el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,064
asante kwa kunikumbusha ... nilihisi nimeshaweka..C uweke sasa
asante kwa kunikumbusha ... nilihisi nimeshaweka..C uweke sasa
Baada ya number one remix hii ndio wimbo mkubwa kabisa wa Diamond kuwahi kutokea... Utaelewa tu wewe subiri, wengine mpo slow kuelewa muziki mzuri.poor ...I am diamond s fan...lakini hapa kachensha
Kiba kaingiaje teh!Hata Kiba alisema....Diamond haimbi mziki kama wake hivyo hajafikiria kufanyanae kolabo.
Lakini Kiba huyo huyo anafanya kolabo na Mziwanda, Mr Blue....hahahaha. Utadhani hao anaofanyanao kolabo wanaimba staili yake!
weka fasta basi nduguNi mwendo wa moves tuuu........ Bonge moja la Video...
Ule wimbo mpya wa taifa umetoka tayari. karibu ujionee mwenyewe
Nami nakuunga mkono mkuu.. Kachemsha mbaya... Yaan ukchek zlzopta na hii utakubariana na mm kua sasa mond anaenda kuanguka kmuzk....poor ...I am diamond s fan...lakini hapa kachensha
Hahahahahahha!! KabisaFrm nw on its illegal to compare Diamond with any artist EA..sheria namba 234384 kifungu A na B ukurasa wa 103.