naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,435
Anaeshiriki tendo la ndoa na mpumbavu tumuite nani?Hivi videmu vya CBE bana...sijui huwa vinadhani kila mtu alipataga divisheni 4 na 5!
Sijawahi kuona videmu vipumbavu kama hivyo vya CBE na pale Magogoni.
Okay, sawa...tuliundamana. Hilo sikatai. Lakini ilikuwa ni mara moja tu.
Ingawa tulitumia kinga lakini ukweli wa mambo hizi kinga za mipira si jadidi kivile.
Nadhani wengi wenu mtakuwa mnalijua hilo. Nyakati zingine huwa zinapasuka na kuleta madhara ambayo hayakukusudiwa.
Hivi kweli mimba inaweza kuonekana baada ya siku 5? Mimba gani hiyo....ya bikira Maria?
Mtu hata haya hana anakuja anakuangalia machoni huku akijiliza eti 'Ngabu nina mimba yako'!
Ebo! Hivi mtu kama huyo unamweka kwenye kundi gani sasa?
Manake hiyo ni dharau kubwa sana ya upeo wangu. Ni kwamba umenipima ukaniona mimi ni zuzu wa kuweza kudanganyika kirahisi namna hiyo?
Nyambaaf kabisa..wajinga wajinga kama hao ni wa kuwatimua.
Unaniambia una mimba yangu halafu baada ya siku mbili tatu nakuona Wantashi unakunywa pombe! Mimba gani hiyo?
Eti mimba baada ya siku 5 halafu unaniletea na kicheti cha kufoji foji eti umeenda kwa daktari ukapima ukaonekana una mimba.
FOH!
Una dyudyu na wa vumbi! TehHuyu wa kila sehemu...
wanawake wengi mahusiano yao huwa ya kubahatisha bahatisha. Utakuta ana list ndefu ya wanaume hata pind atakapopata mimba wengine hawajui baba wa mtoto kifuatacho hapo anaangalia mweny uhakika wa maisha tu kwahiyo ukijilengesha tu imekula kwako unaanza kulea mtoto wa mwanaume mwenzio.
Ila mkuu huenda ni damu yako kwahiyo DNA ihusike.
Kuikubali mimba ya mwanamke mwenye wanaume wengi inahitaji uwe na roho ngumu km ya paka. Ni sawa sawa na kutembea uchi mtaan
USA umekosa videmu vikali, hadi ukaparamia mitoto ya CBE...au uko USA ( ya Usa River Arusha)?
Hivi nawe una matatizo gani? Mtu keshakwambia hilo jina si lake unachokazana nacho kitu gani au unamtaka? Watu wengine mkoje.Anaitwa Richard Mugizi, kina mugizi si unawafahamu? Usikute ni mlowezi toka jirani.
Ha ha ha wewe umenifuraisha sana inaelekea wewe ni fundi sana kwenye mambo yetu yaleLakini si mlifanya????!ilikua kavu kavu???? Ukamwaga humohumo ndani???? au ulimwaga nje???? Au mdomoni???? Au kwenye butts ??
Acha bangi kijana, mbona jina hilo linaonekana likijichanganya na ngabu kwenye baadhi ya thread hasa anaponukuu unakukuta jina la mugizi ila ukiangalia original post ni ngabu, au unadhani nimeambiwa?Hivi nawe una matatizo gani? Mtu keshakwambia hilo jina si lake unachokazana nacho kitu gani au unamtaka? Watu wengine mkoje.