New Hit: Diamond Platnumz ft P Square

Hivi ile China iliyo jirani na South Korea ingekuwa ndo ipo ilipo Kenya; we unafikiri hayo mamia kadhaa ya millions tusingefika?! Japan pekee wana population ya zaidi 120 M... kwahiyo, ukanda ule ukikubalika hata kimtindo, hizo views milioni mia kadhaa utagonga!
 
mi binafsi hua naexpect maneno ya timu fulan hv mr chibu aka simba anapotoa cheche za moto ka hili #kidogo hahaha tukumbuke Nana ilipotoka walisema hivohivo ooooh "video nzur ila audio mbovu" but baadae ikaja kua most hited song in EA and Africa.nawashauri nyie mnaotokwa mapovu coz of Mr siiimbaa chukua video/audio sikiliza ka Mara tatu au zaid tena angalau kusabufa aseeee chali yangu lazima upige salute
 



migos
 
Hebu tuweke ushabiki pembeni. Hivi mziki ni video au uimbaji? Mimi navyojuwa ngoma nzuri iwe audio maana haileti maana video iwe inabeba uzuri. Sasa mimi km sijui kuimba nikaenda kushoot bonge la video nitakuwa mwanamziki? Sasa turudi kwenye hii ngoma kwa mimi dissapointed maana nyimbo nzuri ukiisikia tu hii nimeshaisahau. Utasikia mtu watu nje wanataka hivi mimi nataka useme kama wewe umeipenda sio nje ndio wanapenda hivi. Ukweli kabisa nilitegemea bonge la ngoma lakini tofauti kabisa ni video tu. Unaona kabisa ngoma ilifanywa tuu haraka bila umakini ndio wakaja na kalamu fiesta yaani hovyo.
 
ahahaha daa! ngoma kali sana,nilipoisikiliza kwenye simu ilikuwa kali,nilipoisikiliza kwenye bufa ikawa kali mara kumi nikaamka kuyarudi hadi jasho na hii baridi yote.hii ni hit songt,halaf SIMBA hivi vimaneno kwenye verse zake sijui anavitoa wapi ndo vinavyonogesha wimbo.
 
yani upo akilini mangu mkuu,me siongezi kitu
 
Iweke kwenye bufaaa sikiliza halafu njoo hapa!!!! Au subirii baada ya siku 3 kama huna bufa halafu uje hapa!
Da bdo tu
Nahc brother hpa ustar utambeba ila nyimbo hakuna kipind kile anaimba kamwambie alikuwa anatumia akl sahv anatumia nguvu ya pesa tu
 
Ipo haja ya kuwekeza kwenye Audio production kwenye muziki wetu. Nyimbo zetu karibu zote kuna ujazo fulani zinakosa
 
Africa unatuka ngoma Kali ila viewers youtube wachache,msanii akijitahidi sana 2M
Where is dislike bittom?
 
teh teh! kwa mzigo huu,naona timu pinzani comments zao zinaanza na "mimi ni shabiki wa mondi lakini...." "mimi ni team diamond lakini ooh sijui nini" "mara ooh mimi mzalendo lakini sijui nini na nini" (mtu anayefurahia ukikosa tuzo na anakasirika ukifanikiwa anaweza comment nini ukamsikiliza kama ushauri?) mmeamia kwa mkopo sio?
 
mmmmmhhhh speechless ,kweli maisha ni mchezo wa kutumia nafasi,ukipata nafasi ya kubutua,butua haswa kweli kweli
 
Collabo na mafikizolo imepotelea wapi...imefikisha hata miez mitatu kweli
 
Nami nakuunga mkono mkuu.. Kachemsha mbaya... Yaan ukchek zlzopta na hii utakubariana na mm kua sasa mond anaenda kuanguka kmuzk....
Labda kama kateleza,kuanguka sasa hv cyo rahisi cz ile track alofanya na Neyo ni kali asee. Natumai itapokamilika itasumbua sana.
 
Mhuu ile na Neyo itatwanga Billboard charts asee. Neyo kaimba vema sn!
 
Hongera kwa Mtanzania mwenzetu big up sana endelea kukaza buti ktk mafanikio den do charity ili Mola akuzidishie zaidi na zaidi
 
Kijana wake kamfunika alieimba matatizo,diamond wimbo mbaya video nzuri,ila siku hizi watu wanasifia video badala ya mashairi
 
Hahah naomba uongozi wa jamii forum uongeze dislike button kwa watokwa povu maana naona wanahangaika sana.. eti utakuta mtu anasema haelewi kilicho imbwa, tena utakuta uyo ambae anasema haelewi kilicho imbwa ndo wakwanza kucheza akiskia kwaito za wa south africa, sasa sijui anaelewa au vp.. jaman tuungane kupeperusha hii bendera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…