Never trust a woman

Never trust a woman

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,190
^^
Tunatambua kuwa semi nyingi za kale zinabeba ukweli ambao leo utaukataa lakini ukikutana na masaibu ya maisha unarudi nyuma kuukubali.
...
Never trust a woman ni moja ya semi hizo.
Je ni kweli wanaume tusiwaamini wanawake? Je wanaume tunayo mambo ambayo hatuwezi kuwaambia wanawake? Je mwanamke unajisikiaje,mwanaume akisema hakuamini?
^^
 
Himidini kama unaamini katika Kristo Imeandikwa, 1Petro 3:7 "Kadhalika ninyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kupa mke heshima kama chombo kisicho na nguvu, na kama waridhi pamoja wa neema ya uzima kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe."
 
Hatujaelewana rafiki nimekuuliza ww utajisikiaje ukiambiwa huaminiwi?Mimi najua naaminika na nina hakika na nisemayo!!

^^
I take it as a challenge kwangu..naam we unaaminika lakini unaweza kumuamini mwanaume?
^^
 
Trust nobody even your own shadow banaa not just with the exceptional of a woman
 
Himidini kama unaamini katika Kristo Imeandikwa, 1Petro 3:7 "Kadhalika ninyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kupa mke heshima kama chombo kisicho na nguvu, na kama waridhi pamoja wa neema ya uzima kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe."

^^
Katika maandiko hayo hayo,kuna visa vingi vya Hawa,Delira,Mke wa ayubu n.k ambao waliishi ktk nyakati za maadili ya hali ya juu sana.
Je unadhani kwa hali ya sasa,,tunaweza kuendelea kuamini mwanamke? Akili zetu zinatosha kuwaamini
^^
 
150999218.jpg
 
Trust nobody even your own shadow banaa not just with the exceptional of a woman

^^
Toria
Kweli lakini kabla hatuja generalize..Toria unaweza kumwamini mwanamke mwenzako?
^^
 
Last edited by a moderator:
Na kwanini asiniamini?kama nimemuonesha bad sign lazma uaminifu upungue ama usiwepo kabisa! Lakin kama nina good communication lazma niaminiwe!! But kuamini unaosema wewe ni ktk nyanja ipi?Btw -kuna wanaume wachache sana huwaamini wanawake waliobakia wote zerooo!!
 
Himidini kama unaamini katika Kristo Imeandikwa, 1Petro 3:7 "Kadhalika ninyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kupa mke heshima kama chombo kisicho na nguvu, na kama waridhi pamoja wa neema ya uzima kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe."

Kukaa kwa akili na mke inamaanisha usimwamini?
 
Na kwanini asiniamini?kama nimemuonesha bad sign lazma uaminifu upungue ama usiwepo kabisa! Lakin kama nina good communication lazma niaminiwe!! But kuamini unaosema wewe ni ktk nyanja ipi?Btw -kuna wanaume wachache sana huwaamini wanawake waliobakia wote zerooo!!

^^
Inasemekana mkiaminiwa mnabadilika sana katika mahusiano,,Munkari can you be trusted?
^^
 
ahaha unanikumbusha kitabu cha JAMES HADLEY CHASE
'"YOU NEVER KNOW WITH WOMEN"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom