Never trust a woman

Never trust a woman

Na kwanini asiniamini?kama nimemuonesha bad sign lazma uaminifu upungue ama usiwepo kabisa! Lakin kama nina good communication lazma niaminiwe!! But kuamini unaosema wewe ni ktk nyanja ipi?Btw -kuna wanaume wachache sana huwaamini wanawake waliobakia wote zerooo!!

Mimi nakuamini Munkari hata mimi naamini unaniamini!
 
Last edited by a moderator:
Na kwanini asiniamini?kama nimemuonesha bad sign lazma uaminifu upungue ama usiwepo kabisa! Lakin kama nina good communication lazma niaminiwe!! But kuamini unaosema wewe ni ktk nyanja ipi?Btw -kuna wanaume wachache sana huwaamini wanawake waliobakia wote zerooo!!
Hapo umeongea mama na mimi nilitaka kugusia hapohapo lkn umeniwahi!
 
Under certain circumstences,i once was let to blv it"never trust a woman"but again i met someone who restored my faith to women,
I personally still trust women though not all.
 
Unajua inakuwa sio sahihi ukisema mwanamke haaminiki,inamaana mwanaume ndio anaaminika?Kwasababu kama mtu amepitia masahibu fulani mpaka kusababishia kutoaminika kwa mwanamke/mwanaume,maana yake ameathirika kisaikolojia..na hapa naongelea both parts...
 
Unajua inakuwa sio sahihi ukisema mwanamke haaminiki,inamaana mwanaume ndio anaaminika?Kwasababu kama mtu amepitia masahibu fulani mpaka kusababishia kutoaminika kwa mwanamke/mwanaume,maana yake ameathirika kisaikolojia..na hapa naongelea both parts...

^^
Hapa nimekupata vema,,afadhali sasa naanza kuelewa.
mimi49 ivi inakuaje tangu enzi na enzi rekodi zinaonyesha mwanamke hapaswi kuaminiwa na mwanaume ili ndoa na nyanja nyingine za maendeleo zifanikiwe?
^^
 
Last edited by a moderator:
Unawezaje kuishi ni mtu kama mkeo ukiwa humuamini?????

Hiyo ni sawa na kukaa na nyoka mfukoni ( Mawazo yangu tu )
 
Sio mwanamke tu,usimwamini mwadamu yeye ila Mungu tu. Kumbuka usiwaamini lakini uwapende!
 
Unawezaje kuishi ni mtu kama mkeo ukiwa humuamini?????

Hiyo ni sawa na kukaa na nyoka mfukoni ( Mawazo yangu tu )

^^
Ni mawazo mazuri pia.. Hongera kama wako anaaminika
^^
 
inategemea huyo mwanamke ni nani, na umwamini kwa sababu zipi?
kama ni mpenzi/mke wako kwa nini usimwamini? usipo mwamini mpenzi au mke wako utamwamini nani?
 
^^
Hapa nimekupata vema,,afadhali sasa naanza kuelewa.
mimi49 ivi inakuaje tangu enzi na enzi rekodi zinaonyesha mwanamke hapaswi kuaminiwa na mwanaume ili ndoa na nyanja nyingine za maendeleo zifanikiwe?
^^
Ni FIKRA POTOFU tu vitu vingine lazima tufikirie with LOGICS...Mfano kidini inasema mwanamke ni dhaifu na ni rahisi kushawishi na kushawishika na ndio maana hawezi kuaminika...Lakini kwa mtazamo wangu mimi I think this ball bounces both ways...
 
inategemea huyo mwanamke ni nani, na umwamini kwa sababu zipi?
kama ni mpenzi/mke wako kwa nini usimwamini? usipo mwamini mpenzi au mke wako utamwamini nani?

^^
Unajua kuwa wanawake 3 walio nje ya mahusiano yako wanajua undani wako kupitia mpenzi wako? Kwa mujibu wa utafiki wa Ling Morris
Can you share everything with women?
^^
 
Haya makitu bwana Himidini hujawahi kukutana nayo uso kwa uso...mapenzi i mean..mswahili mmoja aliwahi kusema Those who love deeply never grown old; they may die of old age, but they die young...ukifikia hapa hutaacha kuamini/kumwamini!

Ila kuna kazi zetu zileee(za kung'oa kucha),ni bora kukaa kimya milele,usijiamini hata wewe binafsi, mkeo ajue tu wewe ni nani msibani ikitokea umekufa kabla yake!
 
Last edited by a moderator:
Haya makitu bwana Himidini hujawahi kukutana nayo uso kwa uso...mapenzi i mean..mswahili mmoja aliwahi kusema Those who love deeply never grown old; they may die of old age, but they die young...ukifikia hapa hutaacha kuamini/kumwamini!

Ila kuna kazi zetu zileee(za kung'oa kucha),ni bora kukaa kimya milele,usijiamini hata wewe binafsi, mkeo ajue tu wewe ni nani msibani ikitokea umekufa kabla yake!

^^
Ha ha ha Inawezekana sijapendwa kiasi cha kuamini mwanamke!
^^
 
Last edited by a moderator:
Samson Kamwambia Delira "Do what u can do bt dont Trust A Woman"?
 
^^
Hapa nimekupata vema,,afadhali sasa naanza kuelewa.
mimi49 ivi inakuaje tangu enzi na enzi rekodi zinaonyesha mwanamke hapaswi kuaminiwa na mwanaume ili ndoa na nyanja nyingine za maendeleo zifanikiwe?
^^

Yet, BEHIND EVERY SUCCESSFUL MAN THERE IS AN INTELLIGENT WOMAN!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Bwana Himidini watu hawadumu katika muhusiano kwa kuwa wanapendana sana,hasha! Ngoja nikupe kisa kimoja:-
Bwana mmoja alifanya annivensary ya kutimiza miaka 25 ya ndoa! Tukio hilo lilivuta sana hisia za mji aliokuwa anaishi huyu bwana kwa kuwa katika kipindi hicho chote hawakuwahi kutofautiana kwenye ndoa yao!

Siku ya maadhimisho ikabidi waandishi wa habari na wahariri kutoka vyombo mbali mbali vya habari kutaka kuju siri ya kudumu kwa ndoa hii,bwana mkubwa akafunguka!

Kwamba baada ya harusi yao yeye na mkewe walienda pahala kwa ajili ya fungate yao,siku ya mwisho ya fungate wakaamua kucheza mchezo wa kupanda farasi,yeye akapanda farasi aliyekuwa mtulivu huku mkewe akipanda farasi mapepe ambapo baada ya muda yule farasi alimbwaga mkewe!

Mkewe akamuonya farasi kwamba hii ni mara ya kwanza...Baada ya muda farasi akamdondosha tena,mke akamuonya hii ni mara ya pili...Alipomuangusha mara ya tatu yule bi dada alimlipua kwa risasi na kumuua pale pale,jamaa akahamaki na kumfokea mkewe kwamba umerukwa na akili? kwanini umemuua huyu mnyama masikini...mke akainuka akamkata jamaa jicho bayaaaaa kisha akamwambia hii ni mara ya kwanza...
Kuanzia hapo ndipo ndoa yenye furaha ilipoanzia!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom