- Thread starter
- #81
Uitarajia kukuta track ya reggae, au?!Yale yale sioni jipya
Uitarajia kukuta track ya reggae, au?!Yale yale sioni jipya
Kama Je Utanipenda haikukubamba basi umezeeka mekuNacomment kama shabiki wa Diamond: video ni kali sana but audio ni ya kawaida, in short wimbo wa mwisho mkali wa Diamond ni NANA, zilizofata baada ya hapo sizielewi
Hv ukiwa Burundi mziki mzuri haujulikani,Bila shaka wewe uko BURUNDI..!
inawezekana, maana sikuupenda kwakweliKama Je Utanipenda haikukubamba basi umezeeka meku
Dabbing is gay lolNaona Waafrika siku hizi na wenyewe wana dab!
That's what's up...keep putting ATL on the map [as if it wasn't already there anyway].
Halafu hapo mwisho kwenye simba ni dongo kwa mtu au..?
Btw, just AN FYI, dabbing originated in Atlanta....that's for you suckers who don't know.
Zigo remix mpaka sasaiv ina 6m point kadhaa sasa sjui unazungumzia viewers wepiAfrica unatuka ngoma Kali ila viewers youtube wachache,msanii akijitahidi sana 2M
Dabbing is gay lol
Ayya daah nmejikamatisha mwenyewe.hyo lol nliiweka kupunguza ukali wa maneno na kufanya ionekane kuwa nmetania siko siriazEven 'lol' is gay!
Even 'lol' is gay!
Ayya daah nmejikamatisha mwenyewe.hyo lol nliiweka kupunguza ukali wa maneno na kufanya ionekane kuwa nmetania siko siriaz
Hao ni wachache sana Mkuu,inabidi na sisi tupige kuanzia viewers 70M na kuendelea,nimeongea hivo baada ya kuwa napitia wasanii wa nchi nyingine za bara Asia mf South Korea yani unakuta nyimbo ya kawaida ila viewers 100M+,na ifahamike kule msanii anaefahamika zaidi Duniani ni mmoja tu,sisi tunae diamond wengine wengi,so inabid tuwape support ya kuwa tuna stream videos zao,badala ya ku-download na kuzi saveZigo remix mpaka sasaiv ina 6m point kadhaa sasa sjui unazungumzia viewers wepi
Hizi simulizi za copy & paste hazijaanza leo na kwa maana hiyo, nyimbo zake zote atakuwa ame-copy na ku-paste according to you guys!Wamemlipa Lionely Richie kwa kibwagizo hizo cha karamu, fiesta forever cha wimbo wa All night long... the comedy huita mambo ya copy and paste umefuria...