New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

mkuu kwa faida yako ni kwamba.mkatoliki akizaliwa anabatizwa akiwa mchanga au hata mtu mzima anayejiunga na kanisa kwa mara ya kwanza na hapo anaingizwa ktk register book ya parokia kisha parokia inapeleka return jimboni na jimbo linapeleka makao makuu ya kanisa katoliki yaani vatican, kwa kukusaidia wakatoliki unaweza kujua idadi yao kila mwaka au at any time 't'kwa waliokufa, waliozaliwa, waliooa na kuolewa, ndoa zilizo vunjika n.k. It is a system of its kind under the sun.ndiyo maana wataalam wa management wanasema the first managemnent in the world was copied from roman catholic system.nadhani umetosheka kwa haya machache wenzangu watakujuza zaidi


ni kweli mkuu sio kama serikali yetu ambayo haina hata idadi ya raia wake badala yake watu wanabuni namba tu!
 
Mkuu kwa faida yako ni kwamba.Mkatoliki akizaliwa anabatizwa akiwa mchanga au hata mtu mzima anayejiunga na kanisa kwa mara ya kwanza na hapo anaingizwa ktk register book ya parokia kisha parokia inapeleka return jimboni na jimbo linapeleka makao makuu ya kanisa katoliki yaani VATICAN, kwa kukusaidia wakatoliki unaweza kujua idadi yao kila mwaka au at any time 't'kwa waliokufa, waliozaliwa, waliooa na kuolewa, ndoa zilizo vunjika n.k. It is a system of its kind under the sun.Ndiyo maana wataalam wa management wanasema THE FIRST MANAGEMNENT IN THE WORLD WAS COPIED FROM ROMAN CATHOLIC SYSTEM.Nadhani umetosheka kwa haya machache wenzangu watakujuza zaidi

Thanks kwa ufafanuzi zaidi, njia hiyo serikali ingeweza kujifunza namna ya kusajili wananchi kwa njia ya vitambulisho vya taifa kuanzia kaya, vitongoji hadi ngazi ya taifa na hivyo mpango wa kufunga shughuli kwa wiki zima zoezi la kuhesabu watu lingebaki historia tu.
 
Mkuu kwa faida yako ni kwamba.Mkatoliki akizaliwa anabatizwa akiwa mchanga au hata mtu mzima anayejiunga na kanisa kwa mara ya kwanza na hapo anaingizwa ktk register book ya parokia kisha parokia inapeleka return jimboni na jimbo linapeleka makao makuu ya kanisa katoliki yaani VATICAN, kwa kukusaidia wakatoliki unaweza kujua idadi yao kila mwaka au at any time 't'kwa waliokufa, waliozaliwa, waliooa na kuolewa, ndoa zilizo vunjika n.k. It is a system of its kind under the sun.Ndiyo maana wataalam wa management wanasema THE FIRST MANAGEMNENT IN THE WORLD WAS COPIED FROM ROMAN CATHOLIC SYSTEM.Nadhani umetosheka kwa haya machache wenzangu watakujuza zaidi
ndio maana kile kipengele hakikua na tija kwenu,mngewaacha wenye kuhitaji waendelee nalo kama vile ruzuku inavyoenda kwenye taasisi za kidini! na hao wasio batiza watajuaje wapo wangapi?waende RITA?kuna tofauti gani ya RITA na NBS maana zote taasisi Za govt
 
Hongera pop, kazi kwako tekeleza majukumu yako ya kuliongoza kanisa
 
Kupitia.EWTN TV LIVE:-
Bendera ya Tanzania hata nami nimeiona vema
Hii Tv ya Katoriki inatangaza toka Vatican City
kama utapata muda huwa wanarudia matukio
Mama Mdogo umaweza angalia hakuna uchachuaji wa picha ya Bendera.

Mleta thread kaleta habari bila chumvi yoyoye
wakati mwingine tusilaumu tu unajua km hujaona unaweza fikiri ni usanii.
 
Hii ni picha halisi, shukrani kwa post tatizo la hapa watu wamekariri kwa kuwa wameshasikia kuna photo shop basi kila picha kwake ni photoshop.....

Kwe iyo picha uliyo quote hakuna bendera ya tz.
 
ndio maana kile kipengele hakikua na tija kwenu,mngewaacha wenye kuhitaji waendelee nalo kama vile ruzuku inavyoenda kwenye taasisi za kidini! na hao wasio batiza watajuaje wapo wangapi?waende RITA?kuna tofauti gani ya RITA na NBS maana zote taasisi Za govt

Nimekuelezea utaratibu wa kanisa nje ya utaratibu wa serikali wa kuwatambua waumini wake kwa majina na idadi, kinacholeta shida ni kwa baadhi ya madhehebu ya dini kutaka kutumia resources za umma kwa kupata idadi yao wakati hilo ni jukumu lao binafsi.Mkuu haka kautaratibu kwa RC ni kazuri unaruhusiwa kucopy na kupaste
 
Pamoja na mengine mengi yaliyojiri huko hili limenifurahisha.

Pope Franis 1.jpg

Tunakutakia uongozi mwanana wenye kuleta mabadiliko dhahiri ya KIROHO KWA WAKRISTO WA KANISA KATOLIKI
 
Hiyo picha ni uchakachuaji mtupu (photoshop) kwa kuunganisha vipande vitatu yaani picha ya pope, watu na hiyo bendera)! Mambo ya digitali hayo!

Mkuu nina background ya utaalamu huo, nimezichunguza kwa umakini picha hizo hazijachakachuliwa - angalia picha zote tatu za mwanzo, hasa ya upande wa kulia bado bendera ya Taifa inaendelea kuonekana kwa mbali.
 
Mkuu kwa faida yako ni kwamba.Mkatoliki akizaliwa anabatizwa akiwa mchanga au hata mtu mzima anayejiunga na kanisa kwa mara ya kwanza na hapo anaingizwa ktk register book ya parokia kisha parokia inapeleka return jimboni na jimbo linapeleka makao makuu ya kanisa katoliki yaani VATICAN, kwa kukusaidia wakatoliki unaweza kujua idadi yao kila mwaka au at any time 't'kwa waliokufa, waliozaliwa, waliooa na kuolewa, ndoa zilizo vunjika n.k. It is a system of its kind under the sun.Ndiyo maana wataalam wa management wanasema THE FIRST MANAGEMNENT IN THE WORLD WAS COPIED FROM ROMAN CATHOLIC SYSTEM.Nadhani umetosheka kwa haya machache wenzangu watakujuza zaidi

Mkuu nakubaliana nawe Wakatoliki ni taasisi ambayo hiko well organised, nakumbuka kisa kimoja maishani mwangu - mimi ni Mlutheli na mke wangu Mkatoliki, kilicho nishangaza ni kule kuweza kutangaza kwenye makanisa yao karibu yote mkoani kwangu wiki kama mbili kabla ya kufunga NDOA kwangu, kumbuka sisi wahusika tulikuwa tupo hapa DAR, sijui kama walitangaza mikoa yote ya Tanzania? Nina uhakika hata Vatican walipewa taarifa, jamaa hawa database yao kuhusu wahumini wao i.e wanandoa, watoto inazidi ya CIA au FBI - wana uwezo mkubwa wa kufanya lolote wapendalo at any time.
 
Mkuu kwa faida yako ni kwamba.Mkatoliki akizaliwa anabatizwa akiwa mchanga au hata mtu mzima anayejiunga na kanisa kwa mara ya kwanza na hapo anaingizwa ktk register book ya parokia kisha parokia inapeleka return jimboni na jimbo linapeleka makao makuu ya kanisa katoliki yaani VATICAN, kwa kukusaidia wakatoliki unaweza kujua idadi yao kila mwaka au at any time 't'kwa waliokufa, waliozaliwa, waliooa na kuolewa, ndoa zilizo vunjika n.k. It is a system of its kind under the sun.Ndiyo maana wataalam wa management wanasema THE FIRST MANAGEMNENT IN THE WORLD WAS COPIED FROM ROMAN CATHOLIC SYSTEM.Nadhani umetosheka kwa haya machache wenzangu watakujuza zaidi

Kuna watu wagumu sana kuelewa,bado kuna wengine wataendelea kuuliza.
 
Mkuu nakubaliana nawe Wakatoliki ni taasisi ambayo hiko well organised, nakumbuka kisa kimoja maishani mwangu - mimi ni Mlutheli na mke wangu Mkatoliki, kilicho nishangaza ni kule kuweza kutangaza kwenye makanisa yao karibu yote mkoani kwangu wiki kama mbili kabla ya kufunga NDOA kwangu, kumbuka sisi wahusika tulikuwa tupo hapa DAR, sijui kama walitangaza mikoa yote ya Tanzania? Nina uhakika hata Vatican walipewa taarifa, jamaa hawa database yao kuhusu wahumini wao i.e wanandoa, watoto inazidi ya CIA au FBI - wana uwezo mkubwa wa kufanya lolote wapendalo at any time.


Ulichokiandika ni cha kweli mkuu hata kwa intelejensia wanaongoza hawa watu wapo makini sana.
 
Nimekuelezea utaratibu wa kanisa nje ya utaratibu wa serikali wa kuwatambua waumini wake kwa majina na idadi, kinacholeta shida ni kwa baadhi ya madhehebu ya dini kutaka kutumia resources za umma kwa kupata idadi yao wakati hilo ni jukumu lao binafsi.Mkuu haka kautaratibu kwa RC ni kazuri unaruhusiwa kucopy na kupaste

Mkuu Lu-ma-ga umenichekesha asubuhi hii mpaka nikataka kuzimia!! Umesemaa...., kweli wewe moto wa kuotea mbali :smile-big:.
 
Pole, Catholic wana registered directory, kila kigango, parokia, jimbo, taifa kuna registered directory ambayo huakisi wapya kama mtu anabatizwa maana yake ana kadi inayotunzwa kwenye register na kuhakiki uhai wake katika kanisa. Inapotokea kifo basi huondolewa kwenye registered directory. Jamaa wanajua nani hai, nani kafa, wapo wangapi, ndio maana hawahitaji kuhesabiwa na timu ya Kikwete maana wanajua idadi kamili bila taabu kwa utaratibu wa kisomi si kama kupita nyumba kwa nyumba kiswahiliswahili.

Niliwahi kuona hesabu ya watu Marekani, hawapiti nyumba kwa nyumba, ila kila nyumba serikali hutuma form kwa njia ya posta ya kujaza na unaiweka nje ndani ya sanduku lako la barua, watumishi wa posta wanapita kukusanya pamoja na barua nyingine wakati napopitia kuacha barua zako. Wasomi hawafanya kibongobongo bana. Ingawa wanaweza kupata information kupitia social security, hii ni kwa ajili ya kuhakiki zaidi wanaojipenyeza hasa wazamiaji.


Hapo tu ndo huwa nawapenda sana Wakatoliki yaani nilikwenda kutafuta cheti changu cha kubatizwa wakati nikitaka kufunga ndoa nikakuta kumbukumbu ipo sawia kabisa yaani hata kama umebatiwa 1900 utapata kumbukumbu zako zote utaratibu wao mzuri sana naupenda kweli.
 
Unategemea kujua idadi ya dhehebu lako kupitia sensa? why msijihesabu mnapokutana kwenye ibada, nadhani wao wanajihesabu wanapokutaka katika ibada

mmejuaje kama wakatoliki ni wengi tanzania,huku mlikataa kipengele cha dini kisiwepo kwenye sensa?
 
HALAFU VIJAHIDINA ETI VINAJIFANYA KUTAKA HAKI SAWA NCHI YENYE RAIA MIL 45, MIL 14 WOTE WAKATORIKI, MIL 11 WALOKOLE NA WARUTHERI, MIL 3 WASABATO NA MASHAHID WA YEHOVA, TAYARI NI ZAID YA 55% BADO WAPAGANI WAHINDU WABAHAI,
HAKI SAWA KWA WAISLAMU NA WAKRISTO NI NDOTO ISIYOTIMIA, LABDA MAREKANI NA VATICAN ZIGEUKE IRAN
:behindsofa:
 
Back
Top Bottom