New Boko Haram video emerged

New Boko Haram video emerged

hao watu wanaoishi msituni hawajabaka kweli? maana inajulikana hawana wake huko msituni
 
Kweli umetoma pabaya na zinaa ilikamilisha upatikanaji wako, mbaya zaidi ukaukubali uchafu wa wazazi wako....!

una uhakika gani kuwa wewe hujatokana na zinaa?ulishawahi kuwauliza wazazi wako walianza kujamiana lini kabla ya kuamua kufunga ndoa?mbona kauli zako zinaonyesha kuwa wewe ni mwana wa haramu?before pointing fingers to others make sure your hands are clean.
 
Hapo ndipo western media zinapo tu fool. Kama walivyofanya kwa osama na fake videos na hapo wanarudia kilekile. Besides mbona hao ni kina mama na sio watoto?..wachukue tu hayo mafuta wasidhalilishe imani za watu kwa tamaa za mali.
 
una uhakika gani kuwa wewe hujatokana na zinaa?ulishawahi kuwauliza wazazi wako walianza kujamiana lini kabla ya kuamua kufunga ndoa?mbona kauli zako zinaonyesha kuwa wewe ni mwana wa haramu?before pointing fingers to others make sure your hands are clean.

Wazazi wangu hawakuwahi kukutana kabla walikutana uso kwa mato ile siku ya NDOA yao, ndo ulikuwa mwendelezo wa KIZAZI cha NDOA yao, sasa weye wenye tabia ya kimaloun ulorithi lazima uwe wa hivyo na si bakhti mbaya nk katika utaratibu wenyu.
 
tatizo unasema kwa ushabiki.hao waisrael wameingia leo.suala la kubadilisha na wafungwa wa boko lipo tangu juzi,unabisha sema nikupe link.
This is covert operation,wewe endelea kubaki nyuma na link zako
 
huyo kiongozi stupid wakati umefika wa ku deal naye man to man......ngadu kwa ngadu...hakuna kuwachia mpaka wanamkamata wana mkamata na kumshikisha adabu mpaka akomeeeeed.....nyangauuuuuuuu huyo
 
Ukienda Youtube utasikia mabint wanavyoimba kumsifu ALLAH wa boko haram
 
ukweli utajulikana. Kihoro kimeanza kuwaingia baada Marekani na Ufaransa kuingilia kati nini?

Toka mwanzo walikuwa no waislam, lazima ujue kuwa wakaaji wengi wa jimbo LA bono ni waislam, huu ni upotoshaji unaofanywa makusudi ili kuungwa mkono na waislam na kufikiri kuwa amewakomoa wasio waislam
 
Jamni Mi naomba waisilam mtuambie kwa mijibu wa dini yenu je walivyofanya boko haramu ni sahihi au si sahihi...tusaidieni kidogo juu ya hili ndugu zetu...
 
ni ni kulazimishwa tuu, hivi kuna madhehebu mangapi ya uislam? hivi Tanzania wapo pia waislam wa namna hiyo ya boko haram? mbona wanawake wa kiislam wanasoma tuu vizuri tz

Wapo wanapenda vaa suluali fupi na kufuga madevu.ni watata balaaa
 
Ugaidi ni jambo la kupigwa vita sana , husasani katika nchi zinazoendelea , zinazidi kugandamiza na kurudisha nyuma uchumi unaonyanyuka.
Serikali pia za africa zirudi nyuma kuahakikisha rasilimali za nchi zinakua balance kwa kila mwananchi, huduma za kijamii kutiliwa mkazo ,kupunguza ufisadi ,pamoja na dempcrasia ya kiwango,kuepuka mianya inayovutia vijana wadogo kuhasi nchi na kujiunga na makundi ya kigaidi.
 
This is covert operation,wewe endelea kubaki nyuma na link zako
sasa convert gani watu ndo wametua leo hapo na usikute ni ma adviser tu kama wamarekani.mkuu hii issue naifuatilia 24/7,haipiti dakika tano sijachungulia kucheki update na sitegemei hapa.
 
Hata wakiwaachia natamani wembe uliomnyoa osama bin laden usiache kupita kichwani mwa boko haram
hao mabinti wakiisha achiwa utaona masimulizi yao yatakavyotia simanzi.Nchi zote zilizotoa matamko ikiwemo saudi arabia
zichukue hatua za dhati kuangamiza makundi maovu kama hili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom