Ney wa Mitego yupo live efm, kuwachana

kyalankota

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
2,594
1,462
Yupo anahojiwa na akina Gardner, Seth na Mpoki.
Anawachana na kuwashikisha adabu wazee wa mikorogo, team kibisa, wala bata wanaolala kwenye gari n.k.
Stay tuned
 
Ni upumbv kumpa Ney interview.. Ili iwe nin.? Huko ni kuchochea magomvi.
 
Team 966 saka hela wewe.
images
 
Jamaa yuko sawa. Mzee wa kula ujana. Ila si mbaya unachopata ukala na bi mkubwa na kingine ukanunua mkorogo. Sawa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom