New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

New Catholic Pope: Cardinal Jorge Mario Bergoglio

Is a real jesuit, as reported in the news

Kulikuwa na mada nyingi vyombo vya habari kwamba ni kipindi kizuri kwa Kanisa Katoliki kupata Papa kutoka bara la Amerika Kusini au Afrika kwa vile idadi kubwa ya waumini siku hizi ni kutoka mabara hayo. Naona Mungu ameelekeza mkono wake huko na kumchomoa Cardinal Jorge Mario Bergoglio Kuwa Pope. Hawa wazungu walitaka kuharibu kanisa na ni wepesi mno kukata tamaa mambo yanapokuwa magumu. Anahitaji mtu mstahimilivu, mvumilivu, mwenye msimamo na asiyeyumba, maana pope ni uhai wa kanisa.

Shaka lilikuwa wajumbe katika mkutano huo wa kumchagua papa ambao ni makardinali wengi ni wa kutoka Ulaya na USA, lakini tujuavyo hii ni kazi na nguvu ya Mungu, ni roho wa Bwana anayeongoza na kumweka mtumishi anayeona atasimamia mahali pake patakatifu.
 
Hongera Pope Francis. May the Loard bless u and the RC church.

Benedict XVI gave us words of great comfort and encouragement in the message he delivered on Christmas Eve.
"God anticipates us again and again in unexpected ways," the pope said. "He does not cease to search for us, to raise us up as often as we might need. He does not abandon the lost sheep in the wilderness into which it had strayed. God does not allow himself to be confounded by our sin. Again and again he begins afresh with us".
If these words comforted and encouraged me they will surely have done the same for leaders of the church in Argentina, among many others. To the judicious and fair-minded outsider it has been clear for years that the upper reaches of the Argentinian church contained many "lost sheep in the wilderness", men who had communed and supported the unspeakably brutal western-supported military dictatorship that seized power in that country in 1976 and battened on it for years. Not only did the generals slaughter thousands unjustly, often dropping them out of aeroplanes over the River Plate and selling off their orphan children to the highest bidder, they also murdered at least two bishops and many priests. Yet even the execution of other men of the cloth did nothing to shake the support of senior clerics, including representatives of the Holy See, for the criminality of their leader General Jorge Rafael Videla and his minions.
As it happens, in the week before Christmas in the city of Córdoba Videla and some of his military and police cohorts were convicted by their country's courts of the murder of 31 people between April and October 1976, a small fraction of the killings they were responsible for. The convictions brought life sentences for some of the military. These were not to be served, as has often been the case in Argentina and neighbouring Chile, in comfy armed forces retirement homes but in common prisons. Unsurprisingly there was dancing in the city's streets when the judge announced the sentences.
What one did not hear from any senior member of the Argentinian hierarchy was any expression of regret for the church's collaboration and in these crimes. The extent of the church's complicity in the dark deeds was excellently set out by Horacio Verbitsky, one of Argentina's most notable journalists, in his book El Silencio (Silence). He recounts how the Argentinian navy with the connivance of Cardinal Jorge Bergoglio, now the Jesuit archbishop of Buenos Aires, hid from a visiting delegation of the Inter-American Human Rights Commission the dictatorship's political prisoners. Bergoglio was hiding them in nothing less than his holiday home in an island called El Silencio in the River Plate. The most shaming thing for the church is that in such circumstances Bergoglio's name was allowed to go forward in the ballot to chose the successor of John Paul II. What scandal would not have ensued if the first pope ever to be elected from the continent of America had been revealed as an accessory to murder and false imprisonment
One would have thought that the Argentinian bishops would have seized the opportunity to call for pardon for themselves and put on sackcloth and ashes as the sentences were announced in Córdoba but that has not so far happened.
But happily Their Eminences have just been given another chance to express contrition. Next month the convicted murderer Videla will be arraigned for his part in the killing of Enrique Angelelli, bishop of the Andean diocese of La Rioja and a supporter of the cause of poorer Argentinians. He was run off the highway by a hit squad of the Videla régime and killed on 4th August 1976 shortly after Videla's putsch.
Cardinal Bergoglio has plenty of time to be measured for a suit of sackcloth – perhaps tailored in a suitable clerical grey – to be worn when the church authorities are called into the witness box by the investigating judge in the Angelelli case. Ashes will be readily available if the records of the Argentinian bishops' many disingenuous and outrightly mendacious statements about Videla and Angelelli are burned.
 
Kilichonifurahisha zaidi ni hiki zoezi limekamilika ndani ya siku 3, amechaguliwa siku ya 3 ya juma on 13/3/2013 time 3:33 p.m alizaliwa mwaka 1936 namba tatu tatu zimetawala watalaam wa namba kazi kwenu.Mimi naanza YESU alikufa na siku ya tatu akafufuka.

Utatu Mtakatifu....
 
Mungu ni mwema sana na msikivu.Ametupa baba mwenye kujua kazi ya kichungaji na kuwajali masikini,Ee baba lilinde kanisa lako dhidi ya maadui,wajalie busara viongozi wote wa dini,wafundishe kuwa imani juu yako siyo kijiwe cha mashindano ya kuona bolti kwenye jicho la dini nyingine,bali kukamilishana tukiwa na nia moja ya kurudi kwako siku moja.
 
  • Thanks
Reactions: ram
Mungu ni mwema sana na msikivu.Ametupa baba mwenye kujua kazi ya kichungaji na kuwajali masikini,Ee baba lilinde kanisa lako dhidi ya maadui,wajalie busara viongozi wote wa dini,wafundishe kuwa imani juu yako siyo kijiwe cha mashindano ya kuona bolti kwenye jicho la dini nyingine,bali kukamilishana tukiwa na nia moja ya kurudi kwako siku moja.

Author: Colin M. Snider
As most are aware by now, Catholic cardinals selected Argentine Jorge Mario Bergoglio as Pope, the first time a Pope is from Latin America. (In addition to being the first non-European pope, he's also the first Jesuit pope.) There had been much hope for a non-European pope, and Bergoglio fits that bill.
However, his election is more than a little surprising, given his past. Bergoglio was the head of the Jesuits in Argentina during the military dictatorship of 1976-1983, during which the military murdered upwards of 30,000 people (as well as kidnapping hundreds of children whose parents the regime had tortured and murdered). Unlike Catholic officials in neighboring Chile and Brazil, where priests, bishops, and even cardinals spoke out against and defended victims of human rights abuses, in Argentina, the Catholic Church was openly complicit in the military regime's repression. Bergoglio was not exempt from this involvement: military officers have testified Bergoglio helped the Argentine military regime hide political prisoners when human rights activists visited the country. And Bergoglio himself had to testify regarding the murder of two priests who he stripped of their religious licenses shortly before they were kidnapped and murdered. This isn't just a case of Bergoglio being a member of an institution that supported a brutal regime; it's a case of Bergoglio himself having ties, direct and indirect, to that very regime. For those who hoped for a Pope who might represent a more welcoming and open path for the Catholic Church, the selection of Bergoglio has to be a let-down.

This is why the selection of Bergoglio over Scherer is disappointing. Thirteen years younger than Bergoglio, Scherer's path was notably different. To be clear, the Catholic Church supported Brazil's military dictatorship (1964-1985) in its early years; however, as Ken Serbin has demonstrated, already by the late-1960s and early-1970s, high-ranking officials in the church hierarchy were secretly meeting with representative from the dictatorship in order to try to pressure military rulers to respect human rights, even for alleged "subversives." By the latter half of the 1970s, the Brazilian Catholic church had become one of the more vocal opponents of human rights violations under the regime, and the Archdiocese of São Paulo ultimately played a central role in secretly accessing, collecting, and publishing files on torture, murder, and repression under the dictatorship, eventually published in 1985 as Brasil: Nunca Mais (literally Brazil: Never Again; in English, Torture in Brazil). Where Bergoglio was active in a context where the Argentine Church openly supported military regimes and human rights violations, Scherer was active in a context where members of the Brazilian Church openly took a stand against such abuses and against the regime that committed them.

A few weeks ago, a student asked me if I thought the cardinals would finally pick a Latin America pope. I commented that if they were smart, they'd diversify by picking a Brazilian and democratizing a bit, but I feared they'd pick an Italian and show a refusal to reform and democratize the church. With the selection of Bergoglio, it appears they've chosen to split the difference, diversifying beyond Europe while continuing the conservatism that defined recent popes.
We'll see how it turns out – perhaps Francisco I works out well, and perhaps he uses his past and his new position to try not only to transform the Church but to provide a platform that advocates human rights and the punishment of human rights violators. However, it is disappointing that the cardinals selected somebody tied to one of the most violent and brutal of Latin American dictatorships. The cardinals could have made an implicit statement about supporting human rights under authoritarian regimes, and they failed to do so. It's not the end of the Church, but it's another misstep they didn't have to make.
 
Afadhali hili limeisha ili Pengo arudi maana vijana wake live wakiriri mipango yao ya kutesa na kuua
Refer lwakatare video
Asilaamu serikali tu kuwa haifanyi kazi kulinda raia wakati hawa ndio ndio walio takiwa wachaguliwa kwa msimamo wa pengo pale walipo toa waraka kwa waumini wao juu ya kuchagua nani
Leo vijana wake ndio wanaonekana live kupanga mikakati michafu kabisa
Arudi tu maana kwa namna hii mhhh umafia upo rasmi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Afadhali hili limeisha ili Pengo arudi maana vijana wake live wakiriri mipango yao ya kutesa na kuua
Refer lwakatare video
Asilaamu serikali tu kuwa haifanyi kazi kulinda raia wakati hawa ndio ndio walio takiwa wachaguliwa kwa msimamo wa pengo pale walipo toa waraka kwa waumini wao juu ya kuchagua nani
Leo vijana wake ndio wanaonekana live kupanga mikakati michafu kabisa
Arudi tu maana kwa namna hii mhhh umafia upo rasmi

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

vipi mlisema anafuata askofu au mchungaj?
 
Shida yako ni lugha, Kiitaliano hukielewi, utamuelewaje Pope Francis?

Wewe ulimuelewa? alikuwa haongei Kiitaliano, umechemsha. Alikuwa anaongea KiLatino.

Kiitaliano nakielewa vizuri sana.
 
Hii ni habari njema kwa wote wenye mapenzi mema na Kanisa Katoriki kote Duniani, Ee mwenyezi Mungu ASANTE kwa neema hiyo mjalie uwezo wa kuyatimiza yote kwa mapenzi yako
 
Kwani kumuelewa kwako kutasaidia nini kwenye kanisa katoliki? Vipi shekhe Ilunga alisema na yeye auliwe ili mpate thawabu?

Jee, wewe umemuelewa-elewa? Uliziona swaga zake?

Nadhani umenielewa.
 
Huyu ametokea nchi za pembezoni, alikuwa na mazoea ya kufanya uchungaji akizunguka sehemu mbalimbali kwa usafiri wa bus, nadra sana kuwapata viongozi wa kiwangoa chake ulimwengu wa leo, wengi wametanguliza zaidi ukuu badala ya utumishi.

Huo ugonjwa wa kuogopa ndege ni nadra sana. Nakubaliana na wewe. Kusafiri na basi hakuoneshi ukuu ni uoga wa kupanda ndege "flying phobia". Kama kupanda basi ni ukuu basi angepanda punda na kutembea kwa miguu kama alivyofanya Yesu awe mkuu zaidi.

Wewe umemuelewa-elewa? umemuona swaga zake?
 
Back
Top Bottom