishaji ,hawa watoto wanashinda gereji Kwa baba,mjomba au rafiki wa familia .
Wahindi biashara na uzalishaji,hawa watoto wanashinda dukani,gereji na watoto hufanywa mabosi kisimamia japo hawa uwezo ilikuwaanda kuwa mabosi baadae
Sasa turudi Kwa sisi wa utumishi wa umma , watoto wetu wanashiriki vipi ktk kuangalia maamuzi ya kifamilia practically.
Kifupi hakuna bond kati ya wazazi na watoto, pia hakuna utamaduni wa community sababu tuko nchini kwetu.,zaidi labda Mipira na Siasa ambazo SI community za kusaidiana Bali pastime.
Wewe kama mzazi wanao wanashiriki vipi ktk mambo Yako ya kupata rikzi hata kushinda nao ofisi ya serikali kama kina ridhiwani au wewe kulipa ada unaona ndio umemaliza.
Shule iwe kama icing on the cake kama tunakata generational wealth na watoto watusaidia baadae.
 
Kuna aliyenielewa ama sure atakuelezea deep down. Kumiliki gari sio utajiri mkuu Ni umasikini Ni sawa na hizi nyumba tunazojenga mtu anabakia kuji boast kila mahali kuwa mie Nina kwangu nimejenga mahala fulan. Yaani unataka upongeze na dunia nzima na ilhali ndege na wanyama Wana makazi na wanakula mbususu na wanaua wengine wanawala Ila hawavchongi. Elewa kuwa tajiri namba moja duniani Elon Musk amepanga Hana nyumba,jiulize why.
Why ufuge for milk while you can get milk easily and it's available everywhere.
Mpaka uwe na mtizamo fulani ndio utanielewa la sivyo opinions, thoughts and judgements zinatofautiana so itabakia mvutano
So whats your stand katika hilo la kusomesha umeandika mengi na umegusia vitu vingi ila hujatupa coclussion yako kwenye huo uzi iliopo kwenye fiscution..........
 
Cha msingi tutafute hela ili tupunguze malalamiko. Ukimsikiliza mleta mada vizuri ni kwamba kaenda kayumba kwasababu ya uchumi kuyumba. Na ninaona kama vile anachanganya elimu ya darasani na stadi za maisha. Cku zote kumbuka binadamu yupo kutokana na alichokikuta. Cc tumeprogramiwa mzee. Tuko kama tulivyowakuta watu wapo. So wewe nafikiri umeshindwa kusema wazazi tuwe karibu na watoto ili wajifunze stadi za maisha kutoka kwetu. Hayo yoote unayosema kama hakuna msukumo wa wazazi ni kazi bure. Kumbuka elimu inahtaji watoto wenye shauku ya kutimiza ndoto zao+ wazazi wenye moyo na waliojitolea kuwasaidia kuzifikia na walimu wenye bidii katika kuwasaidia. Mtoto wako ni copy yako na ukitaka mafanikio yako yaende vizazi na vizazi hakika kuwa na mwanao ajue how things work. Hapa ndipo wahind walipotuacha . Mi wanangu tangu wakiwa nursery ni privet mwanzo mwisho. Mkubwa ndio anamalizia chuo mwaka huu Winperg Canada. Na huyu jamaa kwa namna nilivyomseti yeye ndie anashughulikia mambo yote ya wadogo zake kuhusu elimu nk. Mdogo wake alimaliza six mwaka jana na jamaa ndie kamtafutia chuo uingereza mi nikuhakiki na kulipia tu. Sasa hiv wanagroup lao wako wanne. Wameelekezana kila mtu asomee nini ili waje kuanzisha kampuni yao. NInataka kusema nini. Watoto ni wewe sio shule. Shule wanaenda kuongeza kile ulichowafundisha kwa mapana zaid. Sorry kwa gazet
 
Cha msingi tutafute hela ili tupunguze malalamiko. Ukimsikiliza mleta mada vizuri ni kwamba kaenda kayumba kwasababu ya uchumi kuyumba. Na ninaona kama vile anachanganya elimu ya darasani na stadi za maisha. Cku zote kumbuka binadamu yupo kutokana na alichokikuta. Cc tumeprogramiwa mzee. Tuko kama tulivyowakuta watu wapo. So wewe nafikiri umeshindwa kusema wazazi tuwe karibu na watoto ili wajifunze stadi za maisha kutoka kwetu. Hayo yoote unayosema kama hakuna msukumo wa wazazi ni kazi bure. Kumbuka elimu inahtaji watoto wenye shauku ya kutimiza ndoto zao+ wazazi wenye moyo na waliojitolea kuwasaidia kuzifikia na walimu wenye bidii katika kuwasaidia. Mtoto wako ni copy yako na ukitaka mafanikio yako yaende vizazi na vizazi hakika kuwa na mwanao ajue how things work. Hapa ndipo wahind walipotuacha . Mi wanangu tangu wakiwa nursery ni privet mwanzo mwisho. Mkubwa ndio anamalizia chuo mwaka huu Winperg Canada. Na huyu jamaa kwa namna nilivyomseti yeye ndie anashughulikia mambo yote ya wadogo zake kuhusu elimu nk. Mdogo wake alimaliza six mwaka jana na jamaa ndie kamtafutia chuo uingereza mi nikuhakiki na kulipia tu. Sasa hiv wanagroup lao wako wanne. Wameelekezana kila mtu asomee nini ili waje kuanzisha kampuni yao. NInataka kusema nini. Watoto ni wewe sio shule. Shule wanaenda kuongeza kile ulichowafundisha kwa mapana zaid. Sorry kwa gazet
Usisahau kuna kurogwa pia mkuu
 
watanzania wote wana bet mkuu
Mkuu tunaishi na walimu wa shule hizi za kayumba. Tunawaona. Kifupi sana na kwa msisitizo inategemea na shule ipi ya kayumba unayompeleka mtoto. Si kila shule mkuu.
Na kwa dunia ya sasa ni heri mtoto akapata foundation nzuri kidogo mwanzoni kindergarten na primary huko juu kuanzia secondary atakuwa keshakuwa angalau kujua baya na zuri. Kuanzia kidumu ufagio toka chini ni risk sana kwa mtoto siku hizi.
Mimi naplan mtoto wangu asome English medium kindergarten then nimpeleke diamond au Olimpio Primary nikikosa angalau Maktaba, Bunge, Muhimbili, Mlimani basi lakini sio hizi takataka zingine
 
Biblia inasema Mungu aliwapenda sana wana Isachar ( sio Isaka ni ISACHAR: Huyu Isachar alikuwa ni kati ya watoto 12 wa Yakobo. Sasa huyu Isachar alikuwa na watoto wa kiume 200 ndio hao ambao ninawazungumzia.

Biblia inasema Mungu alipendezwa sana na wana wa Isachar.

Sababu kuu iliyo mfanya Mungu apendezwe na wana Isachar utaikuta kwenye kitabu cha 1 Chronicles 12:32.

They knew what Israel had to do and at what time and how to do it.

Kwa ufupi hawa wana wa Isachar walikuwa ni majasusi.

JASUSI ni mtu anae jua kitu gani kinatakiwa kufanywa na wakati gani na kwa namna gani.

JASUSI anajua yote hayo sio kwa kupitia uchawi bali ni kupitia sanaa ya kutafuta na kuku sanya taarifa ( intelligence gathering) kuchakata taarifa ( intelligence processing) kuandika ripoti ya kitaalamu kupitia taarifa zilizo kusanywa na kuchakatwa ( intelligence report) na kuifanyia kazi ripoti hiyo ( intelligence execution) .

Kikubwa zaidi ni kujua wakati gani muafaka wa my execute hizo taarifa.

Wana wa Isachar walikuwa ndio the brain behind King David's victory in all wars and battles which he fought.


Kwa wasio jua, His Majesty King David, the King of the United Kingdoms of Israel and Judah, ndio mfalme ambae hajawahi kushindwa vita yoyote ile katika utawala wake. Huduma ya ujasusi kutoka kwa wana wa Isachar ilikuwa ni sababu kuu mfalme Daud alishinda vita zake zote.

Mfalme Daudi alikuwa na intelligence madhubuti sana. (Nenda kasome kitabu " Rise and Kill First: The secret history of Israel's Targetted Assasinations " kilicho andikwa na Investigative Journalist na JASUSI wa kiyahudi aitwae Ronen Bergman ili uweze kujua wana wa Isachar ni watu wa namna gani katika dunia ya sasa)


The reason why King David acted strangely during Absalom Rebellion was because of the advice he was given by the children of Isachar. At the end of the day King David secured the victory without even putting a fight. All this ni kwa sababu ya kuzungukwa na wabobezi wa ujasusi.

Binafsi tangu nifahamu kuhusu siri hii ya wana wa Isachar nimekuwa nikiitumia hadi kwenye vitu vya kawaida kabisa kwenye maisha yangu.

Hata michepuko wangu huwa nawafanyia ujasusi kabla ya kuwapa " zawadi" ya kuwa nao kimapenzi. Kila mwanamke ana file na dawati lake. Mfano " Fatuma's desk" ( Dawati la Fatuma: dawati maalumu la ku dili na masuala yote yanayo muhusu Fatuma. Humo kuna mafaili yenye taarifa zote kuhusu Fatuma plus what when and how to act when dealing with Fatuma). The same to my children. Kila mtoto ana dawati lake.


BACK to my topic . Wazazi wengi wa miaka hii ya elfu 2 ambao ndio kina sisi tulio zaliwa miaka ya themanini katikati na mwishoni ( themanini mwanzoni na 70 mwishoni) plus miaka ya tisini mwanzoni, kwenye mindset zetu hatunaga image ya mtoto ambae yupo kwenye adolescent age ( teen age / foolish age) When it comes to children, wengi wetu huwaga tuna picha ya yule mtoto wa mwaka 0 mpaka 9 au 12 n.a. 13 hapo. Mtoto ambae bado ni mtiifu kwa almost kila kitu. Mtoto anaeweza kudhibitiwa hata kwa fimbo etc.

Wengi wetu huwaga hatujiandai kisaikojia kiwili na changamoto za mtoto alie balehe. Huwaga tunadhani mtoto ataendelea kuwa " Mtoto " hivyo hivyo maisha yake yote..

Utamsikia mtu anasema " namlipia mamilioni mtoto wangu shule hii ya English Medium kwa sababu hapa wanafaulisha vizuri. So nataka afaulu vizuri hapa then aende O level then A level then Chuo the apate kazi yake nzuri"

Mawazo kama hayo 👆 anasema Robert Kiyosaki kwenye kitabu " Poor Dad Rich Dad " yalikuwa valid kuanzia mwaka 1985 kushuka chini and not after that. Sasa hivi dunia imebadilika ( kumbuka hiyo ilikuwa mwaka 97 mzee ) Sasa hivi ni 2023 dunia imebadilika zaidi. Mfumo wa maisha ya dunia ya sasa umebadilika juu chini kama ulivyo badilika pale Eden baada ya Adam na Hawa Kula tunda la mti ule ulio katazwa...

Wakati wewe mzazi unahangaika kulipa mamilioni ili mtoto wako awe injinia, mwanasheria au daktari kumbe mwenzako anawaza kufanya kitu tofauti kabisa na wewe. Anataka kuwa kama Mzize, Zuchu au Gigy Money

Ndo maana nasema no matter how much money u put on ur children when they are young, when they grow up they will branch out.

Kwa wewe mzazi ambae una watoto wadogo ambao ni watiifu kwako at this moment fanya yote unayo fanya lakini jua kwamba wakifika adolescent age wata branch out. Watakuwa tofauti kabisa na unavyo tarajia..


Mimi namshukuru Mungu nimeujua huu ukweli tangu nikiwa mdogo kwa sababu Nimepata watoto nikiwa mtoto.

Nimesex ( kikubwa kubwa achilia zile za utotoni za kufanya kinguo nguo au kichupi chupi) kwa mara ya kwanza tareje 18 November 2000 nikiwa kidato cha pili najiandaa kuingia form three. I was 15 years old and she was 15 years old too. Tuliendelea na kamchezo Ketu mpaka demu akapata ujauzito nikapata mtoto wa kwanza wa kike nikiwa nna miaka.16 ( 2001) ( kumbuka jambo hili ni kinyume kabisa na maadili ya familia yetu Nimetoka kwenye familia inayo swali)

Mwaka 2003 nikiwa nna miaka 18 nikapata mtoto mwingine wa kike kwa mwanamke mwingine.

Hawa wote walisoma Kayumba.

Mwaka 2007 nikapata mtoto mwingine wa kike kwa mwanamke mwingine. Huyu alinikuta tayari nna vihela hela nikampeleka English Medium kuanzia la kwanza hadi la saba. N.a. private school kuanzia form one hadi form four.

2015 n.a. 17 nikapata watoto wawili wa kiume kwa mwanamke mmoja.


Huyu wa 2001 now yupo chuo mwaka wa mwisho ( she is very smart and very disciplined. )

Huyu wa 2003 yupo Chuo mwaka wa kwanza. She is very smart and very disciplined ( wote hawa wamesoma kayumba kuanzia la kwanza hadi form six )

Huyu wa 2007 yupo form four. Amesoma private kuanzia chekechea hadi form four. She is very smart darasani but kuhusu discipline nisiseme uongo. Ana leta uzungu mwingi. ( anajionaga kama.yupo na kina Ticha Thomas muda wote ) Kwake yeye uzungu ndio ujanja. I was so much dis appointed with her nilipomuuliza anataka kuja kuwa nani akaniambia she want to be a soldier. Duh yani Mimi nahangaika kulipa mamilioni ya hela halafu unakuja kuniambia unataka kuwa mwanajeshi? Hiyo hela si bora ningeenda kutoa single kwa .master Jay nikakusomesha Kayumba? ( ningejua ange kuja kuwa na wazo kama.hili aisee Kayumba ingemfaa sana kuanzia std 1 . Ila nashukuru Mungu huyu dogo amenisanua)

Hawa wawili niliwarudisha Kayumba mmoja akiwa la tatu na mwenzake akiwa la kwanza now mmoja yupo la nne na mwenzake la pili ( I am so much pleased na namna walivyo na discipline )

Namshukuru Mungu nimestuka mapema.

Mimi Nina afadhali, kuna jamaa zangu ambao wamekuwa dis appointed big time.

1. Kuna huyu brother ( was born in early 80s) a very smart dude . Darasani alikuwa anafanya vizuri sana. Mtoto wake wa kwanza wa kiume kamlipia private kuanzia chekechea hadi form four. He was paying almost 4 million per year ( hiyo ada 2 ukijumlisha na makorokoro mengine inafika almost 7 million)( hiyo chekechea na Primary)
Secondary kampeleka Alpha. Dogo kamaliza form four kapata one Kali. Ila kagoma kwenda form six. Anataka kwenda chuo. Now anasoma CBE. Kozi anayo isoma sasa? Procurement ina nafuu.

Baba mtu amechanganyikiwa amekuwa dis appointed watoto wake wengine wote kawarudisha Kayumba ( mmoja class 5, mwingine glass 2) na.mwingine form 3. Hataki tena kusikia habari za kulipa mamilioni kusomesha mtoto.


Huyu ana ahueni kuna dada mmoja mlokole best yangu, ni single mother , kamsomesha mtoto wake wa kiume shule za private kuanzia chekechea hadi form four . Dogo kapata one form form four ila anataka kusoma chuo. Kozi anayoitaka sasa!!! Anataka driving.

Mama kamshauri Mwanae hadi kachoka kaita wachungaji na walimu wamshauri ila dogo msimamo wake uko palepale.

Mwisho wa siku kanitafuta nimpe ushauri Mwanae asome chuo gani nikashauri asome Veta akisha pata leseni ya udereva aende pale NIT asome Defensive Driving plus other driving courses. ( nilishauri hivi ili at least mama mtu apate faraja aone mwanae anasoma kitu cha kueleweka) Now dogo yupo Veta, mama.mtu anasema mtoto wake amerogwa...

Kama.uwezo wako ni mdogo usijibane kumsomesha mtoto wako English Medium kwa matarajio kwamba eti atakuja kuwa vile unavyo tarajia wewe nope. English Medium waachie wenye uwezo mkubwa wa kifedha ambao kwao hiyo milioni 7 kwa mwaka sio pesa ya mawazo.

Wewe mwenye pesa ya mawazo bora umsomeshe Kayumba mwanao halafu pesa itumike kufanya mambo mengine ya maana.

Zile zama za eti kulala chini ili mtoto asome hazipo tena.Gone are those days!!
Usije kuishia kumpa mwanao radhi bure. Wewe unataka awe injinia kama Hersi kumbe mwenzako anataka kuwa kama Konde Boy.


Ni Mimi Likud wa JF..

Rais wa,
BACK TO KAYUMBA SCHOOLS CAMPAIGN

motto : MAKING KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN CAMPAIGN
Two things
1)Kuhusu wana wa Isakari natamani ulete upya uzi wao tujifunze mengi.

2)Kuhusu Back to Kayumba, ningependa mazingira yaboreshwe kwanza. Kuna watoto wengi wamejifunza tabia ovu huko Kayumba. Imagine darasa la mjini lina wanafunzi 100+ ,hakuna muda wa kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi mmoja mmoja.

Vinginevyo shule za binafsi zinapendwa kwa sababu ya lugha na Siyo vinginevyo.
 
Two things
1)Kuhusu wana wa Isakari natamani ulete upya uzi wao tujifunze mengi.

2)Kuhusu Back to Kayumba, ningependa mazingira yaboreshwe kwanza. Kuna watoto wengi wamejifunza tabia ovu huko Kayumba. Imagine darasa la mjini lina wanafunzi 100+ ,hakuna muda wa kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi mmoja mmoja.

Vinginevyo shule za binafsi zinapendwa kwa sababu ya lugha na Siyo vinginevyo.
1. Ntakuja kuleta Uzi hapa kuhusu wana wa Isachar.

2. Upo sahihi. Kuhusu hilo la watoto wengi nitakuja na Uzi wa kuelezea FAIDA zake plus hasara za mtoto kusoma kwenye darasa lenye watoto wachache
 
Back
Top Bottom