Mi ningekuwa na uwezo ninge Force ibadilishwe bwana lakini bado nachechemea,, lakini naamini kati ya watu watakao shiriki kuibadilisha katiba hii ni mimi, na wewe Rafiki
Watanzania ndio wenye nchi wakihitaji katiba mpya wataidai.
watanzania gani unao wazungumzia kama si wewe na sisi, jiulize ni watanzania wangapi wanaoijua katiba ya nchi hii halafu utapata picha
Inasemekana Katika maswali ambayo humuudhi Muheshimiwa Jakaya mrisho kikwete, ni pamoja na Swala la Katiba ya Jamuhuli ya Muungano wa Tanzania...
Ameshasikika ,marachache akisema kubadili katiba si maendeleo ya nchi huku akijua kuwa Katiba ndiyo inayo Bana maendeleo ya nchi,,
Tazama Zambia, Tazama Rwanda,, Nchi hizi mbili zilikuwa na rushwa na ufisadi wa kutupwa,, lakini Maraisi wake wameamua kujikubali kuwa lazima Wananchi waumie kwa kuwabana na sheria ngumu zinazo leta maendeleo ya nchi ili baada ya maendeleo hayo kupatikana watafurahia maisha
Wananchi wengi tunaishi kwa kukosa besic needs kwa kiwango kile kinachotakiwa,,,
Katiba hii inatakiwa ibadilishe jamaniniiii
Hivi kwanini tusi washawishi Watanzania tuungane Tanzania Nzima Kudai Katiba mpya?
Tuungane kuidai Katiba mpya