Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,243
Mpaka wa tanzania rwanda na burundi si salama kwa sasa kwa tangu juzi mapigano makali yanaendelea mpakani ambapo vikundi vya wapiganaji vimejichimbia eneo hilo!
Taarifa za awali zinasema ni mapigano kati ya waasi wa burundi na serikali ya burundi, taarifa zinazidi kuchanganya baada ya kubainika kuwa majeshi ya tz yapo mpakani yakijibu mapigo!
Hali hiyo imepelekea wakazi wengi waishio mpakani kuyakimbia makazi yao.
Mgodi maarufu wa Kabanga Nikel nao umesitisha shughuli zao kufuatia mapigano hayo ambayo yamekuwa kama siri vile!
Habari zaidi zitaendelea kutolewa hapahapa jf chanzo kikuu cha habari za lugha ya kiswahili duniani hususani tz!
Taarifa za awali zinasema ni mapigano kati ya waasi wa burundi na serikali ya burundi, taarifa zinazidi kuchanganya baada ya kubainika kuwa majeshi ya tz yapo mpakani yakijibu mapigo!
Hali hiyo imepelekea wakazi wengi waishio mpakani kuyakimbia makazi yao.
Mgodi maarufu wa Kabanga Nikel nao umesitisha shughuli zao kufuatia mapigano hayo ambayo yamekuwa kama siri vile!
Habari zaidi zitaendelea kutolewa hapahapa jf chanzo kikuu cha habari za lugha ya kiswahili duniani hususani tz!