Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,065
- 23,948
Diwani huyo anapatikana kwenye moja ya kata za wilaya ya KONDOA anaitwa "Mh Sambala" kama anavyosomeka katika a/c yake facebook, ambapo amepost kwamba anahtaji kujiunga CDM lakini kwa masharti atakayoyatoa... Habari hii nimeikuta facebook kwenye group la CHADEMA vs CCM..