CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ndugu wanajangwani lile jembe la Yanga Mrisho Halfan Ngassa leo atatambulishwa kwa waandishi wa habari.Mshahara wake utakua $2000.
Wakati huo huo katika kile kilichoonyesha kwa anamapenzi kutoka ndani ya moyo wake na timu ya Yanga juzi alikataa kuifunga timu yake hiyo ya mitaa ya twiga/jangwani ingawa aliahidiwa kulipwa million3 kwa kila goli atakalolifunga.
More updates to come.................
Wakati huo huo katika kile kilichoonyesha kwa anamapenzi kutoka ndani ya moyo wake na timu ya Yanga juzi alikataa kuifunga timu yake hiyo ya mitaa ya twiga/jangwani ingawa aliahidiwa kulipwa million3 kwa kila goli atakalolifunga.
More updates to come.................