Corona Virus; New 9/11 (Gates Man of the Show)Prt 4

Salim A. Msangi

JF-Expert Member
Apr 26, 2011
566
511
Athari ya 9/11 na kukamilisha malengo yake imekwenda kwa takribani miongo miwili, kutoka kwa movie na kanda zilizo okotwa Torabora, kuja kwenye video za Osama zilizo kuwa zikizundiliwa na Al Jazeera mpaka kuja ‘kuuwawa’ kwa Al-Baghadad. Zote hizo zilikuwa ni movie zinachezwa kutufikisha hapa.

Je ni kwa sarakasi kama hizi za akina Al baghadad zitatukokota tena kwa mongo mmoja au zaidi?

Sijui movie ndiyo inaanza …ingawa wenyewe wanasema it will take just two years to setup us strait to accept their solution ... let’s watch it!

Kabla ya 9/11, waliaanza kumtambulisha Bin laden kupitia kazi chache lakini moja iliyo mpa jina ni ile ya 1994, alipo tajwa kuhusika na kulipua balozi mbili za Marekani hapa Afrika Mashariki. Ingawa kazi hii nayo haikuwa yake …. Unashangaa? Kwani unaishi dunia ipi?

Clinton akalipaza jina la Osama na Bush akaja akalipatia kazi ya maana ya 9/11 na kilicho fuata ni historia.



Njia zile zile wamepita nazo, Ebola, Zikha, Mers, Sars n.k Katika hayo majaribio yote kama alivyo sema Bill Gates kwenye talk show yake ni kuwa, utafiti wao umeonesha madhara hayakuwa makubwa kwa sababu moja ya msingi, wahanga wa magonjwa haya hawakuwa na nafasi ya kuchangamana na watu kwa kiasi kikubwa, sababu muhanga anadhhfika haraka na kulazwa kabla haja sambaza kwa wengine.

Kwa hiyo unaonaje kama kutakuwa na ugonjwa ambao, muhanga anaathirika, haoneshi dalili za kuathirika, wala afya yake haitetereki mpaka hatua za mwisho, lakini hapo atakuwa kesha ambukiza idadi kubwa ya watu? Hicho ndicho Bill Gates alichokishauri kwenye Talk Show yake.

Vipi kuhusu kile kinacho itwa second wave? China wanasema, baadhi ya mashirika ya afya yanasema, yanahisi kuwa ugonjwa huu hata walimwengu tukiweza kuuthibiti kunayo second wave yake ambayo itakuwa mbaya kuliko hii. Hawasemi kwa asilimia mia kwamba wanayo uhakika wa second wave, hapana bali wanakadiria huenda pakawa na second wave.

Nami sisemi kuwa kutakuwa na Second Wave, ila kama itakuwepo, kinadharia na hapa nasema kwa asilimia mia kinadharia hizi huwenda zikawa sababu za kuwepo kwa second wave.

Walimwengu wanaweza pambana na janga hili, na kile kitisho kinacho tajwa kikaonekana siyo kitu, wala hakuna sababu za kufanya ‘lockdown’, hakuna sababu za kutishana watu waendelee na Maisha yao. Hivyo sababu ya watu kupata suluhisho kutoka kwa mabawana wakubwa ikawa hakuna, kifupi suluhisho la mabwana wakubwa likaonekana si kitu bali ni kituko, mpango wao ukakwama.

Lakini kama walivyo fanya kwenye majanga yaliyo tangulia, kwenye hili nalo pia wanakusanywa takwimi, takwimi halisi. Watu wangapi wameambukizwa mpaka sasa, wangapi wamekufa, je idadi hii inakwenda sambamba na makadirio yetu, Je idadi ya maambukizi na vifo imekuwa ndogo kuliko tulivyo kadiria, tatizo ni nini, wapi tumekosea, au walimwengu wameweza kudhibiti hili janga kwa kutumia nini.

Baada ya kukusanya aina hizo za taarifa na majaribio, ndipo hapo hicho kinacho itwa ‘secound wave’ kikapewa uwanja kumalizia kazi iliyo fanywa na Covid-19.

Baadhi ya vyombo vya habari vimeaanza kuzungumzia uwezekano wa kuwepo kitisho cha ugaidi kupitia janga hili. Unakumbuka ripoti ya Pentagon ya miaka 3 nyuma iliyo taja suala la ugaidi kuambatana na janga hili la Covid-19?

Yes!

Moja wa candidates mwenye sifa ya kubeba ‘Secound Wave’ ya janga hili ni magaidi, au gaidi. Janga hili linakwenda kuwarudisha magaidi uwanjani.

Kwanini tunawarudisha na project yao imefikia mwishoni?

Just kuwakumbusha watu kuwa wanatakiwa wabaki kwenye mstari, kuwakumbusha watu kuwa janga hili linahitaji ushirikiano wa kimataifa, kuwakumbusha janga hili lazima litatuliwe kwa taratibu zinazo wekwa na ma bwana wakubwa, mkiambiwa lockdown, ni lockdown usilete story.

Kama magaidi wakishinda tenda hii ya Secound Wave, tizama nchi, watu na maeneo ambayo yatashambuliwa na mashambulizi hayo ya silaha za kikemia na risasi ikiwa ni Covid-19. Jamaa hawa hawakoseagi shabaha, kama umesahau, tizama ISIS walivyo fanya kazi kubwa ya kuilazimisha Marekani na mashirika yake kuivamia Syria. Wana chinja mtu kwenye kamera, ingawa video zile zilikuwa fake kama zilivyo kuwa kanda za Osama, lakini mwisho wa kisistiza kuwa, ‘Marekani’ unafuatia. Lakini kumbe Marekani na ISIS kazi yao ilikuwa moja, ‘kutufanya walimwengu wajinga’.

This time pia, itategemea bwana wakubwa wanataka kwenda wapi, kumchomoa nani, kumuwekea vikwazo nani, kumuoneshea show nani. Kisha unatuma magaidi pale, wanafanya mashambulizi ya kibailojia kama walivyo fanya Syria na kwengineko, lakini mara hii jina la bunduki wanayo tumia ni Corona na risasi ni Covid-19. Silaha mbaya kabisa hizi. Kama vile nawaona watangazaji watakavyo kuwa wakishadidia habari hizi. Halafu wahanga wakutengenezwa watajitokeza kama kawa, wakipiga kelele kwa taasisi na mashirika ya kimataifa na hata nchi kwamba.

MAGAIDI YANA TUANGAMIZA KUPITIA CORONAVIRUS

MAGAIDI WANA TUNYWISHA MAJI YENYE CORONAVIRUS!

MAGAIDI WANATUCHOMA SINDANO ZA CORONAVIRUS NA KUTULAZIMISHA TUSAMBAZE KWA WATU MITAANI.

MAGAIDI … CONOVIRUS … MAGAIDI COVID-19 … MAGAIDI CONOVIRUS … MAGAIDI COVID 19 … MAGA…

Watu wazima wanakuja na mapendekezo yao sasa. Tuma jeshi pale, tuma wachunguzi kule, weka vikwazo pale, Fulani aondolewe pale yeye ndiye kikwazo kwenye vita hivi dhidi ya ugaidi … sorry I mean dhidi ya Covid-19. Yeye ndiye anaye taka dunia iendelee kusumbuliwa na janga hili, yeye ndiye anaye taka uchumi wa dunia uendelee kusimama nk.

… lakini naota tu ndoto za mchana … usiogope!

ILA!

Hata Bill Gate anaota ndoto kama hii pia!

Sasa hapo ni rukhsa kuogopa! Mtabiri huyu mpaka sasa hajatuangusha kwenye hii Covid-19.



Tajiri wa dunia naye kalizungumzia hili la shambulizi la kigaidi kupitia silaha za kemikali!

Kwahiyo siyo kwamba ni tetesi au nini, Bill naye kaitaja hiyo Second Wave?

Hilo ni jibu pigia mstari.

Bill Gate kasema sasa hivi tupo kwenye ‘face one’ na ‘face two’ ni Bioterror attacks.

Bill Gate alikuwa anahojiwa na CBS, kwenye kipindi cha LATE SHOW,

So far kwa walio fatilia bandiko hili tangu mwanzo, tumeona namna gani Bill Gate alivyo na kipaji cha utabiri, hasa kuhusiana na janga hili la Covid-19, na hapa mabibi na mabwana tukiwa katikati ya mpambano wa janga ambalo yeye alitutahadharisha na hatukusikia, anadondosha utabiri wake mwingine na mara hii anatuonya tena kwamba kunaweza kuwa na second wave!

Kuhusu Bill Gates kidogo kabla hatujamaliza posti ya leo.

Mabilionea wengi duniani utawakuta wana nunua kisiwa mahali na kwenda kujichimbia wakila Maisha; lakini siyo Gates, Gates yeye kainunua WHO, yakwake peke yake na kuiweka mfukoni!

Baada ya Marekani kwa nchi inayo ongoza kwa kuchangia kwenye mfuko na kazi za WHO, unajua nchi inayo fuatia ni ipi? Hakuna nchi ya pili inayo fuatia kwa kutoa pesa nyingi kwa shirika hilo, ispokuwa kunayo nchi inayo shika nafasi ya tatu kwa kutoa michango mingi kwenye shirika hilo, nayo ni Uingereza. Kuna nini kwenye nafasi ya 2 mpaka Uingereza kama nchi iwe ndiyo ya pili kwa kuifatia Marekani, lakini isikae nafasi ya 2 bali ya 3?

Sababu nafasi ya 2 inashikiliwa na Gates.

Kwa mara ya kwanza katika historia Bill Gates, kama mtu na siyo nchi anachingia pesa nyingi kwenye WHO na kuwa wa pili baada ya Marekani na kuifanya Uingereza kuwa ya tatu! Bill Gates na taasisi yake ya Bill and Melinda Gates Foundation wanayo hadhi ya kama nchi wanapo hudhuria si vikao tu vya WHO hata vya G20. Ingawa hawajapewa hadhi ya kupiga kura lakini ushawishi wao ni Zaidi ya nchi zinazo piga kura kwenye mikutano hiyo.

Juzi kati baada ya Trump kuanza sarakasi za kusingizia Mchina kuwa ndiyo ‘maker’ wa Corona, ingawa tunajua, kuwa Trump anajua kuwa virusi hao asili yao ni wapi kama tulivyo ona kwenye mtiririko wa posti hizi, mwishowe Trump akasema kuwa ataondoa fungu lake WHO sababu haridhishwi na mwenendo wa jinsi shirika hilo linavyo liendea janga hili la Covid-19. Lakini tulijua hizo ni sarakasi na zina kitu cha ziada, mwishowe kachomoa mzigo wake pamoja na ukinzani alio kuwa anapewa juu ya hatua hizo. Kachomoa kwa siku 60 mpaka 90.

Sasa niambie nani ni namba ri 1?

Gates ….

Yeah bila kumumunya maneno Gates au ukitaka sema Bill and Melinda Gates Foundation, haijalishi athari ni ile ile. Gates yeye sasa ndiyo mchangiaji mkubwa, nambari moja kwenye shirika hilo, ‘second to none’.

Ni kitu kizuri kuwa na watu wanayo weza kujitolea fedha zao kwa maslahi mapana ya kidunia. Lakini ni vipi nafasi hiyo inaathiri utendaji kazi wa shughuli la shirka hilo kubwa duniani?

Marekani ameweza kuchomoa mzigo wake sababu ameona matakwa au maono yake hayafatwi na shirika hilo. Vipi kama na yeye Bill anayo ajenda yake mfukoni na siku WHO wakiaanza kumzingua akaamua kuchomoa fungu lake?

Kama unafikiri ni hadithi za alinacha, fikiria tena!

Janga hili lilipo anza mtu wa kwanza kupaza sauti kuwa liitwe ni janga, ‘Pandemic’, hakuwa mwingine ila ni Bill Gates. Hata hivyo WHO bado hawakuwa tayari kuutangazia ulimwengu kuwa Corona Virus ni janga.

Nayo hii ilikuwa ni sarakasi nyingine, sababu mkurugenzi wa WHO, alishiriki kwenye ‘Event 201’, na alisema anayo uhakika dunia itakumbwa na janga la ugonjwa wa mapafu. Hivyo mimi na wewe ndiye tunachezeshwa sarakasi hizo.

Penye uzia, penyeza rupia, Bill Gates akamwaga mamilioni ya dolare kwenye shirika hili kwa ajili ya miradi ya shirika hilo ambayo inainufaisha shirika hilo, na siku iliyo fuata WHO wakatangaza Conovirus ni Pandemic, yaani janga, tena janga la kiduani. Ushawishi huo aliufanya wakati akiwa ni second to America kwa maana ya uchangiaji, vipi sasa yeye ni secound to none, unadhani ushawishi na nguvu ya kuiburuza dunia kupitia janga hili utakuwaje?

bill na deb.jpg


Dr. Deborah Birx, kwenye utawala wa Trump, mwana Mama huyu yupo kwenye team ya White House, inayo pambana na janga hili la Corona, alikuwepo tangu utawala wa Obama kama mpangaji mipango na mikakati ya kupambana na janga lolote linapo tokea. Lakini pia anaathiriwa na ushawishi wa Bill Gates, sababu ni miongoni mwa wanao pokea mabilioni ya dolar za Gates kwa ajili ya kufanyia kazi zinahusiana na majanga mbalimbali ya kidunia. Mwana Mama huyu ndiye aliyependekeza, ‘model’ iliyo andaliwa na kudhaminiwa na Gates Foundation kutumika White House kwa ajili ya kupambana na Covid-19. Taasisi iliyo simamia Model hiyo ilipokea Fund kutoka kwa Gates Foundation, lakini pia wakureginzi walio simamia hiyo model mpaka kukamilika, walichaguliwa na Gates na walilipwa na Gates.

Mtu mwingine kwenye White House Coronavirus Task Force ni Dr. Anthony Fauci, kwanza jamaa huyu yupo White House tangu kipindi cha Clinton, na ni mtu mwenye mahusiano ya karibu na Gates na taasisi zake. Ameshirikiana na Gates kwenye kampeni zake mbalimbali za ‘kuondosha’ maradhi kwenye uso wa dunia kupitia chanjo. Janga hili la Covid-19 lilipo anza, Gates katika ‘speech’ zake hakukosa kulitaja jina la muheshimiwa huyu.

fauci.jpg


Fauci na Gates kwa pamoja ndiyo wamekuwa mbele kupinga wazo la ‘klorokwini’ kutumika kama dawa dhidi ya Coronavirus. Wote wawili Gates na Fauci wametoa mzigo wa cash kwa Madonna kwa ajili ya kusimamia utengenezaji wa chanjo kwa ajili ya Conovirus. Hivyo wote wawili walikuwa na sababu mahususi ya kumpinga Trump na wengine walio kuwa wakisema Kloroquini inafaa kutibu Corona Virus.

Usidhani kwamba Fauci na Gates walipinga hivyo sababu watapata hasara, na hii kwao ni business nzuri na kubwa, hapana unaweza ku-follow the money, kujua kipi ni kipi, lakinI kWa watu hawa kunayo zaidi ya Money … Pesa kwao si kitu tena kwa watu hawa, pesa kwao ni makaratasi, federal reserve wanazi chapisha wakati wowote wakitaka, kiasi wanacho taka, wala hawaulizwi na mtu … lakini They are after bigger game than money …. Stay, watch and learn … soon you will know what are they after.

January 10, 2017, Dr. Fauci alitoa kauli moja tata kidogo. Kwanza alianza kwa kile Watoto wa mjini wanaita kuchimba biti.

nani alikuwa anachimbwa biti?

Trump na utawala wake.

Kwanini?

Trump alikuwa napiga kelele kwamba atakata fund UN, WHO na kwenye taasisi nyingine ya kimataifa, hajaanza leo hii mikwara yake Trump. Kwahiyo biti la Dr. Fauci kwa Trump alilianza hivi,

“ … kama ulivyo sikia kwenye utambulisho wangu ukisomwa, kwamba nimekuwepo hapa kwa kitambo, (utaniambia nini niko downtown kitambo) nimepata fursa, wasaa na burudani wa kufanya kazi na tawala tano (Yaani kuanzia Bush baba, Clinton, Bush mwana, Obama na Trump … hii inaitwa Deep State) nadhani ninazo sifa za kuleta mtazamo wa haswa kwenye hii mada leo kuhusiana na ishu ya kujiandaa na janga la maradhi ya kuambukiza. Na kama kuna ujumbe mahususi ambao nataka niwaache nao leo hasa kutokana na uzoefu wangu na mtaona hivi punde, ni kwamba si kitu cha kuuliza kwamba kutakuwa na changamoto kwa utawala huu uliopo, kwenye uwanja wa magonjwa sugu ya kuambukiza na magonjwa ambayo tayari yapo na ambayo tayari ni mzigo mkubwa kwetu, lakini pia KUTAKUWA NA MLIPUKO WA KUSHTUKIZA wa magonjwa ya kuambukiza…”

Hapo ni 2017, na Dr. anakuambia kutokana na uzoefu … siyo suala la kuuliza …. Kutakuwa na Surprise Attack …

trump.jpg


Bill Gates ingawa hana mamlaka ya kupiga kura kwenye WHO, lakini ushawishi wake wa nani anaweza kupata nafasi kubwa za kimajukumu na maamuzi ndani ya WHO unatia mashaka. Nafasi ya juu ya WHO inashikilia na mtu anayeitwa Tedros Adhanom, mtu kutoka Ethiopia ambaye anayo mahusiano ya kikazi na Bill Gates kwa muda mrefu wa miongo kadhaa hasa kwenye uwanja wa chanjo.

Kuna nchi zinazo tangaza kuwa zimeweza kutengeneza dawa ya janga hili, pia kuna jamii ambazo wanatumia dawa zisizo rasmi kupambana na janga hili, unafikiri nchi na jamii hizi dawa zao zinaweza kukubaliwa kimataifa zikiwa na muhuri wa WHO, kwamba zinafaa kuapambana na janga hili?

Ikiwa mchangiaji mkubwa na nambari moja kwa sasa Bill Gates ndiye ambaye matakwa yake yanasikilizwa anapingana na tiba mbadala, na tayari kesha toa mamilino ya dolar kutafuta kinga kupitia chanjo, na aliweza kumpinga Trump na Koloroquini, wewe ni nani, au nchi yako ni nani mpaka wapatiwe ridhaa hiyo?

Model inayo tumiwa na Gates kupambana na janga hili kama nilivyo kwisha eleza ni kuwa Gates kai-fund mwenyewe hiyo Model, akawa-fund na taasisi iliyo simamia hiyo study ya hiyo model, na akawalipa mishahara wakurugenzi walio simamia hiyo Model, na kwa kupitia kwa Dr. Deborah Birx hiyo Model ndiyo inayo tumiwa na White House Coronavirus Task Force, na moja ya mapendekezo kwenye Model hiyo ni Lockdown, na dunia nzima imebidi ku-adopt Model hiyo ya Lockdown. Trump mwanzo alikuwa hataki, au sijui ndiyo zile sarakasi zao, lakini mwisho wa siku alikubali. Katafute video clip ya Trump akiwa anatangaza lockdown, Trump hakusema natangaza lockdown, bali alisema “… wametuambia tu close it down, you have to close it down; we close it down …”

Trump anasema kaambiwa afanye hivyo na imebidi afanye hivyo. Nani kamuamrisha Trump? Jibu unalo mwenyewe.

This is Gates and he is after a big Game, and nothing seems to stand on his way so far. Na kama unafikiri Gates anasimama mwenyewe kwenye hili, kwamba ni utashi na matakwa yake kwa nguvu ya dolare alizo nazo, Your deadly wrong! He is just a mare messenger … the spiral of the rabbit hole, goes very deep, very deep indeed!

Wa China wanayo laana yao moja wanasema, “May you live in interesting times” … the way I see it we are already living in it and time will tell the tales!

Mwali aliyefichwa!

Mpaka hapa, kama akili yako ni huru, basi utakuwa na wewe umeanza kuonganisha doti.

“I'm trying to free your mind, Neo. But I can only show you the door. You're the one that has to walk through it.” Morpheus, The Matrix.



Nyuma ya Covid-19 si bure, pana kitu, ni kitu gani, ni mwali gani huyo …. Ambaye mahari yake walimwengu inabidi waugue, wafe na uchumi wao uporomwoshwe, hii ni mahari kubwa sana kulipa, ana nini mwali huyu mpaka tulipe gharama ya uchumi na hata uhai ikibidi?

... To be continued Inshallah ....
ZILIZO TANGULIA
: Corona Virus; New 9/11 (Kumekucha)Prt 1
: Corona Virus; New 9/11 (Global Respond)Prt 2
: Corona Virus; New 9/11 (P+R=S)Prt 3
 
Back
Top Bottom