Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,015
Kitu kizuri kabisa ninachokiamini katika kanisa letu hili ni namna viongozi wanavyopatikana. Makanisa mengine ungeona kambi za wagombea zinatoana jasho. Huku ni so peaceful wakiongozwa na Roho Mtakatifu mpaka kiongozi anapatikana. I like this church. Hata speech ya Pope si za wanasiasa, kaongea machache tu basi. Laiti tawala za kidunia (za wananchi) nazo zingikuwa hivi ingekuwa bora sana. Kanisa Katoliki ni mfano wa kuigwa.
Hakikaaa...Proudly Catholic