Never trust a woman

Never trust a woman

Bwana Himidini watu hawadumu katika muhusiano kwa kuwa wanapendana sana,hasha! Ngoja nikupe kisa kimoja:-
Bwana mmoja alifanya annivensary ya kutimiza miaka 25 ya ndoa! Tukio hilo lilivuta sana hisia za mji aliokuwa anaishi huyu bwana kwa kuwa katika kipindi hicho chote hawakuwahi kutofautiana kwenye ndoa yao!

Siku ya maadhimisho ikabidi waandishi wa habari na wahariri kutoka vyombo mbali mbali vya habari kutaka kuju siri ya kudumu kwa ndoa hii,bwana mkubwa akafunguka!

Kwamba baada ya harusi yao yeye na mkewe walienda pahala kwa ajili ya fungate yao,siku ya mwisho ya fungate wakaamua kucheza mchezo wa kupanda farasi,yeye akapanda farasi aliyekuwa mtulivu huku mkewe akipanda farasi mapepe ambapo baada ya muda yule farasi alimbwaga mkewe!

Mkewe akamuonya farasi kwamba hii ni mara ya kwanza...Baada ya muda farasi akamdondosha tena,mke akamuonya hii ni mara ya pili...Alipomuangusha mara ya tatu yule bi dada alimlipua kwa risasi na kumuua pale pale,jamaa akahamaki na kumfokea mkewe kwamba umerukwa na akili? kwanini umemuua huyu mnyama masikini...mke akainuka akamkata jamaa jicho bayaaaaa kisha akamwambia hii ni mara ya kwanza...
Kuanzia hapo ndipo ndoa yenye furaha ilipoanzia!

^^
Horseshoe Arch
Asante kwa kisa chenye fundisho
^^
 
Last edited by a moderator:
^^
Tunatambua kuwa semi nyingi za kale zinabeba ukweli ambao leo utaukataa lakini ukikutana na masaibu ya maisha unarudi nyuma kuukubali.
...
Never trust a woman ni moja ya semi hizo.
Je ni kweli wanaume tusiwaamini wanawake? Je wanaume tunayo mambo ambayo hatuwezi kuwaambia wanawake? Je mwanamke unajisikiaje,mwanaume akisema hakuamini?
^^

Dhana nzima ya kuamini inanipa tabu sana kuitafsiri kwenye eneo hili!!
 
^^
Tunatambua kuwa semi nyingi za kale zinabeba ukweli ambao leo utaukataa lakini ukikutana na masaibu ya maisha unarudi nyuma kuukubali.
...
Never trust a woman ni moja ya semi hizo.
Je ni kweli wanaume tusiwaamini wanawake? Je wanaume tunayo mambo ambayo hatuwezi kuwaambia wanawake? Je mwanamke unajisikiaje,mwanaume akisema hakuamini?
^^


never trust a woman bean ooh!!!just meant a human being
 
^^
Inasemekana mkiaminiwa mnabadilika sana katika mahusiano,,Munkari can you be trusted?
^^

inategemea kama ni mwanamke kigeugeu ni lazima awe kinyonga!! Miye kwanin nsiaminiwe? Jembe mwenyewe!!!
 
Dhana nzima ya kuamini inanipa tabu sana kuitafsiri kwenye eneo hili!!

^^
Karibu Mwanafalsafa wa JF..
Mkabala wa imani unaotaka tutumie ni upi,,wa
theology,
metaphysics,
epstemology,
existentialism,
Realism,
Idealism au upi ili tupate dhana ya imani katika kuamini.
Eiyer
^^
 
Last edited by a moderator:
^^
Tunatambua kuwa semi nyingi za kale zinabeba ukweli ambao leo utaukataa lakini ukikutana na masaibu ya maisha unarudi nyuma kuukubali.
...
Never trust a woman ni moja ya semi hizo.
Je ni kweli wanaume tusiwaamini wanawake? Je wanaume tunayo mambo ambayo hatuwezi kuwaambia wanawake? Je mwanamke unajisikiaje,mwanaume akisema hakuamini?
^^


Ulikua ujamalizia huo msemo : "Never trust a woman except your mother"
 
Wa Kwang ninamuamini na ndio maana sina nyoka mfukoni , nina amani tele for 27 yrs sasa
 
Ni msemo unaoishi, ukibisha leo basi kesho utakubali.
Except to my beloved Mother
 
^^
Tunatambua kuwa semi nyingi za kale zinabeba ukweli ambao leo utaukataa lakini ukikutana na masaibu ya maisha unarudi nyuma kuukubali.
...
Never trust a woman ni moja ya semi hizo.
Je ni kweli wanaume tusiwaamini wanawake? Je wanaume tunayo mambo ambayo hatuwezi kuwaambia wanawake? Je mwanamke unajisikiaje,mwanaume akisema hakuamini?
^^
Hapo kwenye bold nitajisikia vibaya sana iwapo nitaambiwa siaminiki au siaminiwi. Lkn namshukuru Mungu Mume wangu ananiamini na ninamuamini nje ya hapo hao wengine wote hata wasiponiamini sintojali sana.
 
^^
Tunatambua kuwa semi nyingi za kale zinabeba ukweli ambao leo utaukataa lakini ukikutana na masaibu ya maisha unarudi nyuma kuukubali.
...
Never trust a woman ni moja ya semi hizo.
Je ni kweli wanaume tusiwaamini wanawake? Je wanaume tunayo mambo ambayo hatuwezi kuwaambia wanawake? Je mwanamke unajisikiaje,mwanaume akisema hakuamini?
^^

Ni ww kweli!!?
..ipo wapi imani yako my dia?
...umesahau kuwa our rigth to receive anything based on his blood(Jesus)' camon
 
^^
Karibu Mwanafalsafa wa JF..
Mkabala wa imani unaotaka tutumie ni upi,,wa
theology,
metaphysics,
epstemology,
existentialism,
Realism,
Idealism au upi ili tupate dhana ya imani katika kuamini.
Eiyer
^^

Mkuu!
Kila ninapojiuliza kuhusu kuamini kwenye eneo hili sipati jibu kwakuwa kuna mkanganyiko sana
Labda ili tupate pa kuanzia hebu niambie unaposema wewe usimwamini mwanamke unakuwa umetumia tafsiri ipi kati ya hizo ulizoorodhesha hapo juu?
 
Tuambieni basiii why don't we worth a trust??? Ni wabwabwaji hatuwezi kutunza siri au ni vigeugeu kwenye issues flaniflani au ni wasaliti au tatizo letu nini?
Manake hata maofisini deals zinapigwa juu kwa juu unakuta unaambulia mgao, hujui ilipita saa ngapi na aje.
 

yani hiyo ipo pande zote
mi mwanaume kumuamini ni ngumu
na yeye asiponiamini pouwa tu,binadamu
hatutabiriki atiii!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom