Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,738
- 42,829
Diwani huyo anapatikana kwenye moja ya kata za wilaya ya KONDOA anaitwa "Mh Sambala" kama anavyosomeka katika a/c yake facebook, ambapo amepost kwamba anahtaji kujiunga CDM lakini kwa masharti atakayoyatoa... Habari hii nimeikuta facebook kwenye group la CHADEMA vs CCM..