ni ya kufikirika ndiyo. kwani ipo?Neville Meena tuombe radhi wale wote tuliozaliwa TANGANYIKA kwa kuiita nchi yetu tulimozaliwa eti ni ya KUFIKIRIKA eti tu kwa kuwa wewe umezaliwa TANZANIA. Umemtusi hata Rais wa awamu ya kwanza Hayati Mwalimu Nyerere na wale wote walioshirikiana nawe kuikomboa Tanganyika mikononi mwa wakoloni. Makala yako katika gazeti la Mwananchi leo jumapili ulikotaja kuwa kwako Tanganyika ni nchi ya kufikirika haikustahili kuchapishwa. Nawasilisha kwa wana JF wenzangu.
Naomba hayo uyafanye mwenyewe na kama huelewi busara ni kutochangia mada. Usitupe kazi tukufundishe afu ndo tuchangie? noooo we jifundishe ukijua njoo tulonge ukikwama basi tena.Mnaopinga na ku-support hoja kabla hautjaenda mbele namoba mnitajie SIFA za NCHI (kipande cha ardhi) KUITWA NCHI ni zipi. Tukishaelewa SIFA za nchi then Tunaweza kujibu kama Tanganyika ni nchi au ni nchi ya kufikirika?
Tusi argue kama mahayawani.
yuko sahihi kabisa sema labda wewe ukilaza unakusumbua, kwanza inakubidi ujue sifa ya kuwa nchi ni nini!! kwasasa Tanganyika ni nchi ya kufikirika tu yaani ukubali au ukatae!!
yuko sahihi kabisa sema labda wewe ukilaza unakusumbua, kwanza inakubidi ujue sifa ya kuwa nchi ni nini!! kwasasa Tanganyika ni nchi ya kufikirika tu yaani ukubali au ukatae!!
Neville Meena tuombe radhi wale wote tuliozaliwa TANGANYIKA kwa kuiita nchi yetu tulimozaliwa eti ni ya KUFIKIRIKA eti tu kwa kuwa wewe umezaliwa TANZANIA.
Umemtusi hata Rais wa awamu ya kwanza Hayati Mwalimu Nyerere na wale wote walioshirikiana nawe kuikomboa Tanganyika mikononi mwa wakoloni. Makala yako katika gazeti la Mwananchi leo jumapili ulikotaja kuwa kwako Tanganyika ni nchi ya kufikirika haikustahili kuchapishwa.
Nawasilisha kwa wana JF wenzangu.
Neema huyu si mnajua fika kabisa mtu ambaye yuko ccm kipindi kile mwangosi kauwawa na majambazi ccm alikuwa akijipendekeza sana kwa waziri nchimbi kwa wakati ni danguro la njaa huyu