Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Hiyo picha ni uchakachuaji mtupu (photoshop) kwa kuunganisha vipande vitatu yaani picha ya pope, watu na hiyo bendera)! Mambo ya digitali hayo!
"Tomas! kwa kuwa umeniona umesadiki, heri yao wasioona na kuamini."
Mama Mdogo
Labda Mama kilichokuchanganya ni kuona pic moja tu, kumbuka hulka yangu si kuweka mambo ya vijiweni, najiheshimu na siwezi kudhalilisha ukweli wa tukio kubwa kama hili.
Mwajua aliyeweka habari hii yupo kwa nini msiniulize niwape ukweli, sasa hizo picha zaidi ya tatu zinazoonyesha bendera ya Tanzania bado Illustrated Photoshop Art Work? Mimi sina tabia hiyo, ni ukweli tu, na waliofikiria hivyo angalieni hizo taswiras nyingine mpate picha. Pope ni wa dunia nzima na mataifa mbalimbali yaliwakilisha. Angalieni kielelezo kingine cha idadi ya Wakatoliki duniani.