Neville Meena tuombe radhi wale wote tuliozaliwa TANGANYIKA kwa kuiita nchi yetu tulimozaliwa eti ni ya KUFIKIRIKA eti tu kwa kuwa wewe umezaliwa TANZANIA.
Umemtusi hata Rais wa awamu ya kwanza Hayati Mwalimu Nyerere na wale wote walioshirikiana nawe kuikomboa Tanganyika mikononi mwa wakoloni. Makala yako katika gazeti la Mwananchi leo jumapili ulikotaja kuwa kwako Tanganyika ni nchi ya kufikirika haikustahili kuchapishwa.
Nawasilisha kwa wana JF wenzangu.
Umemtusi hata Rais wa awamu ya kwanza Hayati Mwalimu Nyerere na wale wote walioshirikiana nawe kuikomboa Tanganyika mikononi mwa wakoloni. Makala yako katika gazeti la Mwananchi leo jumapili ulikotaja kuwa kwako Tanganyika ni nchi ya kufikirika haikustahili kuchapishwa.
Nawasilisha kwa wana JF wenzangu.