New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Usichoelewa nini? Au kauli yake kwamba "atafanya kazi ya kuwahudumia binadamu bila ubaguzi bila kujali misingi ya tofauti za kidini?"

Swaga zake. Kuhusu huduma kutoka kwa watu wa kanisa hizo wala sina shaka nazo atazitowa kwani kila siku tunaona duniani ma padri na wakitowa huduma zote za kibinaadamu bila ubaguzi na ziada hata Tanzania tunaona kanisa katoliki likihudumia kwa ufanisi mkubwa sana. Jee unataka niwe na shaka na hilo? hapana.

Swaga zake uliziona? umezielewa-elewa?
 
We thank the Almight God for having us the 266th new pop, Pop Francis. God bless our pop, amen.
 
Huo ugonjwa wa kuogopa ndege ni nadra sana. Nakubaliana na wewe. Kusafiri na basi hakuoneshi ukuu ni uoga wa kupanda ndege "flying phobia". Kama kupanda basi ni ukuu basi angepanda punda na kutembea kwa miguu kama alivyofanya Yesu awe mkuu zaidi.

Wewe umemuelewa-elewa? umemuona swaga zake?
Dah.Watu mnapenda ligi..Wivu hadi kwa papa mpya?mtu asisifiwe
 
'Habemus papam' ikimaanisha 'Tunaye Papa'. Ni Mwadhama Jorge Mario Kardinali Beorgligio wa Argentina. Atajulikana kama Papa Francis I. Anakuwa Papa wa kwanza toka Amerika ya Kusini. Pia anakuwa Papa wa kwanza toka Shirika la Mapadre wa Jesuit. Ni mtu sahihi kwa wakati sahihi. 'Soli deo gloria'- utukufu ni kwa Mungu pekee!

Petri, De opus, tibi gratias ago pro providente nobis cum accuratam informationem de Pope Francisci I. Chasis praeterea sanctus Franciscus ad modum post multum religiosus habet partem. Ipse beatissimus ego volui apud Ecclesia Catholica sit conservativum honorem.
Gratias tibi valde.
 
=====================

Jorge Mario Bergoglio, SJ (born December 17, 1936) is an Argentine cardinal of the Roman Catholic Church. He has served as the Archbishop of Buenos Aires since 1998. He was elevated to the cardinalate in 2001
|He will be known as FRANCIS

Francis (Latin: Franciscus; born Jorge Mario Bergoglio; December 17, 1936) is the 266th pope of the Catholic Church, elected on March 13, 2013, and taking the papal name Francis, after St. Francis of Assisi. He is the first Pope born in the Americas.

=====================

PREVIOUSLY:

attachment.php


White smoke poured out of the Sistine Chapel chimney Wednesday to roars of joy from the throngs jamming St. Peter's Square.

The new pope, his name not yet revealed, is expected to greet the masses from the balcony of St. Peter's Basillica shortly.

The 115 voting cardinals took four or five votes over two days to reach their decision, which required a two-thirds majority and came after a week of intense meetings. The cardinal conclave came on the heels of the surprising resignation of Pope Benedict XVI last month.

Benedict, who did not participate in the election, cited health reasons in becoming the first pope to step down in some 600 years. In his eight years the church solidified its message on core Catholic values such as opposition to abortion and gay marriage, and saw gains in membership in Africa, Latin America and Asia.

But his departure comes at a time when the church has lost membership in Europe and the United States, is dealing with financial mismanagement of church assets and still trying to overcome the "scourge" as Benedict described the past cases of priests who molested children.

Still, the mood of the faithful in front of St. Peter's Basilica was celebratory following the news. The first vote took place late Tuesday. Two morning votes Wednesday brought similar results -- black smoke from the Sistine Chapel's chimney that meant no decision on a new pope had been reached.

Some 6,000 journalists from around the world were here for the announcement, from bloggers in Mexico to newsroom anchors from PBS and CBS. It did not compare to the last conclave in 2005, which was preceded by a funeral attended by hundreds of thousands of people for the much beloved John Paul II, who had sat on the throne of St. Peter since 1976.

A scholar of the church, Benedict did not inspire similar worldwide passion, and because he departed voluntarily the conclave lacked the emotional drama of 2005. But it was not short on surprises.

During a week of supposedly private meetings among the cardinals to discuss both church matters and the merits of various papal candidates, minutes of those meetings were secretly leaked to Italian media. Meanwhile, U.S.

cardinals, who were holding regular press briefings, were ordered to stop, effectively ending all communication between clergy and press as the conclave neared.

While weeks ago there had been talk of the possibility of a pope from the church's growth area - Latin America and Africa - the candidate list expanded in the final days to include whispers about a first-ever American pope, with Cardinal Timothy Dolan of New York a leading contender.

Contributing: Cathy Lynn Grossman and John Bacon in McLean, Va. | USA-Today

Yes!! Habemus Papam Franscicum First Pope from the Americas and the First JESUIT Pope
 
Moshi mweupe umeonekana St. Peter's Square Vatican..,Papa mpya amepatikana....stay tuned

Nimesikia DW wakisema kuwa ni mfuasi wa Jesuit, ambapo nakumbuka nilisha ona hum Jf Jesuit ikitajwa kuwa ni wafuasi wa Freemason. Vipi hapa waroma mnasemaje?
 
Wewe ulimuelewa? alikuwa haongei Kiitaliano, umechemsha. Alikuwa anaongea KiLatino.

Kiitaliano nakielewa vizuri sana.
Ndo maana nasema hukumuelewa. Ngoja nikusaidie mdogo wangu zomba, yule Cardinali alomtangaza Papa ndo aliyeongea Kilatino na Pp Francis aliongea Kiitaliano, well, sometimes Kilatino na Kiitaliano vinaelekeana sana hasa kwa matamshi. Pope Francis alianza kuamkia "Bona sera" manake "Habari za jioni" ni kiitaliano hiki kaka!!!
 
Ni jambo jema hasa kwa kipindi hiki ambacho changamoto ni kubwa sana ndani ya kanisa. Kingine kinaondoa ile fillings kuwa pope ni kama siasa na kwamba atatoka ulaya tu. Kwa kweli MUNGU wa ajabu maana umdhanie ndiye siye na siye ndiye.
 
Hivi haya Majina ya Pope Paul ,benedict ,Francis huwa wanayachaguaje ? Ni vigezo vip vinatumika kuyapata?
 
Mimi nilipenda maneno yake haya
"And now I would like to give the blessing, but first I want to ask you a favour. Before the bishop blesses the people I ask that you would pray to the Lord to bless me – the prayer of the people for their Bishop. Let us say this prayer – your prayer for me – in silence."
hii ni ishara kuwa he is humble.......
 
Hii kitu hata mimi inanichanganya sana. Mkuu Candid Scope emu tupige shule.

TUMBIRI (PhD, HULL -UK),
tumbiri@jamiiforums.com

Nakala: Kimbunga, etc


Wanataaluma wakatoliki wanaweza kutoa shule nzuri zaidi.
Maana hasa ya kubadili majina ina maana ya kuaga hali ya zamani na kuivaa mpya kama Tumbili leo ungekuwa hujabatizwa kwa mapokeo ya kanisa uko na nafasi ya kuchagua jina jipya kutoka majina mengi ya wakristo wa zamani waliotangazwa watakatifu ambao unataka kufuata na kuiga matendo yao katika maisha yako na kuona kama ni mfano na kielelezo cha maisha mapya unayoyaanza ya ukatoliki.

Si mapapa tu, mashirika ya kitawa ya kikatoliki mengi yana utaratibu huo, baada ya kipindi cha kutazamwa
(aspirants and postulants) wanapoingia kwanye malezi ya maisha yenyewe (novice) huchagua majina mapya ambayo watayatumiwa wakiwa wanashirika, na source ya majina ni kutoka wakristo ambao wametangazwa watakatifu kama wasimamizi na mifano ya kuigwa katika maisha yao ya kikristo.

Papa mpya kimapokeo huchagua jina mojawapo la mapapa waliomtangulia kuiga mfano wa maisha yake, utendaji wake ingawa si yote aliyofanya huyo mtangulizi wake katika kiti cha kitume atayafuata, ila binafsi anaona ni kielelezo chenye kumfunza katika maisha na utendaji wake.

cc.
FirstLady1
 
Back
Top Bottom