New Hit: Diamond Platnumz ft P Square

New Hit: Diamond Platnumz ft P Square

Tunapeana promo za ajabu tu . Na kutiana moyo kwa vitu vinavyohitaji criticism . ..
Nimechoka kumsikia diamond huyo huyo siku ,nimekosa ubunifu kabisa katika katika hiuo ngoma .

Nataka nikuambie hivii ,sikiliza Ngoma ya Snura inaitwa Shindu ni mpya halaafu fananisha na hiyo ya diamond .
Diamond unaimba but try to change uwe kidgo mbunifu @list mtu akisikiliza apate vionjo vingine .
 
dah kweli walimwengu hawakosi la kusema, yn nyimbo kali kabsa bt still mnaponda!!! hzo ni fitna sasa
 
Very bored song,kwenye ukweli usemwe, tuinue Sanaa yetu, sijaielewa na sitokuja kuelewa, ni bora nmsikilize Rama dee #mazoea mara kuliko hii kitu
 
shikamoo Diamond!! itatuchukua miaka 50 kupata mtu mwingine kama wewe..... hakika waeke sanamu lako posta ibaki kumbukumbu kwa wajukuu wetu   
 
Tunapeana promo za ajabu tu . Na kutiana moyo kwa vitu vinavyohitaji criticism . ..
Nimechoka kumsikia diamond huyo huyo siku ,nimekosa ubunifu kabisa katika katika hiuo ngoma .

Nataka nikuambie hivii ,sikiliza Ngoma ya Snura inaitwa Shindu ni mpya halaafu fananisha na hiyo ya diamond .
Diamond unaimba but try to change uwe kidgo mbunifu @list mtu akisikiliza apate vionjo vingine .
shindu ndo nini sasa.watu hawan mzuka nazo hizo
 
Kijana wake kamfunika alieimba matatizo,diamond wimbo mbaya video nzuri,ila siku hizi watu wanasifia video badala ya mashairi
mashairi yanatuhusu nin? kwani nyimbo za kiingereza huwa unaelewa wewe?? mbona unazisikiliza sasa
 
ngoja niucheki mara tatu nne ndo nitaweza sema kitu
 
Back
Top Bottom